Polepole wamalize wa kaskazini hao wasijifanye wanaweka kumshika maskio kila mtu.
usipoteze muda wako kuamini maneno ya mchumia tumbo! yule ni masikini wa kipato ni lazima ajipendekeze kwa watawala. kimsingi hajui anacho kitaka. kama kweli anapigania katiba iliyo pendekezwa na Warioba kamwe hawezi kipenda ccm kwakuwa ccm wamesha amua aina ya KATIBA WAIPENDAYO. UKAWA wanataka kufika NCHI YA AHADI, NANI ANATUFIKISHA HUKO CAN BE ANY ILIMRADI ASITUSALITIBaada ya CCM kutaja na kuwapitisha watuhumiwa wa ufisadi kuwa wagombea ubunge
kama Tibaijuka Chenge na Ngereja inategemea Amferd Polepole atakihama chama hicho muda sio mrefu.
hii inatokana na kauli yake aliyoitoa wakati akiitimisha mdahalo wake na msigwa..Polepole alinukuliwa akisema kama CCM itampitasha mtuhumiwa wa ufisadi ntarudisha kadi ya ccm. Polepole ni mtu anayesimamia maneno yake ngoja tuone.
ninafikiri polepole anatakiwa aje hapa ajisafishe, atuelewe kuwa ni kweli aliiba laki sita akafukuzwa kwenye ngo yao ya mzngu au la. aje hapa ajitakase na yeye kabla hajaanza kuwaambia wengine. manake msigwa alimwuliz aswali kwanini aliiba laki sita za mzungu akafukuzwa swali, jamaa akashindwa kujitetea mbele ta tiiiviiii (tv), halafu, ashukuru Mungu kodi zetu sisi watz zilimlipia kwenye bunge la katiba, akatoka kwenye maisha kama mbwa koko mtaani hana hata senti akapaba mamilioni na umaarufu juu. kama amenunuliwa aachane na siasa aende tu akale hizo hela alale, sisi wenzie ambao hatukupata hizo hela tunahitaji tanzania njema itakayotupatia fursa ili tupate hela, yeye kama ameshiba kodi zetu (tulizomlipia mshahara kwenye bunge la katiba), asitudharau sana. hakuna mtu ananikera kama yule dogo tangu alipokuwa bunge la katiba alipokuwa anaponda serikali, nilikuwa napokea tu maneno yake lakini moyoni nilikua nahisi huyo dogo ni adui, si mtu mzuri kabisa.
MTATIRO ataangukia pua, katika Hawa wanasiasa vijana mtu ambaye anaweza kupambana kwa hoja ni zitto
haafu huyu pole pole akubali kuwa hana hoja tena.......
angalieni wadau tuone ujengaji wa hoja.chanel ten