Mabinti ambao hamjaingia kwenye ndoa

Mabinti ambao hamjaingia kwenye ndoa

Kuna siku niliwai kumwambia paroko flani kwamba..... Hana uwezo wa kufundisha/kujadili/kuzungumzia ndoa kwasababu hajui nini kilichopo ndani ya ndoa kwakua hajawai kuishi na mke...😂😂
Wacha tulio ndani tuongee mkuu😁😁😁😁😁
 
Kuna siku niliwai kumwambia paroko flani kwamba..... Hana uwezo wa kufundisha/kujadili/kuzungumzia ndoa kwasababu hajui nini kilichopo ndani ya ndoa kwakua hajawai kuishi na mke...

Ulikuwa sahihi kabisa, lakini paroko huyo huyo anakufundisha habari za uzima wa milele na raha za mbinguni ilihali hajafika ila unamwamini!
 
Mimi kuwa kwenye ndoa haitoshi kuipamba kuwa ni kitu cha msingi sana, sio kila ufanyacho ni kizuri au muhimu sana.
Sijasema kwamba ndoa ni kitu cha msingi sana (bali umuhimu wa kila Jambo kwenye maisha ya mhusika, hutegemeana na kipaumbele chake).
Let me advice you son.......
Ndoa ni taasisi/ndoa ni makubaliano ya wawili ambayo hufanya nyumba ambayo huongozwa na mume na kisha mie akawa mtii.
Hivyo basi, sidhani kama ungekua unaifahamu vizuri ndoa, ungeiita ni utumwa...
 
Kuna siku niliwai kumwambia paroko flani kwamba..... Hana uwezo wa kufundisha/kujadili/kuzungumzia ndoa kwasababu hajui nini kilichopo ndani ya ndoa kwakua hajawai kuishi na mke...
Huo ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wa kiroho. Kaombe msamaha kabla Krismasi kuisha. Oohooooo
 
Kuna time hua napata shida sana pale ninapo soma hoja za kuhusu ndoa kutoka kwa mtu ambae hajaingia hata kwenye ndoa.
Nakushauri ukatafute kwanza kufahamu hitaji la msingi la mke kwa Mume wake, then uje usome tena ulicho kiandika.
Pole sn, sihitaji kusoma cause niko kwenye ndoa mwaka wa 7 sasa so najua vingi ambavyo wewe huvijui. Endelea kusoma hizo pdf!
 
Ulikuwa sahihi kabisa, lakini paroko huyo huyo anakufundisha habari za uzima wa milele na raha za mbinguni ilihali hajafika ila unamwamini!
Wewe hujakutana na wakukukamilsha, na siku ukimpata utabadilika 😁😁😁
 
Pole sn, sihitaji kusoma cause niko kwenye ndoa mwaka wa 7 sasa so najua vingi ambavyo wewe huvijui. Endelea kusoma hizo pdf!
Sio lazima usome wala ujifunze mkuu....
Pengine mwaka wa saba ukiwa kwenye ndoa lakini haujui hata ni ipi nafasi/wajibu wako kama mume ndani ya ndoa...
Na napenda sana kuwashauri watu kwamba, Kama hauna furaha ndani ya ndoa yako kwanini unaendelea kuishi kwenye mateso..?? Then unja ndoa hiyo, kisha utapata wa kukufaa
 
Sijasema kwamba ndoa ni kitu cha msingi sana....

Ndoa ni taasisi/ndoa ni makubaliano ya wawili ambayo hufanya nyumba ambayo huongozwa na mume na kisha mie akawa mtii.
Hivyo basi, sidhani kama ungekua unaifahamu vizuri ndoa, ungeiita ni utumwa...

Hilo la mmoja kuongoza kisha mwingine 'kutii' bado huoni utumwa hapo!
 
Huo ni utovu wa nidhamu kwa viongozi wa kiroho. Kaombe msamaha kabla Krismasi kuisha. Oohooooo
Hiyo ni nidhamu ya uoga chief, ukweli siku zote umranya mtu aishi maisha yasio na unafiq ndani yake...
 
Wanaume makini wapo..... tena wengi tuu. Kabla ya kufanya maamuzi piga goti umshirikishe Mungu, sikiliza moyo wako huku ukishirikisha ubongo wako.
View attachment 1658928
Kumekua na maneno mengi ya kuwakatisha tamaa lakini za kuambiwa changanya na zako
Kwel kabisa wanaume makini tupo wengi tu. Sema shida hua inakuja kumpata mwanamke makini pia
 
Ulikuwa sahihi kabisa, lakini paroko huyo huyo anakufundisha habari za uzima wa milele na raha za mbinguni ilihali hajafika ila unamwamini!
Nafikiri kazi ya mtumishi wa Mungu ni kuniombea, kunifundisha mambo ya kiroho na kunifundisha njia ya yalio mema.
Mtumishi wa Mungu hawezi nifundisha namna ya kuishi na mke aiseeeee
 
Wacha tulio ndani tuongee mkuu😁😁😁😁😁
Tatizo vijana wengi wanadhani kwamba ndoa ni kitu tu kinakuja from no where, lakini hawajui kwamba ni jukumu la kila mmoja kuitengeneza ndoa yake iwe nzuri, yenye furaha na amani tele....
Sometimes tunapaswa kujitoa kwaajili ya wenza wetu ili tuipate amani na kudumisha upendo....
 
Hilo la mmoja kuongoza kisha mwingine 'kutii' bado huoni utumwa hapo!
Mkuu, nafikiri hakuna unacho kijua kwenye ndoa.
Hayo niliyo yataja ni machache kati ya mengi yalio andikwa hata kwenye vitabu vya dini...
Utii sio utumwa, na mwanaume kuongoza that's nature...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom