Rahim hoja maana yake nini? Mbona wewe hapo huna hoja nawe wabwabwaja tu?. Siku ya kipindi cha Polepole na Msigwa, kama ulikiangalia Msigwa alipata taabu mno. Akaleta maneno ya uwongo ya kumsingizia Polepole lakini hakufua dafu ilikuwa mbaya sana. Ila lazima tuwe objective tunapoamua kuchallenge kitu chochote. Polepole ana haki ya kuzungumza chochote hata kama wewe hakikupendezi. Hivyo kiustaarabu kabisa tupinge hoja kwa hoja sio hoja na vioja visivyokuwa na mashiko tunajiaibisha jamani. Labda tumsikilize Julius leo lakini Msigwa alileta hoja za vijiwe vya kahawa mmmmmm hatariii