Madaktari wanavyowafanya wake zenu

Madaktari wanavyowafanya wake zenu

Endelea kufanya uchunguzi huru sidhani kama nakubaliana ma wewe kwenye, hata hivyo wanawake wanaruhusiwa kwenda kwenye chumba cha daktari na waume au wapenzi wao. Kama ishu ni uhuni basi kila profession ina wahuni na wapenda ngono
Private Hospital tu ndio unaruhisiwa kuingia na mke/mume wako
 
Sio rahisi kuomba nurse..inategemea unafanya Nini?...Sasa unaenda kwa gynaecologist...aanataka kuangalia kitu...utamdai nesi awepo.

Tunaamini madoctor kuwa wanajua wanachokifanya...na kuwa wanaethics..

But je wewe ofisini kwako unafuata Ethics za kazi yako?....
Watakuwepo madoctor wabaya...wasio na ETHICS but SI wengi

Pia
Ni takwa la kisheria dr akiwa anafanya procedure ka kusafisha operation kuwa na nurse hata zaidi ya mmoja dr haweza kwenda safisha au theatre bila assistant, Mimi Mara zote huwa Kuna ma nurse Hadi nilimuuliza
 
Hospital ulioenda nzuri... Wanakusafisha na kudungwa na masindano

Mimi I had a miscarriage...ilikuwa dry dry mydear.....Yaaani hakuna Cha sindano Wala Nini. Ni vyuma tu na plastic....Nilisikia maumivu SI ya nchi hii....LOOOOH

Nashangaa huyo atake kubaka katika Hali hiyo...atakuwa na shida mahala
Mie ilikuwa operation wakati naandaliwa kulikuwa na dr na ma nurse kibao, bila kusahau wanafunzi wa intern so hyo kubakwa ni ngumu Sana maana ma Dr wako busy mno na ku save watu aisee,nyege ni baada ya kazi imagine my gynologist jinsi Wana rundo la wagonjwa kusubiria huduma. Hafu theatre kubwa vitanda vingi na operation nyingi Sasa mtu ana bakaje hapo
 
Hospital ulioenda nzuri... Wanakusafisha na kudungwa na masindano

Mimi I had a miscarriage...ilikuwa dry dry mydear.....Yaaani hakuna Cha sindano Wala Nini. Ni vyuma tu na plastic....Nilisikia maumivu SI ya nchi hii....LOOOOH

Nashangaa huyo atake kubaka katika Hali hiyo...atakuwa na shida mahala
Kusafishwa unachomwa sindano za usingizi husikii chochote, hyo ya kavu sikubali natoka nduki
 
Kutoa si hela unafikiria ni bure, ile ni njia haramu ya ma Dr kujiongezea kipato, na sijawahi sikia mwanamke akitoa dr akitoa mimba sijui kwanini!?
Basi ujuwe kuna la ziada zaidi ya kupata PESA..

Madaktari wa kiume wanawafanya kweli hawa wanawake,,

Iwe kwa kupenda au kutokupenda.

Mfano akimuweka mwanamke dawa ya usingizi,atashindwa kufanya anachotaka?
 
Basi ujuwe kuna la ziada zaidi ya kupata PESA..

Madaktari wa kiume wanawafanya kweli hawa wanawake,,

Iwe kwa kupenda au kutokupenda.

Mfano akimuweka mwanamke dawa ya usingizi,atashindwa kufanya anachotaka?
Labda huko vi dispensary vya uchochoroni Ila hospital as hospital mbona watu hutoa na nurse na dr wanajua sema tena hata bima yatumika, huko vichochoroni I agree Ila hospital hzi za serikali kila corner machawa na mashilawadu
 
Hapa kuna madokta wanawakingia kifua madokta wenzao. Si wajua uniform lazima walindane.
But hizi situation za madokta kutofuta ethics za kazi Wako kibao.
Kuna yule wa Marie stopes aliyekula mzigo wa dada mgonjwa alikuwa na mimba nadhani. Dada a kapigwa dawa ya usingz kuamka kwisha habari. Sema Yeye alikuwa jasiri kureport na jamaa kukamatwa. Sema wengi hawa semi kuhusu kufanyiwa sababu kubwa ni Je jamii itamuamini?? Hasa mume wake maana 99% mume ataamini mlikuwa mnachekeana mpk mkafikia huko.
Sista yangu mmoja ilibidi nae ahame hospital. Mashetani yako mengi kila tasnia. Of course 50/50 but wapo.
Kama walivyo kwa police lakini ukimuita Kamanda Mamboleo hapa atakanusha na kusema mnaliuisha jeshi na mambo ambayo hayapo. Hata kama wamekula recorded kama kwa yule dereva mbeya.
UNIFORM WILL ALWAYS PROTECT UNIFORM.
But wahuni wapo...... Sababu ni hawa hawa tulikuwa nao mtaaani kwa tabia tofauti then kishule shule wakajikuta Kombi imebalance huko kwenye miaka 5.
Kuna wahuni kibao huko Vatican... Whitehouse etc
 
