Mabloo Twitter kuna madem wakali

Mabloo Twitter kuna madem wakali

Mabloo wote wa jf

Huu ni uchunguz mdogo nilioufanya kule Twitter

1. Madem wanaotumia Twitter wengi ni wenye elim ya kueleweka

2. Madem wazur wengi wapo Twitter

3. Madem wakishua wengi wako Twitter

4. Madem wajanja na walioruka ruka ng'ambo wako twitter

5. Madem wengi hawafanyi kazi serikalini wengi wao ni kwenye ngo's na taasis za kimataifa

6. Madem wa Twitter wanafuatilia sana ligi za ulaya na mpira kwa ujumla

7. Madem wa Twitter wachache sana ambao ni single mother

8. Madem wa Twitter sio wa kuwapeleka Lodge za 15000

9. Madem waliopo Twitter wengi wanafanya kazi za ofisin wameajiriwa sio zile za kuuza maduka au kuuza shughuli za ujasiriamali

10. Kama uwezo wako ni mdogo Twitter hutaiweza kuitumia

11. Kudate na mdada ambaye ni meneja tawi flani ofisi flan ni kawaida

12. Wanatumia iPhone na Samsung


Mabloo msikurupuke mkija Twitter



Save a brother
Hi ni misitari ya wimbo?!? Inawezekana unajiandaa kutoa single
 
Mabloo wote wa jf

Huu ni uchunguz mdogo nilioufanya kule Twitter

1. Madem wanaotumia Twitter wengi ni wenye elim ya kueleweka

2. Madem wazur wengi wapo Twitter

3. Madem wakishua wengi wako Twitter

4. Madem wajanja na walioruka ruka ng'ambo wako twitter

5. Madem wengi hawafanyi kazi serikalini wengi wao ni kwenye ngo's na taasis za kimataifa

6. Madem wa Twitter wanafuatilia sana ligi za ulaya na mpira kwa ujumla

7. Madem wa Twitter wachache sana ambao ni single mother

8. Madem wa Twitter sio wa kuwapeleka Lodge za 15000

9. Madem waliopo Twitter wengi wanafanya kazi za ofisin wameajiriwa sio zile za kuuza maduka au kuuza shughuli za ujasiriamali

10. Kama uwezo wako ni mdogo Twitter hutaiweza kuitumia

11. Kudate na mdada ambaye ni meneja tawi flani ofisi flan ni kawaida

12. Wanatumia iPhone na Samsung


Mabloo msikurupuke mkija Twitter



Save a brother

Wewe Acha kutuendesha hao mademu wa Twitter wanaliwa na wenye simu za tochi na watu ambao hawajuwi nn Maana Ya Twitter.
 
Hebu tuma angalau 10 users to support your thread ?
 
kuna watu washenzi aisee walilia kwa uchungu wakapost hadi gari ya msiba sina hamu🏃‍♂️🏃‍♂️
Nilipo kuja kufuatulia kwa kina nilichokuja kugundua hao jamaa wanatafuta kiki sana maana screen shot zao huwa kuna Wana members wanazipost sehemu zingine za mitandao yetu kuwa vuta watu kuja Twitter zaidi na zaidi maana ukiwa na followersviews kuanzia 1k ni moja ya mchongo town wa kutangaza makampuni bidhaa zao au huduma zao na kulipwa mkwanja cash au mkataba hichi kitu nilikuwa naomba Maxence Melo
 
Relax.

Mademu wengi Twitter ni "wanaume" tunawaita ma-parody.

Usirukie mtu Twitter, unless unamfahamu na mmeonana. Kuna matapeli pia...wapk wanaoandikiwa, wapo wanao-copy twits za wazungu na kuzirusha kama zao.

Tunajuana english zetu, so ukiona mtu kanyoosha sana twit yake, i-copy nenda kwenye 'tafuta' (search) i-paste hapo ndo utaelewa.

Kuna mabloo na wana huwa nawatazama tu na wana followers wengi lakini kila kitu ni copy and paste.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmeshachagua rais wenu wa jamhuri ya Wapwa?

Kule kuna misamiati bana
-Mabloo,wapwa,wakulungwa,parody, wajuba.

Mbona wanawake ni wale wale tu
 
Mabloo wote wa jf

Huu ni uchunguz mdogo nilioufanya kule Twitter

1. Madem wanaotumia Twitter wengi ni wenye elim ya kueleweka

2. Madem wazur wengi wapo Twitter

3. Madem wakishua wengi wako Twitter

4. Madem wajanja na walioruka ruka ng'ambo wako twitter

5. Madem wengi hawafanyi kazi serikalini wengi wao ni kwenye ngo's na taasis za kimataifa

6. Madem wa Twitter wanafuatilia sana ligi za ulaya na mpira kwa ujumla

7. Madem wa Twitter wachache sana ambao ni single mother

8. Madem wa Twitter sio wa kuwapeleka Lodge za 15000

9. Madem waliopo Twitter wengi wanafanya kazi za ofisin wameajiriwa sio zile za kuuza maduka au kuuza shughuli za ujasiriamali

10. Kama uwezo wako ni mdogo Twitter hutaiweza kuitumia

11. Kudate na mdada ambaye ni meneja tawi flani ofisi flan ni kawaida

12. Wanatumia iPhone na Samsung


Mabloo msikurupuke mkija Twitter



Save a brother
Wadada nao waende wapi kupata wakak handsome
 
Back
Top Bottom