TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Biblia hairuhusu huu ujinga,hicho ni kitabu cha mashetani!Na huyo anayefungisha ndoa anatumia biblia.??? Lord have mercy on us....I can see it coming
Biblia hairuhusu huu ujinga,hicho ni kitabu cha mashetani!Na huyo anayefungisha ndoa anatumia biblia.??? Lord have mercy on us....I can see it coming
Amen for what?Amen .....
Why not?nothing impossible under the sun!unaweza kutumia akili kumbadilisha shoga?
Mkuu upo sahihi kabisa!Tujiepushe nazo maana tushapewa akili tuzitumie.sio kumlilia mungu kipuuzi puuzi.
Makanisa gani hayo?unaweza kuyataja?unaweza kutoa ushahidi wa unayoyasema?Mungu atuepushie mbali.
Mtihani unaotunyemelea ni kuwa baadhi ya makanisa tena makubwa yamesha jihalalishia ndoa hizo na huzifunga. Na hayo makanisa yapo hapa kwetu na pia UN inaunga mkono upogo huo sasa kama tuko pamoja tuwakatae hawa vinara wa uchafu.
EWE MWENYEEZI MUNGU NDOA KAM HIZI UTUEPUSHE INSHALLAH ZISIJE HAPO KWETU TANZANIA SEMENI AMEEN.
OOH! you think just its simple like that, only God can!!Why not?nothing impossible under the sun!
Mkuu MziziMkavu pamoja na lawama tunazozitoa lazima tukubali kuwa hapa dunia kuna mashoga (wana homones za kike)!kitaalamu sijui nini kifanyike kumaliza hili tatizo!Wanawake wote nyie mupo wazuri Midume ikaoane wenyewe kwa wenyewe ahhh? Wanawake hakuna kwani?
Yes I do agree with you,it is through almighty god!OOH! you think just its simple like that, only God can!!
Teh teh teh!mkuu umenichekesha sana!baba yako........
Hawezi kupunguza ujinga mbaka atakapojitambua!Dogo punguza ujinga bhana..
Duh!dume zima linataka kuliwa kama demu,kweli dunia imekwisha!huku bongo mbona yapo sema ndio hayaoani tuu
Mkuu ni kuomba utukufu wa mungu lakini ukweli ni kwamba haya mambo yapo hapa duniani!!
!
siyo maigizo kweli haya......mabwaaku
Mkuu kwahiyo unashabikia huu ujinga?mungu akuongoze ili upate kujitambua!Amen...
Mkuu tuendelee kumuomba mungu kwa nguvu zetu zote,haya mambo yameshashika kasi hapa nchini!Hii dunia inakwenda wapi, nini hatima yake, mbona ni zaidi ya sodoma na gomora, Eee Mungu epushia mbali Tanzania isije ingia huko.