Hatutaki udini, nchi yetu haina dina.
Kama mnahusudu sana hizo system za kidini hamieni huko kwa mujahedeen
Wewe hata dada yako ama maza wako atafunwe na madaktari utafurahia tu. So sad
 
kama ilivyo kwa huduma zote za kijamii mtoa huduma akiwa mwanaume ana advantage ya kutumia weakness yake... kuna wakati tuwe tunaelewa maandiko vizuri kama .. Mbuzi kula kadri ya urefu wa kamba... mtumia altareni kula altareni..the same ilivyo katika aisha ya kawaida .... bar med analiwa na walevi........ dent analiwa na teacher.... Boda boda nao wanajisevia wake zetu ksb ndiyo wateja wao wa kila siku ... sasa mnamlaumuje daktari kula mgonjwa.... hivi ushajiuliza wale wadada wakienda kutibiwa wanajipodoa vizuri kwa ajili ya nani
 
Labda huko vi dispensary vya uchochoroni Ila hospital as hospital mbona watu hutoa na nurse na dr wanajua sema tena hata bima yatumika, huko vichochoroni I agree Ila hospital hzi za serikali kila corner machawa na mashilawadu
Huko huko kwenye hospital kubwa,,kuna jamaa alijifanya anamlinda mkewe ,,

Akaambiwa kuna dawa akanunuwe pharmacy,,

Kurudi akakuta manyoya tu..
Mke kishaliwa.

Doctor atamla mwanamke popote pale,,hata baada ya kutoa mimba.

Hatokuwa na cha kuficha wakati doctor kaingiza mikono hadi mikasi ndani ya papuchi.

Hebu jiulize hata zile namba za Simu ya mgojwa anazochukuwa doctor anachukuwa kwa lengo gani?
 
Huenda hijui unachokielezea kwa ufasaha! Ni ngumu mno kwa daktari kumuingilia mwanamke anayehitaji kufanyiwa dnc au kusafishwa kizazi kwani Hadi afikie kupewa huduma hiyo Basi mfumo wake wote wa uzazi utakuwa una tatizo kubwa na huenda unatoa harufu mbaya kiasi kwamba daktari au yeyote hatokuwa na wazo la kumuingilia.

Poa mteja anaweza kuwa kwenye maumivu makali ya sehemu hizo kiasi kwamba hatoweza kuhimili kuongezewa maumivu mengine! Tuwaheshimu na kuhemimu tasnia ya udaktari na acha kuwavuruga na kuwachafua! Ukiona vipi mkeo na bintiyo usiwapeleke hospitali Baki nao nyumbani.
Sio lazima amuingilie wakati anaumwa. Atamhudumia na kumtibu bila shida. Kisha kama anamtaka atamwambia arudi tarehe fulani ambayo ana uhakika kuwa atakuwa amepona. Atajifanya kumfanyia vipimo ili kujua kama amepona hapo ndio ataanza mambo yake.
Isitoshe wengine wanakuwa hawaumwi. Unakuta ana tatizo la kutopata mimba kwa hiyo ni mzima kabisa. Wakati wa uchunguzi....................
Au anaweza akaenda anaumwa kichwa lakini daktari akamwambia wakati mwingine ni mwanzo wa tatizo la uzazi ili apate sababu ya kumfunua.
Wengine wanawaingilia hata wauguzaji sio lazima mgonjwa mwenyewe. Nakumbuka binti mmoja Alikuwa anauguza mama yake analala huko huko kwa mgonjwa. Daktari akamwambia kuwa ili asipate magonjwa hospitalini anatakiwa kupewa kinga akakubali. Daktari akamchoma sindano ya usingizi na kisha kumuingilia.
Kinachoongelewa hapa ni madaktari wachache sana wasio na maadili ama wanawaingilia bila ridhaa au wanawarubuni kisha wanakubali kwa hiari kuingia nao mahusiano.
Tatizo la wataalam na watumishi wasio na maadili lipo kila sekta.
Waalimu wanawaingilia wanafunzi, askari wanawaingilia watuhumiwa, wafungwa, nk. Maboss wanawatisha wanawake walio chini yao ili wawape ngono wasipoteze kazi nk "
Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwatetea madaktari wao sio malaika na ni wachache sana wasio na maadili wengi wao wana maadili mazuri.
 
Back
Top Bottom