Kwelii,ila nyingii zaidi zimefunguliwa hivi karibuni. Wanajichanganya sanaParody nyingine zipo kitambo sana aisee... Sema ma parody mengi yahajui namna ya Ku handle hizo akaunti..
Halima Mdee hayuko huko? vipi Fatma Kalume?Karib mkuu achana na hawa single mother
Umejuajeeeee lol mweeeh, nlitak nseme nkashkwa na kigugumiziWanaitana mpwa tuinuane
Sent using![]()



bado mnajadili Uzi wake JF ndo kila kitu Yan n kama maji usipoogea utayanywaNdio wapo sana tu yani
Mabloo watu hatariHuyu n yule Jamaa wa MABLOO wa kule Jamhuri ya Kidemokrasia ya Twiterbado mnajadili Uzi wake JF ndo kila kitu Yan n kama maji usipoogea utayanywa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo avatar yako nishaiona kuleTwitter ya saiv ni ushubwada wengi n madume Ila I'd n za kike, sasa jichanganyeni mtakuja kukutana na pipi kijiti huku ultegemea ukute JoJo.
Sent using Jamii Forums mobile app
HongeraAcha wivu basi .....yaani nitume nauli wakat papuch mbili tayar zishaliwa mwez huu toka twitter
Sio mabloo ni mabro =my brothers=Kaka zanguniVillage version wewe huwez kunielewa.watoto wa mjini wamenielewa
Ndiyo huyo?![]()
Kuna dada anaitwa manaal Mohamed sijui msomali Yule daah Mimi meenzenu nimeoza kwake
Sent using Jamii Forums mobile app



Aaaah wapi!
ToT bonanza tunawaona wengi tuu wajasiriamali
HawakurudishaHivi kila Lusako walirudisha Hela za rambi rambi.?![]()