Magari ya kukodisha
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 412
- 696
- Thread starter
- #21
Sawa bloo 😂😂😂😂Sasa unataka tufanyaje bloo ? ila ahsante kwa kutupa taarifa na endelea kutupa updates mbalimbali za mademu wa huko .
Sawa bloo 😂😂😂😂Sasa unataka tufanyaje bloo ? ila ahsante kwa kutupa taarifa na endelea kutupa updates mbalimbali za mademu wa huko .
Sema Kule kuna baadhi wanaiharibu, mda siyo mwingi itakuwa kma fbmuambie kijana huyo twitter imechafuka sasa hivi sio ile ya zamani
ukikuta account 10 za mademu 7 fake😥😥
Hey *** why you here JFTatizo upeo wako umeishia hapo young man.go back to school
Huyu Dem nakumbuka walitoa taarifa kuwa amefarik ila kwakua mi huko Twitter nin followers 2 tu nikapita kimya walisema kwao ni arsha huyo demNdiyo huyo?![]()
Hahahhaha hahahhaha nimecheka mwenyewe. Duh! Jf members Mungu anawaona.
Maboloo labda!!
Mchangia mada nakuuliza hawa waliopo humu unaamin vp ni wa kikeNadhani mtoa mada haujui vizuri mtandao wa twitter. Ni mtandao ambao huna uhakika mtu unaemuendea DM ni mwananume au mwanamke!
Ni mtandao ambao wengi wanaingia kwa kutumia ID ya kike ili kupata more followers kwa maana wanaume wa twitter ni rahisi kumfollow mwanamke kuliko mwanaume.
Twitter unaweza ukawa una followers 1500 then ukapost kitu ukapata 2 likes. Hata hao mabloo wenye followers kuanzia 50k wakipost kitu sana sana wanaambulia likes 300 hadi 600. So ni mtandao flani mgumu. Then unatakiwa uwe na content la sivyo utakuwa msomaji tu wa post za watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeiva mkulungwaMaboloo labda!!
IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
Kule Kuna kitu kinaitwa save a brotherKuna dada anaitwa manaal Mohamed sijui msomali Yule daah Mimi meenzenu nimeoza kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua ID yako inamchanganyawe ni kum@ nn acha shobo kwa wanaume nenda twitter kwa mapunga wenzio
Mpambazi na Lusako walipiga pesa za watumkuu usipagawe sana nyingine ni parody mle
wako jamaa walitengeneza parody la demu mkali baadae yule dem ikasemekana kafa
na watu wakachanga pesa za rambirambi wakapiga pesa, wajinga ndo waliwao, masanja mkandamizaji anajua muulize
usiingie kichwa kichwa mkuu waweza kuona account ya demu mkali kumbe mwanaume



Maboloo labda!!
IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
Hahahhaha hahahhaha nimecheka mwenyewe. Duh! Jf members Mungu anawaona.
Sent using Jamii Forums mobile app