Baada ya kongamano lake kufana Tanzania,Wakenya wamlilia Prophet Lovy. ( Nigeria,South Africa, Ghana nao waomba akafanye mkutano nchini mwao )

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,120
27,126
Ndugu zangu. Narudia tena kwa mara nyingine. Usicheze kabisa na mtu aliebarikiwa na Mungu.


Kind David, the King of the United Kingdom of Israel and Judah alikuwa muuaji lakini alikuwa chaguo la Mungu.

Baadhi ya watu walimuita mtu wa damu " bloody man" ( 2 Samuel 8) lakini Mungu alimpenda hivyo hivyo.

Baada ya kongamano lake kufa na jijini Dar Es salaam nchini Tanzania, wakenya wamlilia Prophet Lovi. Wamuomba aende na Kenya pia wanamuhitaji.


Waghana, wanasheria, wa Congo, wa South Africa na waethiopia pia wamlilia. Wataka apeleke baraka nchini kwao pia..
1702189472719.jpg
 
Huwezi kumlinganisha muhuni na Daudi, mnataka kuhalalisha wahuni kumtumikia Mungu na mionekano ya kihuni, hii haikubaliki. Tukianza kukubali watu wamtumikie Mungu huku wakiwa na tabia zao za kale makahaba nao watafanya hivyo, walevi watafanya hivyo, huo itakuwa ni upuuzi na Mungu hatakuwa katikati ya upuuzi huo
 
Huwezi kumlinganisha muhuni na Daudi, mnataka kuhalisha wahuni kumtumikia Mungu na mionekano ya kihuni, hii haikubaliki. Tukianza kukubali watu wamtumikie Mungu huku wakiwa na tabia zao za kale makahaba nao watafanya hivyo, walevi watafanya hivyo, huo itakuwa ni upuuzi na Mungu hatakuwa katikati ya upuuzi huo

Yesu alikuja kufa kwa ajili ya hao unaowaita wahuni. Hakuja kufa kwa ajili ya watakatifu kama wewe.
 
Ndugu zangu. Narudia tena kwa mara nyingine. Usicheze kabisa na mtu aliebarikiwa na Mungu.


Kind David, the King of the United Kingdom of Israel and Judah alikuwa muuaji lakini alikuwa chaguo la Mungu.

Baadhi ya watu walimuita mtu wa damu " bloody man" ( 2 Samuel 8) lakini Mungu alimpenda hivyo hivyo.

Baada ya kongamano lake kufa na jijini Dar Es salaam nchini Tanzania, wakenya wamlilia Prophet Lovi. Wamuomba aende na Kenya pia wanamuhitaji.


Waghana, wanasheria, wa Congo, wa South Africa na waethiopia pia wamlilia. Wataka apeleke baraka nchini kwao pia..
Mungu wenu anapenda wauaji, Kwa maelezo yako
 
Ndugu zangu. Narudia tena kwa mara nyingine. Usicheze kabisa na mtu aliebarikiwa na Mungu.


Kind David, the King of the United Kingdom of Israel and Judah alikuwa muuaji lakini alikuwa chaguo la Mungu.

Baadhi ya watu walimuita mtu wa damu " bloody man" ( 2 Samuel 8) lakini Mungu alimpenda hivyo hivyo.

Baada ya kongamano lake kufa na jijini Dar Es salaam nchini Tanzania, wakenya wamlilia Prophet Lovi. Wamuomba aende na Kenya pia wanamuhitaji.


Waghana, wanasheria, wa Congo, wa South Africa na waethiopia pia wamlilia. Wataka apeleke baraka nchini kwao pia..
Tangu lini nuru na giza zikakaa psmoja?

Tangu lini mcha Mungu wa kweli akasifiwa na wachawi?
Cc LIKUD 🤣🤣🤣

Ukiona wachawi wakusifu ujue wewe ni mwenzao
 
Ndugu zangu. Narudia tena kwa mara nyingine. Usicheze kabisa na mtu aliebarikiwa na Mungu.


Kind David, the King of the United Kingdom of Israel and Judah alikuwa muuaji lakini alikuwa chaguo la Mungu.

Baadhi ya watu walimuita mtu wa damu " bloody man" ( 2 Samuel 8) lakini Mungu alimpenda hivyo hivyo.

Baada ya kongamano lake kufa na jijini Dar Es salaam nchini Tanzania, wakenya wamlilia Prophet Lovi. Wamuomba aende na Kenya pia wanamuhitaji.


Waghana, wanasheria, wa Congo, wa South Africa na waethiopia pia wamlilia. Wataka apeleke baraka nchini kwao pia..
Ujuha wa waprotestanti. Hakuna muelekeo, kila anayetrend wanaenda nae, wanabadili watumishi wao kama chupi, wanamchezea sana Mungu, lakini yote ni kukosa muelekeo sababu hakuna central figure, union. Hapo ndipo kanisa katoliki linakuwa tofauti. Kuna sehemu ya kuegemea, hakuna kupelekwa na upepo. Papa mwenyewe mtazamo wake haubadili mafundisho wala sheria za kanisa.
 
Tangu lini nuru na giza zikakaa psmoja?

Tangu lini mcha Mungu wa kweli akasifiwa na wachawi?
Cc LIKUD 🤣🤣🤣

Ukiona wachawi wakusifu ujue wewe ni mwenzao
Hehehe tena kwa nguvu nyingi anazotumia huyu jamaa kumpamba huyo nabii lazima kuna kitu cha ndani wanajuana wao kwa wao
 
Back
Top Bottom