Mabinti ambao hamjaingia kwenye ndoa

Mabinti ambao hamjaingia kwenye ndoa

Tatizo vijana wengi wanadhani kwamba ndoa ni kitu tu kinakuja from no where, lakini hawajui kwamba ni jukumu la kila mmoja kuitengeneza ndoa yake iwe nzuri, yenye furaha na amani tele....
Sometimes tunapaswa kujitoa kwaajili ya wenza wetu ili tuipate amani na kudumisha upendo....
Ninachokiona hapa wanaume wamegoma kujitoa kwaajili ya wanawake. Kiukweli ukichagua vibaya au ukizidisha unaweza kuona kero ila ukipata mtu sahihi kila mmoja wenu anajua majukumu yake, mkaelewana na ukajitoa kwake kwenye shida na raha ni furaha tuu
 
Sijasema kwamba ndoa ni kitu cha msingi sana (bali umuhimu wa kila Jambo kwenye maisha ya mhusika, hutegemeana na kipaumbele chake).
Let me advice you son.......
Ndoa ni taasisi/ndoa ni makubaliano ya wawili ambayo hufanya nyumba ambayo huongozwa na mume na kisha mie akawa mtii.
Hivyo basi, sidhani kama ungekua unaifahamu vizuri ndoa, ungeiita ni utumwa...
Mimi naupenda sana huo utumwa wa kumtii mtu anayenipenda yaani hiyo kitu ina raha yake wacha tuu💥
 
Mkuu, nafikiri hakuna unacho kijua kwenye ndoa.
Hayo niliyo yataja ni machache kati ya mengi yalio andikwa hata kwenye vitabu vya dini...
Utii sio utumwa, na mwanaume kuongoza that's nature...

Unasema vitabu vya dini, kwani utumwa haukuandikwa na kuasisiwa humo kwenye maandiko?
 
Ninachokiona hapa wanaume wamegoma kujitoa kwaajili ya wanawake. Kiukweli ukichagua vibaya au ukizidisha unaweza kuona kero ila ukipata mtu sahihi kila mmoja wenu anajua majukumu yake, mkaelewana na ukajitoa kwake kwenye shida na raha ni furaha tuu
Upo sawa sana mkuu....
Shida kubwa kwetu sisi wanaume wengi hatujui kwamba nasi tunapaswa kujitoa kwaajili ya wake zetu (ingawa kiukweli wanawake wanajitoa sana kwaajili yetu).
Na hii imewafanya vijana wengi wa sasa kujifanya walemavu (hawataki kufanya kazi) zaidi ya kujikita kwenye kutafuta wachumba kwa vigezo vya "eti awe ameajiriwa" kwankisingizio cha kusaidiana...😂😂😂
 
Nafikiri kazi ya mtumishi wa Mungu ni kuniombea, kunifundisha mambo ya kiroho na kunifundisha njia ya yalio mema.
Mtumishi wa Mungu hawezi nifundisha namna ya kuishi na mke aiseeeee

Hoja yako ilikuwa ulimgomea kwa sababu tu yeye hayupo kwenye ndoa, ila kama ni kwa sababu kwa mujibu wako sio jukumu lake tu... basi hata hayo mema unayomchagulia akufanyie huna uhakika kama yeye mwenyewe anayo.
 
Mimi naupenda sana huo utumwa wa kumtii mtu anayenipenda yaani hiyo kitu ina raha yake wacha tuu💥
Wanawake wote wameumbika hivyo.
Na asije akakudanganya mtu, utii sio utumwa.....
Hivi ni vijimaneno tu vya vijana wasio penda kuwajibika na mwisho wamebaki kulaumu jamii, wazazi na hata wachumba wanapo waacha kwasababu hakuna mwanamke ambae anapenda kuishi pasipo kujua hatma ya her own future..
 
Upo sawa sana mkuu....
Shida kubwa kwetu sisi wanaume wengi hatujui kwamba nasi tunapaswa kujitoa kwaajili ya wake zetu (ingawa kiukweli wanawake wanajitoa sana kwaajili yetu).
Na hii imewafanya vijana wengi wa sasa kujifanya walemavu (hawataki kufanya kazi) zaidi ya kujikita kwenye kutafuta wachumba kwa vigezo vya "eti awe ameajiriwa" kwankisingizio cha kusaidiana...😂😂😂
Wajitoe maini, roho, nafsi , nguvu zao zote, akili zao zote au moyo.. endelea kudadavua vijana wapate madesa.. waache utopolo
 
Wanaume makini wapo..... tena wengi tuu. Kabla ya kufanya maamuzi piga goti umshirikishe Mungu, sikiliza moyo wako huku ukishirikisha ubongo wako.
View attachment 1658928
Kumekua na maneno mengi ya kuwakatisha tamaa lakini za kuambiwa changanya na zako

Sisi huwa tuna waambia vijana ukitaka mke waulize wale wanaume wanao mzunguka huyo mwanamke na kwa mabinti wakitaka waume, basi wawaangalie wanaume wanao mzunguka mtu huyo.Kawaida kila jambo hurudishwa kwa watu wake.

