0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,168
- 11,229
Wakati sina pesa nilikuwa najtuma sana ktandan maana skuwa na cha zaidi cha kumpa mwanamke,Kuna wanawake walikuwa wanantunza majumban mwao natumika kama sex mashine,ila nilikuwa siuliz hela ya chakula inatoka wapiAliniambia mzee mmoja yeye akiwa hana pesa ya kuhudumia familia hapatagi hata hizo nguvu za kitandani. Akaongeza unapata wapi mzuka wakati anayekupa raha huwezi kumtunza?