John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,343
Kila kikundi kikikurupuka kipewe Nchi tu, kwanini unasema hivyo
Wapewe nchi yao tu... Sio wenzetu hawa
Kila kikundi kikikurupuka kipewe Nchi tu, kwanini unasema hivyo
Polisi wanaendelea kutumia nguvu nyingi kutuliza watu hivi mpaka lini? Leo boko haramu wamechoma makanisa matatu nigeria, kwa nini serikali isiwasikilize hawa watu jamani?
Au kama inajua haitawasikiliza kwa nini isikivunje hiki mkikunde? Tutaendelea kuishi hivi mpaka lini?
wapewe nchi yao ccm inatupeleka pabaya kama hamjui
Kama kweli basi kama huo ndio UTATUZI!! Kikuweli kufanya hivyo bila kujua undani wa Matatizo ya hawa watu ni hasarabtupu. Mara baada ya kupewa nchi yao wakawa wanaedneelea na Misuguano isiyo kwelisha na wao sasa wanakuwa Taifa Huru What do you do ...? Kwa hivi walivyo they dont have any ability to manage themselves ... dont you see that its better to contain them the way it or after some modifications ..i second you!
Wahuni hao, wapigwe tu mabomu. Haina kusikilizwa hapo.
wewe ndio muhuni mkubwa pumbavu sana
Mzee Mtei, kwanza shikamoo leo umesafisha hali ya hewa tokea ile post yako ya tume ya katiba.
Mawazo mazuri mzee umeleta .
serikali itumie busara katika hili.
Polisi wanaendelea kutumia nguvu nyingi kutuliza watu hivi mpaka lini? Leo boko haramu wamechoma makanisa matatu nigeria, kwa nini serikali isiwasikilize hawa watu jamani?
Au kama inajua haitawasikiliza kwa nini isikivunje hiki mkikunde? Tutaendelea kuishi hivi mpaka lini?
Hiyo sio dawa. Wanasema unaweza kumuua mjumbe lakini huwezi kuua ujumbe, au fikra ya mjumbe, you can never kill an idea.
Leo ni UAMSHO. Kesho ataibuka mwingine kubeba ujumbe, kubeba ile idea iliyoko vichwani mwa baadhi ya Watanzania, kwamba hawataki Muungano. Kwa hiyo, hata ungefuta usajili wao na kuwafunga, hata ungewapiga risasi UAMSHO wote, kesho hiyo idea itachipuka tena. Huo ndio ukweli. Martin Luther King, wa Marekani, alisema, "a truth buried to the ground will rise again"! Huwezi kuangamiza ukweli. Hata ungewapoteza, nini kufuta usajili, hata ungeficha milele viongozi wa UAMSHO wote, hiyo si dawa.
Dawa ni nini?
Nimesema "baadhi" ya Wananchi hawataki Muungano. Baadhi. Kinachotusumbua mpaka sasa ni, "baadhi" hao ni wangapi wetu? Jibu la hilo swali, ukipata jibu la hilo swali ndio umeanza kutafuta dawa!
mark section 9 (2) a,c and dKwa vile Tanzania tuna mchakato unaoendelea wa Katiba Mpya, Tume ya Warioba ipendekeze kura ya maoni, yaani referandum, ili Wazanzibari na Watanganyika waamue kama muungano uwepo au la.
Endapo ama Zanzibar au Tanganyika zaidi ya asilimia 50 hawataki muungano, basi hiyo Tume itoe ripoti moja juu ya Katiba ta Zanzibar na ripoti nyingine ihusu Katiba Mpya ya Tanganyika. Hakuna haja ya kulazimisha muungano.
uchomaji wa makanisa unahusika vipi na vuguvugu la uamsho wa kuvunja muungano? Huu ni uhuni na ugaidi, na dawa ya ugaidi ni kuwaosama. Viongozi wa tanzania bara naomba muwalinde wabara wote walioko zenji, kuweni kama wenzetu wa majuu raia wao hawaguswi, ukiwagusa utaona cha moto, uamsho kuweni wastaraabu kwa nini msichome maofisi ya serikali na ccm ? Si ndo hawataki kuvunja muuungano? Makanisa na raia wakawaida wa bara wamewakosa nini?
Wachapwe kwakosa lipi embu funguka utueleze tusioelewa ulichokiona acha kujibu kama msukuma guta funguka kama great thinker bila uonevu wa upande wowote