bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 10,345
- 23,433
Wapwa kuinuanaHivi kila Lusako walirudisha Hela za rambi rambi.?![]()
Thank you for your concerning 😎😎😀😀😀😀Yaani nina uwelewa kabla neno lenyewe hamjalijua hapa Tanzania.....jua u are rocking with the best blo...thank u for your concerning
Sasa huyo anatofauti gani na gold digger mkuu?Twitter ukitweet tu pale chini inaandika unatumia simu gani Sasa hapo huwez kumpata dem anaetumia I phone wakat we unatumia tecno kwanza ukimtongoza tu kabla hajakujibu anakuangalia aina ya simu unayo tumia alaf anakuthaminisha
Sent using Gun Trigger
Thubutu..Hivi kila Lusako walirudisha Hela za rambi rambi.?![]()
hAHAHA NILIKUWA SIJUIMAANA YA mABLOO. KUMBE NDIO HIVYO...Inaitwa blo code 😂😂😂😂😂
Hao wapwa wanashambulia kama nzige yani usiombe ....lazima utamkubalia bloo tu hamna namnahAHAHA NILIKUWA SIJUIMAANA YA mABLOO. KUMBE NDIO HIVYO...
NA WALE WAPWA. SIJUI WENGINE NI WAKULUNGWA.
Mmmh acha fix wee mkuu lol, me sipo Twitter etiHiyo avatar yako nishaiona kule
Faida za like twitter ni zipi mkuu??Nadhani mtoa mada haujui vizuri mtandao wa twitter. Ni mtandao ambao huna uhakika mtu unaemuendea DM ni mwananume au mwanamke!
Ni mtandao ambao wengi wanaingia kwa kutumia ID ya kike ili kupata more followers kwa maana wanaume wa twitter ni rahisi kumfollow mwanamke kuliko mwanaume.
Twitter unaweza ukawa una followers 1500 then ukapost kitu ukapata 2 likes. Hata hao mabloo wenye followers kuanzia 50k wakipost kitu sana sana wanaambulia likes 300 hadi 600. So ni mtandao flani mgumu. Then unatakiwa uwe na content la sivyo utakuwa msomaji tu wa post za watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅

Ndiwooo, nilikuwa na wapwa
Wapwa kuinuana
Thubutu..