Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,790
- Thread starter
- #21
Ahaahh. WasiongeePiga super glue Kwa midomo yao imeisha iyo
Ahaahh. WasiongeePiga super glue Kwa midomo yao imeisha iyo
Sure ndio nafikiriaMtafutie dogo pa kwenda
Ahahah wajubaFursa hiyo asiipate secretarybird atajilia mpka unyayo
Kaka mwachi dollari zanguAhahah wajuba
Basi ngoja dogo afill pale ulipoacha gapSasa si nampikia mke wangu kwa mapenzi nimemzoesha
Hama nyumba.Hamia porini.Vicheko vyao vitakuua.Una wivu kama yule mnyama mfunika nonino!Mfano mdogo wako wakiume ana ukaribu sana na mkeo yaani unakuta jikoni wanapiga story mpaka wanacheka ile mbaya ila mkeo akirudi chumbani mnacheka kiasi tofauti na akiwa na mdogo wako utachukua hatua gani?
Ulioa yule mpemba? Mbona kimya kimya sana....usikute we ni diamond na mkeo ndo zuchuSure ndio nafikiria
Si umegoma kuja kuzichukuaKaka mwachi dollari zangu
Hahaha whyNdo mana mabro hawatoi connection madogo mnazngua sana
Anaondoka soonBasi ngoja dogo afill pale ulipoacha gap
Agahahah et wivuHamas nyumba.Hamia porini.Vicheko vyao vitakuua.Una wivu kama yule mnyama mfunika nonino!
Ahahah mpemba hapana financial servicesUlioa yule mpemba? Mbona kimya kimya sana....usikute we ni diamond na mkeo ndo zuchu
Mkuu unatakaga kunigombanisha na jamaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Tatizo unatumia muda mwingi jikoni kupika mavyakula. Acha huyo dogo ajilie tu unyumba Poor Brain
Ukipewa utakataa kaeni mbali na mali za watuHakunashida mbona yupo na shemeji yake hii ndo nayopitia kuna demu wa mshikaji napiga nae sana mastory sasa kama jamaa yake mume wake anaona wivu kinyama anaishi napiga kumbe wala ni story inapaswa kujiamini
Kukaa jikon sio shida ila mazoeamtoto wa kiume anakaa kaa jikon😳,