LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,120
- 27,126
Ndugu zangu. Narudia tena kwa mara nyingine. Usicheze kabisa na mtu aliebarikiwa na Mungu.
Kind David, the King of the United Kingdom of Israel and Judah alikuwa muuaji lakini alikuwa chaguo la Mungu.
Baadhi ya watu walimuita mtu wa damu " bloody man" ( 2 Samuel 8) lakini Mungu alimpenda hivyo hivyo.
Baada ya kongamano lake kufa na jijini Dar Es salaam nchini Tanzania, wakenya wamlilia Prophet Lovi. Wamuomba aende na Kenya pia wanamuhitaji.
Waghana, wanasheria, wa Congo, wa South Africa na waethiopia pia wamlilia. Wataka apeleke baraka nchini kwao pia..
Kind David, the King of the United Kingdom of Israel and Judah alikuwa muuaji lakini alikuwa chaguo la Mungu.
Baadhi ya watu walimuita mtu wa damu " bloody man" ( 2 Samuel 8) lakini Mungu alimpenda hivyo hivyo.
Baada ya kongamano lake kufa na jijini Dar Es salaam nchini Tanzania, wakenya wamlilia Prophet Lovi. Wamuomba aende na Kenya pia wanamuhitaji.
Waghana, wanasheria, wa Congo, wa South Africa na waethiopia pia wamlilia. Wataka apeleke baraka nchini kwao pia..