Polisi wanaendelea kutumia nguvu nyingi kutuliza watu hivi mpaka lini? Leo boko haramu wamechoma makanisa matatu nigeria, kwa nini serikali isiwasikilize hawa watu jamani?
Au kama inajua haitawasikiliza kwa nini isikivunje hiki mkikunde? Tutaendelea kuishi hivi mpaka lini?
Au kama inajua haitawasikiliza kwa nini isikivunje hiki mkikunde? Tutaendelea kuishi hivi mpaka lini?