Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Binafsi sijakuelewa,sijajua umezidi kufumba sana au sijui mimi ndiyo nimefumba!
Ila ngoja waliokuelewa watachangia ipaswavyo.
 
Mnyakatari

nichukue fursa hii kuielezea au kuidadavua hoja ya polepole kisayansi zaidi. anasema watanzania wanataka "mageuzi" "transformation"kwa kisayansi ( chemical change refer irreversible reaction) na anadai ukwawa wanataka "mabadiliko "changes""kwa kisayansi ni (phyisical changes refer reversible reaction)
kwa dhana hii nawakubalia ukawa kwa kuwa ili uweze kufanikisha mageuzi" "transformation"kwa kisayansi ( chemical change refer irreversible reaction unalazimika kuanza na "mabadiliko
"changes
""kwa kisayansi ni (phyisical changes refer reversible reaction)

mfano kuna substance haziwezi reacact kama hazija undergo phisical changes kutoka solid state -liquid- vapour state ili chemical reaction i take place easily
ndo maana laboratory tunalazimika kupondaponda kuchoma au kuchemsha reactants(substances)

nikirudi kwenye mada ni kuwa ili kufikia transformation "Mageuzi" lazima tuanze na changes "mabadililko"
kwa hiyo UKAWA wako kwenye right track wameanza na mabadiliko "changes" kuelekea kwenye mageuzi "transformation" namwomba Humprey polepole awe na subira tu ukawa wata fika anakotaka, vinginevyo ni mnafiki tu
 
Last edited by a moderator:
mliberali

Sasa Ukawa wakifanya mabadiliko tusubiri tena miaka mitano waje kuomba kufanya mageuzi?
 
Last edited by a moderator:
Kama walizalisha watashindwa nini kuitokomeza? aliyekuzaa si ndo anakufahamu vizuri? na mwiba si unatokea ulikoingilia? kama walileta wao basi ni wao wanaoweza kuutokomeza kwani siri ya mtungi aijuaye ni kata
Kumbuka uliyemzaa ndiye anaweza kuwa chanzo cha kifo chako!
 
Big up Mtatiro, Polepole alipwaya sana na hoja zake za kutaka kumtegemea mgombea wa ccm alete mageuzi wakati taasisi hiyo imeoza kwa ufisadi imeshindwa kazi. Kumlete Magufuli hakutasaidia kitu na mwishowe atatoka amechafuka kama Mkapa.

Africa inahitaji kujenga taasisi imara na siyo mtu imara. Ukawa unasimamia ktk kujenge taasisi imara kupitia katiba mpya iliyopondwapondwa na CCM. Swala la katiba bora siyo agenda ya ccm na wala Magufuli hajawahi kusema lolote tangu ateuliwe zaidi ya kusema anasubiri ilani ya chama.
 
Nimeona polepole amekua uso mwekundu baada ya kutulizwa na mtatiro
 
Mtatiro alipotezwa sana akaanza kujiumauma. Hivi kweli unaweza kumuweka kapu moja la ufisadi Magufuli na Lowassa? Mafisadi papa yanajulikana ni yapi na Magufuli hachafuliki hata kwa kumzushia.
 
mliberali

You're damn good folk. Jana niligonga meza Humphrey aliposhindwa kuelewa "logic" ya Changes. Nilijisikia aibu kama mwana-Sayansi.
And by the way,look here, even tho u talk of CCM as a tiny entity of a system, It's the driving force of the system,say an engine.

Unaona Tume ya Warioba ilipoleta draft ya pili? CCM waliipiga chini. Kwahiyo inamaana bila kuondoa hiyo tiny entity in a system (as mr Polepole says), dont expect any implementation of better system.

CCM must go!!
 
Last edited by a moderator:
Mtatiro ni bonge la mwanasiasa, big up. Polepole unatia huruma, kumbe tulikuwa hatujakujua ulivyo mbumbumbu, nilitamani kujua cv yako japo kuwa baadae nikagundua na wrong, kwanini, prof Lipumba amesoma lakini ni kama dogo wa std 7. Ulipwaya kwa Mtatiro sana ,,,, yaani ni kama yeye ni prof halafu anaongea na mototo wa STD 4.

