Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,295
Sawa mpambazi
Sent from my iPhone using Tapatalk
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ewaaahalafu last bonanza kama nilikuona
EwaaaaaHahahah wapwa bwana ndio niliona billnass anawaambia wasimuite tena mpwa anata kuwowa hawajui yeye ni mchumba wa mtu
Village version wewe huwez kunielewa.watoto wa mjini wamenielewa
Eeen na wamaisha ya katikati na matajiri wanaitwajeEwaaaaa
Wapwa ni watu wa maisha ya kawaida, wako na followers sijui kuanzia 100k
Ndo mablooEeen na wamaisha ya katikati na matajiri wanaitwaje
KhaaaaNdo mabloo
Vipi tenaKhaaaa
Hao nao wana followers wangapiVipi tena
Nimecheka hadi mbavu zinaniuma.kinachokukera wewe nini haswaWanainuana dada, mimi wananikera hapo tuu
Watu kila leo tunasave mabloo na mambo yanaenda freshKwamba wadada hawajui hiyo technic? labda kajiunga TL leo ndo anaweza kuhangaika na hiyo technic mbovu
Yaani kila mtu tuinuane, tuinuane!! Hiyo ndo kazi walionayo hao wapwa huko, mimi wananikera hapo tuuNimecheka hadi mbavu zinaniuma.kinachokukera wewe nini haswa
Sure, watu wako kule madhumuni ukiingia kijinga utachoreshwa watu wanapiga pesa wanapita mbele! walimchoresha dotto now kapotea