mwinula Jnr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 432
- 131
Last edited by a moderator:
There your are! jamaa anachokifanya ni kukikampenia CCM kwa gharama yoyote ile ili ikishika dola apate malipo ya kazi yake, watu wakumbuke ya Makonda! kamtukana EL, kampiga Warioba then nini kimefuata si ukuu wa wilaya tena Kinondoni! Kwa maana nyingine HP kila akichekiiiii na yeye anaona akikomaa kuichafua UKAWA na EL mbona cheo kinakujaa.Vilevile NGO hazimlipi tena maana donors now wamekuwa wakali ka nini wanataka wapate thamani ya pesa yao kwa kila senti wanayotoa, so HP hana mahali pa kula ka zamani kilichobaki lazima afanye siasa maana anajua itamlipa tena fasta!
Polepole anajifanya anajua, mjuaji, wakati hajui kitu!!!!!!
... Polepole Ni Mzushi Na Mzandiki
aisee hapanaAah sasa hii ni sifa tena kilasiku polepole tukama mchalo
itakuwa ndiyo hivyo,,.. ila kaishiwa hojaYaani huyu dogo sijui huwa anahangaika nini,atakuwa anataka apewe kitengo mahali au pesa,
tatizo ni watu kutotaka kusia wasiyoyapenda.POLEPOLE YUKO SAHIHI
Huu si wakati wa kudanganywa na tuhuma zisizo na ushahidi, bali chuki binafsi kwa mtu,
Picha nayopata ni mtu aliyevimbiwa sifa na kujiona mawazo yake tuu ndio mawazo sahihi. Pia CCM walivyokata wakina membe na lowasa anaona kams CCM walifuata ushauri wake basi kichwa kimekuwa kikubwa kweli!
kuliko aliyeuza chama?
Lowassa ndio alikua waziri mkuu sasa Nani angewajibika kama sio yeye alieshindwa kujitetea akakimbilia kuachia ngazi,mnafikiri tumesahau kilichotokea,video zipo u tube.Muulizeni lowassa kwanini hakuitumia nafasi waliyompa kina mwakyembe kujitetea?muulizeni hilo