Leo hii shida huanzia katika kutafuta mwenza na vile vipaumbele. Nakomea hapa, bila shaka nimeeleweka.
 
Upo sawa sana mkuu....
Shida kubwa kwetu sisi wanaume wengi hatujui kwamba nasi tunapaswa kujitoa kwaajili ya wake zetu (ingawa kiukweli wanawake wanajitoa sana kwaajili yetu).
Na hii imewafanya vijana wengi wa sasa kujifanya walemavu (hawataki kufanya kazi) zaidi ya kujikita kwenye kutafuta wachumba kwa vigezo vya "eti awe ameajiriwa" kwankisingizio cha kusaidiana...😂😂😂
Hahaha Ushimen siku kuu kama hizi wamama tunajitoa... sawa mnatupatia pesa. Sisi tunazunguka kununua mahitaji yenu na watoto, tuna watafutia mahitaji na wazazi wenu kama wapo, tunafanya yote yanayotakiwa kuanzia kuwafikisha ibadani watoto, tuandaa vyakula na sasa tumewaacha wanandugu wababa mnaongea mambo ya familia hapa tunawahudumia vinywaji..... mkishakunywa tunahakikisha usalama wenu na watoto, tunahakikisha mmelala..... hapo tunaanza kusafisha nyumba huku tukiandaa kitu mtakachokunywa kesho asubuhi kuondoa hangover... na tunafurahia haya yote😍😍😍
Wamama Hoyeeèe
 
Mimi naupenda sana huo utumwa wa kumtii mtu anayenipenda yaani hiyo kitu ina raha yake wacha tuu💥
Hii kazi kweli.. napata tabu sana.. maisha ya ki huni huni yananifanya mtoto wa watu ajisikie wakati mwingine vibaya😃😃.. hata kucha hataki nijikate , anataka azikate yeye, kuchana nywele nachanywa, mtu hali chakula hadi nifike.. yaani dah.. mambo ya kunawishana .. kufuliwa etc.. napata sana taabu.. 😀😀😀 sijawahi experince haya mambo yaani.. naonaga kama ka uzushi
 
Sisi huwa tuna waambia vijana ukitaka mke waulize wale wanaume wanao mzunguka huyo mwanamke na kwa mabinti wakita waume, basi wawaangalie wanaume wanao mzunguka mtu huyo.Kawaida kila jambo hurudishwa kwa watu wake.

Leo hii shida huanzia katika kutafuta mwenza na vile vipaumbele. Nakomea hapa, bila shaka nimeeleweka.
Vijana wangesoma comments kama hizi wangeepuka mengi magumu
 
Hahaha Ushimen siku kuu kama hizi wamama tunajitoa... sawa mnatupatia pesa. Sisi tunazunguka kununua mahitaji yenu na watoto, tuna watafutia mahitaji na wazazi wenu kama wapo, tunafanya yote yanayotakiwa kuanzia kuwafikisha ibadani watoto, tuandaa vyakula na sasa tumewaacha wanandugu wababa mnaongea mambo ya familia hapa tunawahudumia vinywaji..... mkishakunywa tunahakikisha usalama wenu na watoto, tunahakikisha mmelala..... hapo tunaanza kusafisha nyumba huku tukiandaa kitu mtakachokunywa kesho asubuhi kuondoa hangover... na tunafurahia haya yote
Wamama Hoyeeèe
Pamoja na hayo yooote....
Lakini sikuzote hamjawai kuacha kutuombe....
IMG20201225123742.jpg
 
Hii kazi kweli.. napata tabu sana.. maisha ya ki huni huni yananifanya mtoto wa watu ajisikie wakati mwingine vibaya😃😃.. hata kucha hataki nijikate , anataka azikate yeye, kuchana nywele nachanywa, mtu hali chakula hadi nifike.. yaani dah.. mambo ya kunawishana .. kufuliwa etc.. napata sana taabu.. 😀😀😀 sijawahi experince haya mambo yaani.. naonaga kama ka uzushi
Ukiona unapewa huduma nzuri ujue kabisa huyo binti akiwa na wewe anakua hana stress kabisaaa. Utakua na wewe uko vizuri kwenye kumhudumia hahahaa. Yaani umemkamilisha
Halafu asela utoto tulia upate huduma ndogondogo na kubwa kubwa 😂😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom