Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Huwezi kuelewa dear, kama hutumii TwitterYa mabloo kwakweli sina nilichoelewa na kumaliza post nzima
Huwezi kuelewa dear, kama hutumii TwitterYa mabloo kwakweli sina nilichoelewa na kumaliza post nzima
Wanainuana dada, mimi wananikera hapo tuuKwamba mnapeana au
Hahaha kweli yaani nimejitahidi kumaliza post zote nimetoka kapa naona watu mnanena kwa lugha yenu wenyewe mnaelewana vizuri tu
Una ufala mob akii
Kwakweli acha msomaji tuHuwezi kuelewa dear, kama hutumii Twitter
Wewe hawakuinuiWanainuana dada, mimi wananikera hapo tuu
Kichwa cha habari nikajua anamaanisha wakaka sasa nakuja kukutana na comments sasa nakutana na vitu vyeusiHuwezi kuelewa dear, kama hutumii Twitter
HahahahahaHahaha kweli yaani nimejitahidi kumaliza post zote nimetoka kapa naona watu mnanena kwa lugha yenu wenyewe mnaelewana vizuri tu
Soma tuu, waachie kina TKwakweli acha msomaji tu
Wananiinua sana tuu sema sasa hawaposti tena vitu vya maana wanawaza kuinuana tuu jamaniWewe hawakuinui
Kichwa cha habari nikajua anamaanisha wakaka sasa nakuja kukutana na comments sasa nakutana na vitu vyeusi












Kina T na SakayoSoma tuu, waachie kina T
Hahahah wapwa bwana ndio niliona billnass anawaambia wasimuite tena mpwa anata kuwowa hawajui yeye ni mchumba wa mtuWananiinua sana tuu sema sasa hawaposti tena vitu vya maana wanawaza kuinuana tuu jamani
Hahhaha kweli


umenichekesha
Sina hata nianchoelewa nasikia mabloo, wapwa, wakulungwa sijui wajuba naona watu wananena kwa lugha yao
Weka picha kukazia uzi blooMabloo wote wa jf
Huu ni uchunguz mdogo nilioufanya kule Twitter
1. Madem wanaotumia Twitter wengi ni wenye elim ya kueleweka
2. Madem wazur wengi wapo Twitter
3. Madem wakishua wengi wako Twitter
4. Madem wajanja na walioruka ruka ng'ambo wako twitter
5. Madem wengi hawafanyi kazi serikalini wengi wao ni kwenye ngo's na taasis za kimataifa
6. Madem wa Twitter wanafuatilia sana ligi za ulaya na mpira kwa ujumla
7. Madem wa Twitter wachache sana ambao ni single mother
8. Madem wa Twitter sio wa kuwapeleka Lodge za 15000
9. Madem waliopo Twitter wengi wanafanya kazi za ofisin wameajiriwa sio zile za kuuza maduka au kuuza shughuli za ujasiriamali
10. Kama uwezo wako ni mdogo Twitter hutaiweza kuitumia
11. Kudate na mdada ambaye ni meneja tawi flani ofisi flan ni kawaida
12. Wanatumia iPhone na Samsung
Mabloo msikurupuke mkija Twitter
Save a brother
Kwamba wadada hawajui hiyo technic? labda kajiunga TL leo ndo anaweza kuhangaika na hiyo technic mbovuKule Kuna kitu kinaitwa save a brother
Ingekusaidia sana kung'oa huyo mtoto
wewe utakuwa mzoefu wa twitter kama unajua hiyo technic ya kutafuta mwenye tweet😂Relax.
Mademu wengi Twitter ni "wanaume" tunawaita ma-parody.
Usirukie mtu Twitter, unless unamfahamu na mmeonana. Kuna matapeli pia...wapk wanaoandikiwa, wapo wanao-copy twits za wazungu na kuzirusha kama zao.
Tunajuana english zetu, so ukiona mtu kanyoosha sana twit yake, i-copy nenda kwenye 'tafuta' (search) i-paste hapo ndo utaelewa.
Kuna mabloo na wana huwa nawatazama tu na wana followers wengi lakini kila kitu ni copy and paste.
Sent using Jamii Forums mobile app
halafu last bonanza kama nilikuonaAaaah wapi!
ToT bonanza tunawaona wengi tuu wajasiriamali
😂😂😂ntaenda kufukua hiyo pinned tweet nikulipueTwitter na zanga langu la parody account lina kama 35k bado wajuba hawaja lisanukia... Sema siombi hela ya nauli 😂😂
kuna siku wajuba walitaka niji verify kama mm siyo parody nikawaambia wait, nilitafuta demu wangu nikamrekodi video fupi then nikaiweka PIN Post so nikawa nimemaliza game....
Sure, watu wako kule madhumuni ukiingia kijinga utachoreshwa watu wanapiga pesa wanapita mbele! walimchoresha dotto now kapoteaKule kuna na vitu watu hawaelewi yaani.
Watu wako kule for purpose..
Sasa wewe nenda kule kijinga kijinga tuu![]()