Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,790
- Thread starter
- #121
NitapigaFanya hivyo. Halafu uwaulize kwanini wamekuita Nguzo
NitapigaFanya hivyo. Halafu uwaulize kwanini wamekuita Nguzo
Naogopa kuongea nae anakuwa mkaliWashenzi hao.
Inawezekana dogo hana hatia, ila mke ndio ana shida, na ushaoa.
Kwahiyo hebu ongea na mke wako.
Mwambie huoni kama ni sawa yeye kushinda na kucheka na Mdogo wako.
Nitakupiga🤣🤣🤣🤣 Daaah.. unajiuliza sijui nicheke... Au nilie tu
Itabidi afanye vyote. Kila akifikiria hilo jina nguzo naona hapati majibu 😀🤣🤣🤣🤣 Daaah.. unajiuliza sijui nicheke... Au nilie tu
Then😂😂😂😂😂Kaka huyo dogo mi ningebonda walah tena
Kweli kabisaUnataka kutimua ndugu yako?
Maana yake kama analiwa na dogo, hata wengine watamla, hiyo ni simple logic ambayo ulitakiwa uielewe
Mini nina watu juu. Huwezi kunifanya chochote. Isitoshe wote wapo DarNitakupiga
Oya jamaa itabidi ufahamu kwanzaNitapiga
We si unamjua nguzo?Itabidi afanye vyote. Kila akifikiria hilo jina nguzo naona hapati majibu 😀
Sasa wakiwa dar? 😁Mini nina watu juu. Huwezi kunifanya chochote. Isitoshe wote wapo Dar
SawaOya jamaa itabidi ufahamu kwanza
Mim ni mvivu kuongea ilo tuMkuu ukiona ukikaa na mtu story nizakudunduliza ujue kuna maeneo mengi sana hamuendani, lakini mtu ambae mnaendana kwenye maeneo kadha wa kadha ukikaa nae hata muda unavyotembea hauuoni, ni weka tuweke yani😅😅.
Lakini pia inawezekana wewe ni aina ya wale majamaa wanaotanguliza ubaba mbele na kuwaona wake zao just wanawake tu so hawana chochote cha maana cha kuwaambia.
Kwasababu haiwezekani useme huna chochote cha kuongea nae while akikaa na mdogo wako wanapata cha kuongea na vicheko juu.
Unahisi ni story za aina gani ambazo mdogo wako anaweza kupiga na mkeo ila wewe hauwezi? 😊
Sawa kaka umetokea pwani et?Kaka wivu kidonda ukiendekeza utakonda" unakosa iman had kwa ndugu yako? Means humuamin mke wako?
Bro.Naogopa kuongea nae anakuwa mkali
Siogopi ila kuongea sipendi kabisa nikiongea hasira zinapanda huwa namuambiaga dada yake ana msema mambo yana kaa sawaBro.
Shida naona sio wao.
Ni wewe.
Ww ndio mwanaume. Mke ana miaka 26, dogo 20.
Wote unawalisha, alaf unaogopa kuongea kama mwanaume kuwa hiki sipendi?
Bro!, you are not serious! Au na ww una miaka 24?.
Pia hata kama ni mdogo, Men up bro.
Hii ni moja ya misimamo mwanaume anatakiwa kusimama nayo!
Mapema apo 😂Ahaahh. Wasiongee
Nyumbani kwetu paje kwa bi tozo..Sawa kaka umetokea pwani et?

Nimeona tu kauli zakoNyumbani kwetu paje kwa bi tozo..![]()