Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Saivi wanaboa kama nini, TL yootee kuinuana tuu!Wapwa mnanichekesha kweli
Saivi wanaboa kama nini, TL yootee kuinuana tuu!Wapwa mnanichekesha kweli
Saivi wanaboa kama nini, TL yootee kuinuana tuu!
HahahahahaHahahaa
Hapana , niliona picha tuu Mpwa.
Kumepoteza ladha ya TL kabisaa!! Kila tweet tuinuane, tuinuane!! WoooiiiMaparody kama yote...
Hahahahaha
Sawa bloo! Nikajua na wewe ulikuwepo
Siwezi kuwepo kule mimi..
Mimi niko na sehemu zangu pasono..![]()







Pasono hiyo vipi jamani!! Hutaki kuwainua wapwa wajasiriamali eeeh
Kule kuna na vitu watu hawaelewi yaani.
Watu wako kule for purpose..
Sasa wewe nenda kule kijinga kijinga tuu![]()






Mimi nilikuwa kazini bana bloo
Twende wapiii wakati bonanza ilishapita wewe blooCorona ikiisha nakupitia Twende..
Sakayo nmekumissTwende wapiii wakati bonanza ilishapita wewe bloo
Twende wapiii wakati bonanza ilishapita wewe bloo
Niko hapa mimi!!Sakayo nmekumiss
The next bonanza...i meant..
Tukainue Wapwa.







Me sijambo... ukuje kwa huku tujifungie wote...Niko hapa mimi!!
Habari za wewe eti
Wewe uko kwa wapi tena jamani!Me sijambo... ukuje kwa huku tujifungie wote...
sana kama yule demu anaitwa shangazi ni balaaMabloo wote wa jf
Huu ni uchunguz mdogo nilioufanya kule Twitter
1. Madem wanaotumia Twitter wengi ni wenye elim ya kueleweka
2. Madem wazur wengi wapo Twitter
3. Madem wakishua wengi wako Twitter
4. Madem wajanja na walioruka ruka ng'ambo wako twitter
5. Madem wengi hawafanyi kazi serikalini wengi wao ni kwenye ngo's na taasis za kimataifa
6. Madem wa Twitter wanafuatilia sana ligi za ulaya na mpira kwa ujumla
7. Madem wa Twitter wachache sana ambao ni single mother
8. Madem wa Twitter sio wa kuwapeleka Lodge za 15000
9. Madem waliopo Twitter wengi wanafanya kazi za ofisin wameajiriwa sio zile za kuuza maduka au kuuza shughuli za ujasiriamali
10. Kama uwezo wako ni mdogo Twitter hutaiweza kuitumia
11. Kudate na mdada ambaye ni meneja tawi flani ofisi flan ni kawaida
12. Wanatumia iPhone na Samsung
Mabloo msikurupuke mkija Twitter
Save a brother
Wewe uko kwa wapi tena jamani!