rutagumirwa
Member
- Jul 31, 2015
- 7
- 0
Pole pole mnafiki sana anajichanganya sana
Hahaaaa ni mwamuzi wa mpira kati ya man u na chelsea lakini ametangaza kuwa ni mpenzi na mwanachama wa MAN U teh,teh,teh upo hapo???tatizo ni watu kutotaka kusia wasiyoyapenda.POLEPOLE YUKO SAHIHI
Mimi nimetoa majibu ya James Msonge kwa Polepole,,Mpaka sasa kwa hawa aliozungumza nao wamemshindwa. Si kwamba ana hoja nzito sana bali anachotetea kipo sahihi zaidi. Ni sawa na Sheikh au mchungaji kumtetea mzinifu. Ni lazima ashindwe hata kwa mfuasi wake kwa kuwa anatetea uovu.
Mimi nimetoa majibu ya James Msonge kwa Polepole,,
Sundi Malomo alikuwa mfanyakazi wa serikalinyumba za serikali waliuziwa wafanyakazi wa serikali pamoja na lowasa mtutajie waliouziwa nje ya mtumishi wa serikali kama sio unafiki ni nini
Kama walizalisha watashindwa nini kuitokomeza? aliyekuzaa si ndo anakufahamu vizuri? na mwiba si unatokea ulikoingilia? kama walileta wao basi ni wao wanaoweza kuutokomeza kwani siri ya mtungi aijuaye ni kata