Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Kifaurongo

Mungu akubariki kwa ufafanunuzi wako uliotukuka, hakika una upeo wa hali ya juu mno, nataman Watanzania wangelijua ulilosema hapa
 
Last edited by a moderator:
Fisadi mmoja Ikulu ni hatari Kuliko Mafisadi Laki mmoja Nje.Ni heri Nyoka Laki moja Wenye sumu kali porini, kuliko Nyoka mmoja mwenye sumu kali katika chumba cha watoto!
 
Polepole anajifanya anajua, mjuaji wakati hajui kitu!!!!!!
 
Ni bora tumuingze fisad mmoja ktk taasis ya urais ktkat ya wasafi kuliko kupitsha mafisad milion ktkat ya msafi mmoja ambaye tayar ameshaanza kuwa under someone hata kabla ya kuingia.
Ni zamu ya Fisadi mmoja utak kale malimao

SOMA HII HAPA,
ccm katika mchakato wake wa kupata wagombea urais imefanikiwa kuwaondoa mafisadi wake wakubwa waliokuwa na matumizi makubwa ya fedha ili kushawishi wajumbe wawapitishe katika uteuzi. Ccm wangeshindwa kuliona hilo nchi ingekuwa imeuzwa.

mfumo ni zaidi ya ccm. Mfumo ni utendaji mzima wa watumishi wa umma, sekta binafsi, mahakama, vyombo vya ulinzi na usalama na taasisi zake. Kumuondoa rais au chama peke yake hakuondoi mfumo.

watanzania hawahitaji mabadiliko (change of regime), wanahitaji mageuzi (transformation). Mageuzi ndiyo yanayoweza kubadili mfumo na ambao ukibadilishwa hauwezi kurudiwa tena lakini change of regime inaweza kuwa reversed.

lowassa si mtu binafsi bali ni taasisi yenye wafanya biashara wakubwa ndani yake, isiyoweza kudhibitiwa kwa maamuzi yake. Ila yeye anaweza kuwadhibiti wengine kama inavyotokea sasa katika baadhi ya viongozi wa vyama vya ukawa kudhibitiwa. Taasisi hii ndiyo ikiwa ndani ya ccm ndiyo iliyopambana kuzuia mabadiliko ya mpya sababu ina athari katika maslahi yao ya kibiashara.

magufuri katika utumishi wake wote, amehudumu wizara zisizo za muungano ambazo msimamizi wake ni waziri mkuu. Maana yake majukumu yake ni ya utekelezaji wa maagizo ya bosi wake, waziri mkuu. Mfano uuzwaji wa nyumba za serikali.
 
tatizo ni watu kutotaka kusia wasiyoyapenda.POLEPOLE YUKO SAHIHI

Hayuko sahihi hata kidogo, ni mnafiki sana huyo kijana.

Ye ameshupalia tu eti uchafu wa EL na eti UKAWA kwenda kinyume na misingi.
Mbona hawazungumzii CCM ambao waliyakataa na kuyatupilia mbali maoni ya wananchi tena bila kificho!??

Kama hoja ni maoni ya wananchi,ni lini CCM iliomba radhi hata leo atuaminishe kuwa ni wazuri?

Huyu dogo ni dhahiri amevimbiwa sifa, na amegeuka mungu mtu, na amini yeye ndo mwenye uelewa kuliko WATANZANIA wote.

Ni wazi analipa fadhira za aliyempa ulaji kwenye tume ya katiba.

Ni wakuogopwa kama Ebola
 
Mi najua ccm wote ni wezi wala haitaji ushahidi vipi leo bila ya haya wala aibu kwa watanzania mnanasimams na kumsafisha lowasa ambaye ndo mwizi mkubwa kabisa wa ccm na eti leo mnataka ushahidi wa wizi wa lowasa!!
 
Mbona huko TYC hayupo tena ashajiuzulu. Alisema mwenyewe juzi chanel 10 akiwa na Msigwa mchungaji.

Alijiuzulu kwa sababu ana kashfa nyingi sana huko. Kwanza aliiba shilingi laki sita, pili ana kashfa ya kuomba rushwa ya ngono kwa wasichana/wanawake ili awaajiri au wapate ajira kwenye taasisi.
 
