Mabinti ambao hamjaingia kwenye ndoa

Mabinti ambao hamjaingia kwenye ndoa

Utandawazi unatupeleka kasi lakini tujue tuu kuna vitu havitabadilika..... Kwa asili na kwa imani zetu mwanamke ndio mwangalizi wa nyumba na mwanaume ndio mpangaji na mtafutaji mkuu.
Mwanamke akipata mume ana kila kitu atapumzika ila mwanaume ukipata mke mwenye kila kitu usilale, tumia nafasi hiyo kufanya mambo yakayokuwezesha kusimama kama baba na ukaweza kuisimamia familia. Diamond angekua mzembe hajishughulishi Leo hii zari angekua hata hamuongelei. Wanawake akili zetu anazijua aliyetuumba tuu hahahaaa
Times have changed, and never will they change back. Ndiyo maana mume akaambiwa aishi na mkewe kwa akili. It does not mean yeye ana akili kuliko, au awe na akili kuliko mwanamke, bali atumie akili zaidi kuliko hisia na mihemko. Mwanaume akitumia akili yake vizuri, lazima ndoa yake iwe stable na idumu, hata kama alibahatisha kumkwaa mwanamke pasuakichwa, eikeiei kivuruge.
 
Sasa kama huna pesa endelea kuzitafuta. Mwanaume ndio kichwa kiongozi na mlinzi wa familia yake.
Kuwa mume ni jukumu kubwa sana, muombe pia Mungu akupe mke atayekusaidia kwa maombi na kukusaidia kupata amani ya moyo
So issue siyo umakini ila ni pesa!!??? Nilijua tu utaingia 18. Mwanamke hana anachohitaji kwa mwanaume zaidi ya pesa over.
 
Ni kwel mkuu,mwanaume ambae hana pesa huwa na mapenz ya kwel na humhudumia mke wake ipasavyo ktandan kwa kumpga shipa la kimkakati.....najsemea Mimi wakati sina hela
Aliniambia mzee mmoja yeye akiwa hana pesa ya kuhudumia familia hapatagi hata hizo nguvu za kitandani. Akaongeza unapata wapi mzuka wakati anayekupa raha huwezi kumtunza?
 
So issue siyo umakini ila ni pesa!!??? Nilijua tu utaingia 18. Mwanamke hana anachohitaji kwa mwanaume zaidi ya pesa over.
Zamani za kale mababu zetu waliokua na utajiri wa mifugo na mashamba ndio walioweza kuishi na wanawake muda mrefu na wanawake waliowaanda. Tafuta mali/pesa uweze kutunza familia yako uone kama kutakua na shida
 
Times have changed, and never will they change back. Ndiyo maana mume akaambiwa aishi na mkewe kwa akili. It does not mean yeye ana akili kuliko, au awe na akili kuliko mwanamke, bali atumie akili zaidi kuliko hisia na mihemko. Mwanaume akitumia akili yake vizuri, lazima ndoa yake iwe stable na idumu, hata kama alibahatisha kumkwaa mwanamke pasuakichwa, eikeiei kivuruge.
Asanteeeee🥂
Cc tracebongo Kashaulo
 
Aliniambia mzee mmoja yeye akiwa hana pesa ya kuhudumia familia hapatagi hata hizo nguvu za kitandani. Akaongeza unapata wapi mzuka wakati anayekupa raha huwezi kumtunza?
Huyo mzee alishindwa tu kukuelewesha.
That's nature...
 
Ni kwel mkuu,mwanaume ambae hana pesa huwa na mapenz ya kwel na humhudumia mke wake ipasavyo ktandan kwa kumpga shipa la kimkakati.....najsemea Mimi wakati sina hela
Hiyo ni stress😂😂😂😂
Mkitoka hapo hutaki kuulizwa mnakula nini wala kodi ya nyumba unalipaje. Taabu ipo
 
So issue siyo umakini ila ni pesa!!??? Nilijua tu utaingia 18. Mwanamke hana anachohitaji kwa mwanaume zaidi ya pesa over.
Kuna time hua napata shida sana pale ninapo soma hoja za kuhusu ndoa kutoka kwa mtu ambae hajaingia hata kwenye ndoa.
Nakushauri ukatafute kwanza kufahamu hitaji la msingi la mke kwa Mume wake, then uje usome tena ulicho kiandika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom