MADAHARA YA KUKUTANA KIMWILI NJE YA NDOA AU PASIPO KUWA KATIKA NDOA
Kukutana kimwili nje ya ndoa ni lango linalotumiwa na adui kuharibu vipawa vya Mungu ndani ya watu,
Kwani tendo la ukutana na mtu kimwili si kujifurahisha tu kama wengi wanavyofikiri bali hiki ni kifungo cha Nafsi
Na kifungo hiki hutengeneza kovu za wokovu ndani ya Moyo wa mtu kwa kuwa kumbukumbu hizi huwa hazifutika kwa uharaka ndani ya mtu
Kila unayekutana naye kimwili kuna sehemu yake inabaki kwako na kwake pia,
Ndiyo maana unaweza ukakuta watu wengine wabaya sana,pengne ni wakatili na wengine ni kama mashetani kabisa hii ni kwasababu kuna roho wachafu wengi ndani ya miili yao n.k ,
Tendo hili la Kuacha Sehemu yako au sehemu yao inabaki kwako Kiroho linaweza kufanyika kuwa ( Vifungo vya Nafsi) nafsi yako huwa inafungwa na nafsi ya Yule mtu unayekutana naye kimwili
imagine kuwa wewe upo chini ya Roho za kipepo toka kwa familia yenu ,mfano roho ya wizi ,uzinzi ,uchoyo,hasira n.k then una kutana na mwanaume au mwanamke naye ana maroho ya kwao.
hivyo unamwambukiza maroho naye anakuambuzi maroho, kama wewe ni mwanaume na una wanawake watano na wote mnakutana kimwili hii inamaana ndani ya nafasi yako kuna wanawake watano,
Wanawake hawa kila mmoja atakuwa na maroho ya kwao hivyo ni rahisi wewe kuwa na maroho mengi zaidi
Kukutana kimwili ni agano Kubwa sana katka Kiroho/ulimwengu wa giza na ndio chanzo kikuu cha kusambaza mapepo ya ngono n.k kuliko tunavyoweza kufikiria
Tendo la Kukutana kimwili na mtu huwa nafsi za wahusika zinafungwa pamoja ndiyo maana ni rahisi kukuta mtu alikuwa tajiri lakini baada ya kukutana na mtu kimwili akaanza kuporomoka , au mtu alikuwa vizuri kiroho lakini anapokutana na mtu kimwili ghafla anashuka
(Pia hata mwanamke uliyekutana naye kimwili ni vyepesi sana kukudhuru kupitia vitu ulivyo viacha kwako)
Jitahidi sana kuepuka zinaa na tiba ya kuiepuka ni kuikimbia kwa ZINAA Hua kimwili na kiroho(kimbia kama Yusufu alivyomkimbia mke wa Potifa)
# 1 kornt 6:18
*18 Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe .
Niwatakie jumapili njema ya leo
18/04/2021
Kukutana kimwili nje ya ndoa ni lango linalotumiwa na adui kuharibu vipawa vya Mungu ndani ya watu,
Kwani tendo la ukutana na mtu kimwili si kujifurahisha tu kama wengi wanavyofikiri bali hiki ni kifungo cha Nafsi
Na kifungo hiki hutengeneza kovu za wokovu ndani ya Moyo wa mtu kwa kuwa kumbukumbu hizi huwa hazifutika kwa uharaka ndani ya mtu
Kila unayekutana naye kimwili kuna sehemu yake inabaki kwako na kwake pia,
Ndiyo maana unaweza ukakuta watu wengine wabaya sana,pengne ni wakatili na wengine ni kama mashetani kabisa hii ni kwasababu kuna roho wachafu wengi ndani ya miili yao n.k ,
Tendo hili la Kuacha Sehemu yako au sehemu yao inabaki kwako Kiroho linaweza kufanyika kuwa ( Vifungo vya Nafsi) nafsi yako huwa inafungwa na nafsi ya Yule mtu unayekutana naye kimwili
imagine kuwa wewe upo chini ya Roho za kipepo toka kwa familia yenu ,mfano roho ya wizi ,uzinzi ,uchoyo,hasira n.k then una kutana na mwanaume au mwanamke naye ana maroho ya kwao.
hivyo unamwambukiza maroho naye anakuambuzi maroho, kama wewe ni mwanaume na una wanawake watano na wote mnakutana kimwili hii inamaana ndani ya nafasi yako kuna wanawake watano,
Wanawake hawa kila mmoja atakuwa na maroho ya kwao hivyo ni rahisi wewe kuwa na maroho mengi zaidi
Kukutana kimwili ni agano Kubwa sana katka Kiroho/ulimwengu wa giza na ndio chanzo kikuu cha kusambaza mapepo ya ngono n.k kuliko tunavyoweza kufikiria
Tendo la Kukutana kimwili na mtu huwa nafsi za wahusika zinafungwa pamoja ndiyo maana ni rahisi kukuta mtu alikuwa tajiri lakini baada ya kukutana na mtu kimwili akaanza kuporomoka , au mtu alikuwa vizuri kiroho lakini anapokutana na mtu kimwili ghafla anashuka
(Pia hata mwanamke uliyekutana naye kimwili ni vyepesi sana kukudhuru kupitia vitu ulivyo viacha kwako)
Jitahidi sana kuepuka zinaa na tiba ya kuiepuka ni kuikimbia kwa ZINAA Hua kimwili na kiroho(kimbia kama Yusufu alivyomkimbia mke wa Potifa)
# 1 kornt 6:18
*18 Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe .
Niwatakie jumapili njema ya leo
18/04/2021