Mabomu ya machozi yarindima tena Zanzibar leo

tpmazembe

JF-Expert Member
Jan 5, 2012
2,469
581
Polisi wanaendelea kutumia nguvu nyingi kutuliza watu hivi mpaka lini? Leo boko haramu wamechoma makanisa matatu nigeria, kwa nini serikali isiwasikilize hawa watu jamani?

Au kama inajua haitawasikiliza kwa nini isikivunje hiki mkikunde? Tutaendelea kuishi hivi mpaka lini?
 
Tutafiki kweli kwa hali hii kila siku maandamano na mabomu ya machozi?
 
KWA KWELI SASA TANZANIA INAKUWA KAMA SOMALIA AU AFGHANISTANI KWA HALI HII,HUKO ZNZ NIMEONGEA WABARA KAMA WANNE WANASEMA MAISHA NI YA HOFU KAMA VILE LABDA WAO NI WAUAJI WANATAFUTWA.kuna jamaa mmoja wa hapa ni msambaa kajenga huko znz in anasema hao hao uamsho mameamua kukata kabisa fensi yake makusudi kisa ni ili tu aondoke arudi kwao tanga,sasa maisha ya hivi kweli tutafika
 
Inabidi wasilkilizwe wanachotaka sio kutumia nguvu unaweza kuta wana jambo la msingi tuu.
 
Sitaki kuamini mzaha mzaha huu. Kwani serikali inafanya majaribio gani? Maana nilitegemea ingekwisha chukua hatua stahiki tangu zamani. Labda watuambie kuwa intelijensia ya IGP Mwema haivuki bahari. Mungu uhirehemu TanZania
 
I support UAMSHO movement hata kama mimi sio Mwislamu!

Serikali legelege inaogopa nini kuwasikiliza madai yao??

CCM wanafaidika vipi na huu Muungano usioeleweka??

NB; Nyie waislamu wa JF punguzeni chuki dhidi ya sisi wakristo kwa kuficha upumbavu na udhaifu wenu!!
 
Hata jeshi zima likihamishiwa Zanzibar,vurugu hazitoisha. Nani asiyejua madhara ya kuishi na kero kwa muda mrefu.Magamba lazima wawajibike kwa Moreno Ocampo wasipokuwa makini.Mzizi wa madai ya uamsho ni zaidi ya tunavyodhani lakini J.K,Pius Msekwa,Rais mstaafu Amani Karume na Dr.Shein wanajua nguvu ya historia iliyopakwa matope pale Zanzibar.

Kwa wanaojua vizuri kupika proganda za kivita na uasi ni rahisi kuchochea vurugu za makundi kwa njia ya kutoa elimu hasi kwa wahusika. Haitakiwi kutumia nguvu nyingi then akili kidogo ktk kusuluhisha mgogoro unaofukuta pale Zenj,la sivyo damu itamwagika.

Tuache ushabiki usiojenga...ooh let them go, Mara polisi walikuwa wapi kudhibiti mapema-then what? Wale ni binadamu wenye akili timamu hivyo wanapashwa kusikilizwa.Kama J.K ana uwezo wa kuongea na wazee wa DSM anashindwa nini kuongea na wazee wa Zanzibar kijua namna ya kumaliza tatizo kwa njia ya amani?
 
Sitaki kuamini mzaha mzaha huu. Kwani serikali inafanya majaribio gani? Maana nilitegemea ingekwisha chukua hatua stahiki tangu zamani. Labda watuambie kuwa intelijensia ya IGP Mwema haivuki bahari. Mungu uhirehemu TanZania

mtu yeyote anashawishika kukubali kuwa," huu ni mpnago wa ushirikiano kati ya serikali ya mapinduzi zanzibar na wanauamsho.Kwahili basi tukubali serikali haina usalama wa taifa wala intelijensia ya polisi.Na kama wapo basi nathibitisha kauli yangu, kuwa ni ushirikiano.masuala haya lazima serikali ingekuwa imechukua hatua na yasingerudiwa; hawa wanafanya hivyo sababu kuna mkono wa serikali ya mapinduzi zanzibar
 
Inabidi wasilkilizwe wanachotaka sio kutumia nguvu unaweza kuta wana jambo la msingi tuu.

madai yao mengi hayatekelezeki mfano hili la kuchoma makanisa ili zanzibar liwe taifa la kiislam 100%, wanaweka madai yasiyotekelezeka kwa makusdui ili pawepo na sababu ya kuendeleza vurugu mpaka pale dar el harb (house of war au nyumba ya vita) itakapo kuwa da el salaam (islamic house of peace) Tanzania kwa ujumla wake ni dar el harb sasa usitegemee mpambano kukoma si kwa kikazi hiki wala kijacho. Nchi kama misri hali kama hii iliwapata miaka zaidi ya elfu moja iliyopita na bado mpambano unaendelea kwa sababu bado 10% ya raia wake ni wakristo, chezea muhammadans weye!
 
i support UAMSHO

Unasapoti Uamsho kwa kigezo kipi embu dadavua maana wengine tusije tukawa tunawachukia tu kumbe Serikali ndio yenye makosa. Embu funguka kama great thinker bila upendeleo wa mawazo yako
 
Wanapingana na Muungano usiokuwa na tija kwa wazanzibar hivyo seikali zote mbili zinatakiwa kukaa na hawa UHAMSHO wasione aibu!kuwafuata na wazungumze nao kwani watanzania wasasa hawatishiwi kwa risasi na maji ya kuwasha!!chaguo nikuongea nao.
 
Back
Top Bottom