Magari ya kukodisha
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 412
- 696
- Thread starter
- #81
Inaitwa blo code ๐๐๐๐๐Twitter anaitwa rais ila kiuhalisia bado anaishi kwa Mama yake.
Inaitwa blo code ๐๐๐๐๐Twitter anaitwa rais ila kiuhalisia bado anaishi kwa Mama yake.
Njoo nikupe flowers mamilooo
Balaa Sana halafu wengi elim ipo sio kama instaKiukweli Twitter ina wahuni sana balaha ๐๐๐๐
Blo hafilisiki mpwadada tumuambie ukweli au tusubiri afilisike kwanza
Acha wivu basi .....yaani nitume nauli wakat papuch mbili tayar zishaliwa mwez huu toka twitterHawezi kuelewa! Muache atume nauli
Wadada nao waende wapi kupata wakak handsome
Bloo una nyota ya single mom.baki hapahapaMmeshachagua rais wenu wa jamhuri ya Wapwa?
Kule kuna misamiati bana
-Mabloo,wapwa,wakulungwa,parody, wajuba.
Mbona wanawake ni wale wale tu
Twitter na zanga langu la parody account lina kama 35k bado wajuba hawaja lisanukia... Sema siombi hela ya nauli ๐๐Relax.
Mademu wengi Twitter ni "wanaume" tunawaita ma-parody.
Usirukie mtu Twitter, unless unamfahamu na mmeonana. Kuna matapeli pia...wapk wanaoandikiwa, wapo wanao-copy twits za wazungu na kuzirusha kama zao.
Tunajuana english zetu, so ukiona mtu kanyoosha sana twit yake, i-copy nenda kwenye 'tafuta' (search) i-paste hapo ndo utaelewa.
Kuna mabloo na wana huwa nawatazama tu na wana followers wengi lakini kila kitu ni copy and paste.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uelewa wowote kuhusu parody ?Mabloo wote wa jf
Huu ni uchunguz mdogo nilioufanya kule Twitter
1. Madem wanaotumia Twitter wengi ni wenye elim ya kueleweka
2. Madem wazur wengi wapo Twitter
3. Madem wakishua wengi wako Twitter
4. Madem wajanja na walioruka ruka ng'ambo wako twitter
5. Madem wengi hawafanyi kazi serikalini wengi wao ni kwenye ngo's na taasis za kimataifa
6. Madem wa Twitter wanafuatilia sana ligi za ulaya na mpira kwa ujumla
7. Madem wa Twitter wachache sana ambao ni single mother
8. Madem wa Twitter sio wa kuwapeleka Lodge za 15000
9. Madem waliopo Twitter wengi wanafanya kazi za ofisin wameajiriwa sio zile za kuuza maduka au kuuza shughuli za ujasiriamali
10. Kama uwezo wako ni mdogo Twitter hutaiweza kuitumia
11. Kudate na mdada ambaye ni meneja tawi flani ofisi flan ni kawaida
12. Wanatumia iPhone na Samsung
Mabloo msikurupuke mkija Twitter
Save a brother
ledada nitawaambia mabloo wanisaidie kukupata wewe ndio utajua mabloo ni kina nani nchi hiiNa maparody mengi ni wanaojiunga hivi karibuni
Hao mabloo huwa nawadereee hawana hata aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nina uwelewa kabla neno lenyewe hamjalijua hapa Tanzania.....jua u are rocking with the best blo...thank u for your concerning
Kwahiyo mpwa huwa ukitongozwa unaombaga nauli?Twitter na zanga langu la parody account lina kama 35k bado wajuba hawaja lisanukia... Sema siombi hela ya nauli ๐๐
kuna siku wajuba walitaka niji verify kama mm siyo parody nikawaambia wait, nilitafuta demu wangu nikamrekodi video fupi then nikaiweka PIN Post so nikawa nimemaliza game....
Kwahiyo mpwa huwa ukitongozwa unaombaga nauli?
Parody nyingine zipo kitambo sana aisee... Sema ma parody mengi yahajui namna ya Ku handle hizo akaunti..Na maparody mengi ni wanaojiunga hivi karibuni
Hao mabloo huwa nawadereee hawana hata aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Akaunti nataka nifikishe 50k au 100k niipige bei...Kwahiyo mpwa huwa ukitongozwa unaombaga nauli?
Akaunti nataka nifikishe 50k au 100k niipige bei...
Uuage umasikinAkaunti nataka nifikishe 50k au 100k niipige bei...
๐๐๐dada tumuambie ukweli au tusubiri afilisike kwanza
Hata elfu 15 ni kubwa sana mkuu kama unaenda kukutanisha viungo vya mwili tu.Ko madem wa humu hadh yao n
Gest za 15k
stidy