Mabro na swali

Mabro na swali

Mim ni mvivu kuongea ilo tu
Anhaa wewe ni wale watu wakimya sio😅😅, basi achana nao wafurahi, Mimi pia ni miongoni mwa watu ambao nimeshakuwa na story nyingi sana na shemeji yangu hadi kuna kipindi nikawa nahisi kabisa bro wangu alianza kunitilia mashaka coz kuna siku zingine alikua anakuja kwa kutushtukiza ili aone nini kinaendelea😂😂😂.

Kwahiyo hayo mambo yapo mkuu, cha muhimu hakikisha wanazingatia mipaka yao tu(hasa mkeo).
 
Jifanyee unasafiri alafu ucku urudi uchunguliee Kwa drishaa uone yanayoendelea ndani chumbani kwako alafu ufe Kwa presha kisa kuona dogo anavyopress hyo Mali ya mkeo 😀😀😀

Hakikaa n huzuni..
😂😂😂😂😂😂
 
Anhaa wewe ni wale watu wakimya sio😅😅, basi achana nao wafurahi, Mimi pia ni miongoni mwa watu ambao nimeshakuwa na story nyingi sana na shemeji yangu hadi kuna kipindi nikawa nahisi kabisa bro wangu alianza kunitilia mashaka coz kuna siku zingine alikua anakuja kwa kutushtukiza ili aone nini kinaendelea😂😂😂.

Kwahiyo hayo mambo yapo mkuu, cha muhimu hakikisha wanazingatia mipaka yao tu(hasa mkeo).
Ukumla mke wake
 
Mwambie dogo aache tabia za kike za kukaa kaa jikoni na kupenda kupiga story na wanawake.

Akae nje huko awe anapiga story hata na maboda boda.
 
Back
Top Bottom