Acheni mihemko, Jana alizidi kujidhihirisha kuwa ana kazi moja tuu aliyotumwa nayo ni kumchafua Lowasa. Mtatiro Jana amesaidia sana kumsababisha Polepole akae uchi na kueleweka has a malengo take ni nini?
Hapo ndio linakuja swali, jee kazi hii ya ghafla ya kupambana na Lowasa mwanzo mwisho anaifanya bure au kwa malipo? Haiwezi kuwa Bure, sasa nani anamlipa? Tuendelee kufuatilia tutamjua tuu.

Haswaa....
Hata mie ndivyo nilivyoona
 
Leo channel 10 Ni zamu ya Mtatiro na Polepole. Don't miss saa 4 kamili usiku.


Your right 100% huyu ni wa kupuuzwa asituletee njaa zake hapa.tena sinta poteza muda wangu kumsikiliza tena huyu Polepole.
 
Acheni mihemko, Jana alizidi kujidhihirisha kuwa ana kazi moja tuu aliyotumwa nayo ni kumchafua Lowasa. Mtatiro Jana amesaidia sana kumsababisha Polepole akae uchi na kueleweka has a malengo take ni nini?
Hapo ndio linakuja swali, jee kazi hii ya ghafla ya kupambana na Lowasa mwanzo mwisho anaifanya bure au kwa malipo? Haiwezi kuwa Bure, sasa nani anamlipa? Tuendelee kufuatilia tutamjua tuu.

Yani kuchafua shimo la taka???maajabu haya leo Lowassa ni msafi na polepole anafanya kazi ya kumchafua???
 
tatizo ni watu kutotaka kusia wasiyoyapenda.POLEPOLE YUKO SAHIHI

Yawezekana yuko Sahihi kwa mtazamo wako ila kwa mtazamo wangu Polepole kahongwa NA CCM.
Kwanini naamini hivyo? Kwa sababu huyu polepole ndiye aliyekuwa anatuaminisha kuwa chama cha mapinduzi kimekosa mwelekeo na kimetulazimisha katiba yetu wananchi.
Sasa hivi anataka tuendelee kuwaamini wana CCM kweli?
Amekosa mvuto wa kisiasa kabisa CCM yote imeoza wakati huku kwetu tuko safi sasa Huyo Lowasa mchafu kwa tuhuma tu.
Je huyo Magufuli na Samia aliyeshiriki kuwagandamiza wapinzani ili wapitishe katiba ya CCM kwenye bunge la katiba kwa kutumia kodi za wananchi, amekuwa msafi lini?
 
Kwenye bunge la katiba ccm kwa umoja wao waliikataa katiba ya warioba ambayo wewe ni mdau mkuu.
Baada ya ukawa kuigomea ccm wakaipitisha kwa kura za marehemu na mahujaji.
Leo umeamua kumpinga lowasa pekee je ccm kumteua makamu mwenyekiti samia wamekukosha?
Hotuba ya mwenyekiti wa CCM iliyobadili upepo bungeni inastahili sifa unazotoa?
Ccm kuwapitisha chenge, tibaijuka na team ccm bunge la katiba kwako si hoja?
Naomba msaada wako hapa.
 
Mkuu, soma mada vizuri kabla hujaanza kujibu. Hakuna mahali popote mleta uzi alipoongelea elimu ya pole pole zaidi ya uelewa mpana "general knowledge".

Kwahiyo pole pole hana uwelewa hata wakujua mtu mwizi au asie mwizi?
Mleta mada amemtuhumu pole pole kuwa anamshambulia luwasa.
Lakini mm nilivyo muelewa pole pole ktk vipindi vingi tu anavyo alikwa ktk tv station ni kuwakataa watuhumiwa wa aina tofauti.
Watuhumiwa wa ufisadi watuhumiwa wa kuikataa rasimu ya wananchi (ya warioba)
Mleta mada amejaribu kumfananisha luwasa na pole pole na mabondia akimuweka luwasa ktk uzito wa juu na polepole ktk uzito wa chini.
Ingawa sikujuwa uzito huo ni ktk suwala la ufisadi au uwajibukaji na utumishi ulio tukuka.
Mm nakubali ubora na utendaji wa luwasa lakini nimepinga na naendelea kupinga aina na mbinu na mikakati anayotumia kuutaka urais tangia akiwa ccm na leo hii akiwa cdm.
Tukiruhusu aina ya watu wanaotumia njia hii na mikakati hii yakwenda ikulu basi tujiandae kuja kupata rais wa makundi ya wauza unga,maharamia na makundi machafu nk.
Hii njia ni hatari hatari kupindukia.
 
