Mabloo Twitter kuna madem wakali

Mabloo Twitter kuna madem wakali

haya mabloo mje huku bloo mwenzenu anawaita, ila frankly speaking avatar ya Surbi inavutia sana.
 
Mabloo wote wa jf

Huu ni uchunguz mdogo nilioufanya kule Twitter

1. Madem wanaotumia Twitter wengi ni wenye elim ya kueleweka

2. Madem wazur wengi wapo Twitter

3. Madem wakishua wengi wako Twitter

4. Madem wajanja na walioruka ruka ng'ambo wako twitter

5. Madem wengi hawafanyi kazi serikalini wengi wao ni kwenye ngo's na taasis za kimataifa

6. Madem wa Twitter wanafuatilia sana ligi za ulaya na mpira kwa ujumla

7. Madem wa Twitter wachache sana ambao ni single mother

8. Madem wa Twitter sio wa kuwapeleka Lodge za 15000

9. Madem waliopo Twitter wengi wanafanya kazi za ofisin wameajiriwa sio zile za kuuza maduka au kuuza shughuli za ujasiriamali

10. Kama uwezo wako ni mdogo Twitter hutaiweza kuitumia

11. Kudate na mdada ambaye ni meneja tawi flani ofisi flan ni kawaida

12. Wanatumia iPhone na Samsung


Mabloo msikurupuke mkija Twitter



Save a brother
Kama hujui mademu kama hao wanawapenda Maskini Jeuri!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu usipagawe sana nyingine ni parody mle

wako jamaa walitengeneza parody la demu mkali baadae yule dem ikasemekana kafa

na watu wakachanga pesa za rambirambi wakapiga pesa, wajinga ndo waliwao, masanja mkandamizaji anajua muulize

usiingie kichwa kichwa mkuu waweza kuona account ya demu mkali kumbe mwanaume
Mfano anayejiita Glory Minde
 
Kalibuni Serikali ya Wapwa, tumepata Raisi, Makamu wa Raisi, Waziri Mkuu na Baraza zima la Mawaziri
Screenshot_2020-04-27-13-28-45.jpg
 
mkuu usipagawe sana nyingine ni parody mle

wako jamaa walitengeneza parody la demu mkali baadae yule dem ikasemekana kafa

na watu wakachanga pesa za rambirambi wakapiga pesa, wajinga ndo waliwao, masanja mkandamizaji anajua muulize

usiingie kichwa kichwa mkuu waweza kuona account ya demu mkali kumbe mwanaume
Hawezi kuelewa! Muache atume nauli
 
Back
Top Bottom