richard kaswalala
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 246
- 134
Muulizen gachuma alihojiwa na radio free akadai mwanza kunawatu wanamiliki pesa nying benk kuliko yeye.yeye in jina tu
Kwenye kuchangia pato la taifa arusha ipo chini ya shinyanga na iringa, au utajir wenu ni zile kelele za subaru second hand mkuu?Arusha ndio Tanzania wewe sio kwamba wanajitangaza mkuu, Arusha na moshi watu wanasaka hela, unafikiri kwa nini serikali inaogopa kuendesha nchi kwa majimbo? Kaskazini ndio ingekuwa makao makuu ya kipato kwa nchi hii., na kuhakikishia mwanamke mmoja wa kaskazini ni wanawake 100 wa pwani katika uwezo wa kukuza uchumi wa familia.
Acha comedyJoseph Kansheu King Musukuma ana mbwembwe balaa aliwahi kutua Arusha na chopa wakati wa lowassa akavuruga protocol yote.
Ndiye tajiri pia wa
Kanda ya Ziwa.
Tunachangia maendeleo ya mikoa yetu na familia zetu, umeona Arusha na Kilimanjaro wakipewa chakula cha msaada? Shin yanga wameachia migodi yao wawekezaji ambao ndio wanaochangia pato la taifa, wananchi wake hali zao unazionaje? Jaribu kufikiri nje ya box, zKwenye kuchangia pato la taifa arusha ipo chini ya shinyanga na iringa, au utajir wenu ni zile kelele za subaru second hand mkuu?
Mtoe baraka kwenye hio dharauukichukua matajiri wote wa mwanza wakajumlisha mali zao kwa pamoja na wapate jumla ya utajiri wao... wakija dar wakapambanishwa na tajiri mmoja tu mfano home shopping centre tu wanafyata mikia wote
Mkuu mbona msaada huwa inapelekwa arumeru,tarakea,mwanga au hao mnawatenga? By the way arusha na moshi ni mikoa ya mbwembwe na wala sio utajiriTunachangia maendeleo ya mikoa yetu na familia zetu, umeona Arusha na Kilimanjaro wakipewa chakula cha msaada? Shin yanga wameachia migodi yao wawekezaji ambao ndio wanaochangia pato la taifa, wananchi wake hali zao unazionaje? Jaribu kufikiri nje ya box, z
Jamani hizo lips zako mpk natoka nje ya maadaMabilionea wa mwanza,wanaume wa Dar,..........?
Sikulazimishi ila ndivyo ilivyo hutaki acha.Mkuu mbona msaada huwa inapelekwa arumeru,tarakea,mwanga au hao mnawatenga? By the way arusha na moshi ni mikoa ya mbwembwe na wala sio utajiri
Naomba nikuulize swali mojaMkuu Jamaa Anazo Nyingi Asilimia Kubwa Ya Meli Unazoziona Ziwa Victoria Ni Za Chacha Gitano Anazo Za Abiria Na Mizigo ... Halafu Unaonekana Una Ubishi Wa Asili Hebu Tuambie Huo Ukweli Kuhusu NG'OLO SAFARIS
Ghorofa ndefu mwanza ni ya nssf iliyojegwa Capri point em tupe hyo mpya au bugando nn?Kuna mzee 1 anaitwa boni Ndio mwenye pesa ndefu kuliko hata huyo gachuma.anagolofa ndefu kuliko yeyote hapa mwanza.na nimtu simple sana.gachuma ameshare sana kama lakairo
Mzee bon yup ukiita wazeee bon wataibuka kibao mpaka mie nimoKuna mzee 1 anaitwa boni Ndio mwenye pesa ndefu kuliko hata huyo gachuma.anagolofa ndefu kuliko yeyote hapa mwanza.na nimtu simple sana.gachuma ameshare sana kama lakairo
Baraka ndo tajir gan??????Mtoe baraka kwenye hio dharau
Balaaaaa wanaoiongea mwanza awaijui hata nera..Huu uzi unaukakasi mno!! Uwongo mwingiiii
Ana miliki mgodi wa dhahabu uko geitaBaraka ndo tajir gan??????
We mdau siyo makin hata kidogo hyo peugon hotel ndo inakuchanganya????Mahonda na njiwa pori ni watu hatari ndani ya ziwa victoria...
Mgod hata mm namilikAna miliki mgodi wa dhahabu uko geita
basi hongera ingawa haujukikaniMgod hata mm namilik
Tena miwil
Anamilik nini kinachokuchanganya akil
Kumilik mgod kwan ni jambo kubwa. Tatizo ujajua mgod gan.basi hongera ingawa haujukikani