Mabilionea wa Mwanza respect and silence

Mabilionea wa Mwanza respect and silence

King musukuma hivi niyule wa bangi bungeni au. Eti ganja anapeleka mbona utetezi kibao au ndo utajiri wa ganja maana aliisifia akataja na NAIROBI kenya. Na mirungi sijui nini vile
yule jamaa anahela tofauti na umri wake, Mwanza anamiliki mtaa
 
Huyo jamaa anamiliki mtaa mwanza kwa hela ya bangi na mirungi au hujafafanua hiyo pesa nibiashara ipi........... Soma uzi mkuu
 
Nilipotua mwanza mara ya kwanza nilipapenda mno,hasa kutokana na usafi,na usheshi wa watu wake,Jiji hili lilikua limetulia siku hiyo ya Jumapili,na ambacho sikukijua,ni kwamba Mwanza kuna Mabilionea wengi kuliko nilivyofikiri,wengi wakiwa wasukuma na Wachaga,Hawa wachaga,ni Wamachame na wasiha.

Source of income ilikuWa Uvuvi,Biashara ya Spea na Usafirishaji,wasukuma wamebase kwenye uvuvi na madini,na wachaga wamebase kwenye biashara za maduka,vipuli na usafirishaji hasa wa vyakula ambavyo viko kwa wingi.Hhawaingiliani,na wanaheshimiana,kwenye biashara ya hardware kubwa wamekamata wahindi.

Ukiangalia kwa umakini utagundua matajiri wengi wa Mwanza hawajulikani hapa nchini,na wanaojulikana ni wachache wanaoishi Dar.

Wana sifa Moja,wakimya na wana heshima,.acha mbwembwe zote za kisukuma.Pia wana ubinadamu,sio kama matajiri wetu wa Dar.

Tatizo lao ukiwazingua wanakuzingua kweli, kuua kwao si ishu sana

Kwenye uzi huu,naomba watu wa Mwanza mnisaidie kuwaongeza mabilionea hawa na wasifu wao,kazi na aina ya kazi anayofanya maana kwenye uzi wa wababe wa Arusha mlilalamika mno.

1. Gachuma-CocaCola
2.Mwanza Huduma-Hardware and acesories
3.Texas-Hardware
4.Gitana-Uvuvi
5.La kairo-Hotel,Foods and Hospitality

6.......
7.......

cc.fisadikuu
Bila shaka umelewa gongo ya Bugarika, Nyakabungo au Bugando nkali?
 
Mkuu Acha Ubishi Usio Na Maana Kuna Moja Linakwenda Uganda Alilinunua Billioni Nne
Unajua saman ya chumba kimoja cha duka ndan ya mwanza hoteli.?
Vya ndan ni m.10 per year na nje ni m.15 bado kumbi za sherehe , casino,migahawa, hotel na ofis mbalmbali .
Em tasmin mwenyewe afu linganisha na hicho kijimeli root moja kinasafir kwa m. 6 ujatoa mafuta,ushuru na posho za wafanyakazi
 
Rock city ambayo haiongelewi !!!
 

Attachments

  • 1461534312153.jpg
    1461534312153.jpg
    62.4 KB · Views: 93
  • 1461534360403.jpg
    1461534360403.jpg
    62.4 KB · Views: 89
  • 1461534398237.jpg
    1461534398237.jpg
    61.3 KB · Views: 100
  • 1461534418399.jpg
    1461534418399.jpg
    68.8 KB · Views: 97
Niliona tangazo moja la kiwanja kwenye kijarida bei ya chini ilikua $200,000 kwa square meter chache tu,vp mafogo ya capri?
 

Attachments

  • 1461538608599.jpg
    1461538608599.jpg
    62.4 KB · Views: 93
  • 1461538653955.jpg
    1461538653955.jpg
    64 KB · Views: 91
Unajua saman ya chumba kimoja cha duka ndan ya mwanza hoteli.?
Vya ndan ni m.10 per year na nje ni m.15 bado kumbi za sherehe , casino,migahawa, hotel na ofis mbalmbali .
Em tasmin mwenyewe afu linganisha na hicho kijimeli root moja kinasafir kwa m. 6 ujatoa mafuta,ushuru na posho za wafanyakazi
Mkuu Jamaa Anazo Nyingi Asilimia Kubwa Ya Meli Unazoziona Ziwa Victoria Ni Za Chacha Gitano Anazo Za Abiria Na Mizigo ... Halafu Unaonekana Una Ubishi Wa Asili Hebu Tuambie Huo Ukweli Kuhusu NG'OLO SAFARIS
 
Mtore Auto Parts ... Mwingiro Auto Parts ... Nyamigogo Auto Parts ... Itetemia Auto Parts .,
 
Kuna mzee 1 anaitwa boni Ndio mwenye pesa ndefu kuliko hata huyo gachuma.anagolofa ndefu kuliko yeyote hapa mwanza.na nimtu simple sana.gachuma ameshare sana kama lakairo
 
Back
Top Bottom