Hebu niikulize swali polepole moja tu, hivi indicator ya uadiifu ni kuwa maskini na kutokuwa na marafiki matajiri? kwani ukiwa tajiri kwa bidii zako katika nchi hii ni dhambi? Kwnini basi utajiri uwe kisu cha kumchinjia Lowassa.
Polepole umejishushia heshima kwenye hii nchi hasa vijana. saivi huna mvuto tena wa kusikilizwa. Ukiona watu wanatazama kipindi hiki cha mada moto sio kwa ajili yako, ni yule ambaye wamemualika awe pamoja nawe pale. Yaani wewe ni mnafiki sawa tu na wale akina mama waliopelekwa bunge la katiba kupiga makofi na vigelegele na ksema ndioooooooooooo. Unatia aibu
 
akielezea vizur maana ya mabadiliko na mageuzi anaingizia mabadiliko ambayo watanzania hawataki rushwaa akaendeleea akagusia kuwa kiongozi mtarajiwa anatakiwa asiwe tajiri hapa akaeleza kuwa huyu mtu akiwa tajiri atakwepa kodi na kadhalka hivi kiongozi akiwa masikini siatajilimbikizia mali ya umma na kushiba rushwa pamoja na kodi za walimu,askar,wafanyabiashara,madaktari,nk ebu toeni maoni yenu
 
Mabadiliko na mageuzi ni terminology zilizotumiwa na Martin Luther wakati anajitenga na Kanisa Katoliki na kuanzisha kukundi chake ambapo sasa kinajulikana kama Kanisa la Kilutheri.

Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa yuko wapi?

Hatudanganyiki.
 
Last edited by a moderator:
akielezea vizur maana ya mabadiliko na mageuzi anaingizia mabadiliko ambayo watanzania wahataki rushwaa akaendeleea akagusia kuwa kiongozi mtarajiwa anatakiwa asiwe tajiri hapa akaeleza kuwa huyu mtu atakwepa kodi na kadhalka hivi kiongozi akiwa masikini siatajilimbikizia mali ya umma na kushiba rushwa pamoja na kodi za walimu,askar,wafanyabiashara,madaktari,nk ebu toenu maoni yenu





you have reached the end of the thread....
 
:majani7😛olepole ni GAMBA JINGINE....
 
Mahitaji ya tumbo yanaleta shida sana. Hamphrey kajikuta analazimika kuongea asivyovijua. Kumbukeni mara nyingi huwa anaalikwa Channel 10 pekeake. This time kakutanishwa na mtu mwelevu kumshinda ameishia kubwabwaja
 
Naona polepole anashindwa kuchambua politics ya tanzania , kama mchambuz unatakiwa uongelee mazur na mabaya ya mtu inapofika kwa lowasa anakuwa anaona mabaya tu ya lowasa na bila kuangalia mazur alioyafanya , hapo ndipo anafel na mim namuona ni mfinyi wa kuchambua hoja za kisiasa anapelekwa na mahaba zaidi ya uhalisia
 
akielezea vizur maana ya mabadiliko na mageuzi anaingizia mabadiliko ambayo watanzania hawataki rushwaa akaendeleea akagusia kuwa kiongozi mtarajiwa anatakiwa asiwe tajiri hapa akaeleza kuwa huyu mtu akiwa tajiri atakwepa kodi na kadhalka hivi kiongozi akiwa masikini siatajilimbikizia mali ya umma na kushiba rushwa pamoja na kodi za walimu,askar,wafanyabiashara,madaktari,nk ebu toeni maoni yenu

Jk alikuwa maskini wakati anakamata madaraka kilichotokea kila mtu anakijua huitaji kusimuliwa.
 
a
Wakwanza kumuandama EL ni slaa,mbowe,lisu na si vinginevyo sasa leo kuna jipya gani?
Hao uliowataja sio serikali, hivyo kutuhumiwa na hao yaweza kuwa maneno ya kisiasa tuu. Lakini kutuhumiwa na watu wa serikali na chama chao huku wakiwa na vyombo vyote vinavyopambana na wizi,ufisadi,rushwa nk ni ujinga wa hali ya juu kupata kutokea duniani. Kwa nini wao wasimshughulikie wabaki kulalamika kama wapinzani wasio na dola?
Hiyo ni dalili ya kushindwa kazi waliyoomba kuifanya.
 
Hali inavyoonekana Polepole anahitaji ushauri. Aongee kama mtu mwelewa,msomi na mtu anaeelewa watu wana moyo,akili na wanajua jema na baya. Asituhadae kwa kauli na umaarufu anaouua kwa mikono yake.Kabla ya kujadili usafi nje ya ccm aseme usafi ndani ya ccm.kila siku kwenye tv ccm wanapigana kwa kisa cha kuzidiana maarifa.Watu waliopoteza nyadhifa zao kama Prof Tibaijuka. Ngeleja wako mstari wa mbele kupeperusha bendera za vyama hivyo.Chonde chonde polepole nenda polepole
 
Back
Top Bottom