Kwenye bunge la katiba ccm kwa umoja wao waliikataa katiba ya warioba ambayo wewe ni mdau mkuu.
Baada ya ukawa kuigomea ccm wakaipitisha kwa kura za marehemu na mahujaji.
Leo umeamua kumpinga lowasa pekee je ccm kumteua makamu mwenyekiti samia wamekukosha?
Hotuba ya mwenyekiti wa CCM iliyobadili upepo bungeni inastahili sifa unazotoa?
Ccm kuwapitisha chenge, tibaijuka na team ccm bunge la katiba kwako si hoja?
Naomba msaada wako hapa.



MAJIBU HAYA HAPA KAKA
CCM katika mchakato wake wa kupata wagombea urais imefanikiwa kuwaondoa mafisadi wake wakubwa waliokuwa na matumizi makubwa ya fedha ili kushawishi wajumbe wawapitishe katika uteuzi. CCM wangeshindwa kuliona hilo nchi ingekuwa imeuzwa.

Mfumo ni zaidi ya CCM. Mfumo ni utendaji mzima wa Watumishi wa Umma, Sekta binafsi, Mahakama, vyombo vya ulinzi na usalama na taasisi zake. Kumuondoa Rais au chama peke yake Hakuondoi mfumo.

Watanzania hawahitaji mabadiliko (Change of regime), wanahitaji Mageuzi (Transformation). Mageuzi ndiyo yanayoweza kubadili mfumo na ambao ukibadilishwa hauwezi kurudiwa tena lakini change of regime inaweza kuwa reversed.

Lowassa si mtu binafsi bali ni taasisi yenye wafanya biashara wakubwa ndani yake, isiyoweza kudhibitiwa kwa maamuzi yake. Ila yeye anaweza kuwadhibiti wengine kama inavyotokea sasa katika baadhi ya viongozi wa vyama vya ukawa kudhibitiwa. Taasisi hii ndiyo ikiwa ndani ya CCM ndiyo iliyopambana kuzuia mabadiliko ya Katiba mpya sababu ina athari katika maslahi yao ya kibiashara.

Magufuri katika utumishi wake wote, amehudumu wizara zisizo za muungano ambazo msimamizi wake ni Waziri mkuu. Maana yake majukumu yake ni ya utekelezaji wa maagizo ya Bosi wake, Waziri mkuu. Mfano uuzwaji wa nyumba za serikali.
 
nilisha mdelete na kumdharau kwa kila akisemacho kwa sasa. Mwanasiasa huyu harakati amejivika tu.
 
polepole ana fail anapojaribu kumuhusisha lowassa na mchakato wa ktiba mya. kumuhusisha lowassa na kumwaacha aliyevuruga mchakato hadharani ni upofu.
 
Sidhani kama polepole angekuwa anapata kazi ya kuelimisha watu kipindi hiki endapo Dk Slaa angekuwa mgombea wa ukawa…!! Ki msingi ukawa utapata upinzani sana kumchukua huyu mwizi yaani kaaribu kila kitu hasa imani yangu imetoweka kwa chama changu kisa yeye…!! Dk Angekuwa yupo pale juu nisingetarajia polepole kusema lolote baya kwa ukawa ila kwa bahati mbaya Julius alijua kama anamashabiki na ndio maana alimaliza kwa mbwbwe na kuvuta koti kwa mbwembwe vile.

Mimi ni mmoja wa niliokua dissapointed na Chadema, wanadhani kujaza watu ndo kua Rais, kama ndivyo Yanga, Diamond pia wanaweza kua Rais tena watu wanajaa kwa kulipia acha Lowassa anayelipa yeye. Tatizo hapa ni Mbowe, tutamkumbua kwa kuua upinzani, tutamkumbuka kwa kuua CUF.
 
Back
Top Bottom