Huenda ukawa huumpi mkeo muda wa kutosha pindi anapokuhitaji na badala yake ameiona fursa ya muda kwa mdogo wako,punguza ubize ndugu yangu.
Au kama una Haiba ya ukali,kutokuongea nae mara kwa mara juu ya maswala mbalimbali hasa yanayolenga familia yenu inakubidi uanze kufanya hivyo ili kumkeep close mkeo .
Then acha kuwa na mawazo hasi juu ya ukaribu wa mkeo na mdogo wako maana utajikuta unataka kufanya maamuzi ambayo siyo sahihi kwa mkeo na mdogo wako(Build a positive perception concerning their closeness).
Kama ukithubutu kumzingua mkeo/Dogo wako juu ya swala hilo,trust me kwamba unakaribia kujenga familia yenye mpasuko na isiyokuwa na upendo uliokomaa.
"USIJARIBU KUUENDEA KWA PUPA MTEGO UNAOHITAJI AKILI".