maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,502
- 6,415
- Thread starter
- #61
hv Nyehunge si sehemu kule ukishavuka sengerema wanalima sana?nyehunge
hv Nyehunge si sehemu kule ukishavuka sengerema wanalima sana?nyehunge
mkuu,by the way ni fun tu,lkn kuna watu wanajifunza hapa,na wengine wanakua inspired mkuu,ila you loose nothing we are just sharing an experienceAisee kweli pesa zinatangaza bila malipo...
Wao hata hawajui kama sisi makapuku tunawashindanisha huku "habari za tajiri muulize masikini.
Bado anaendeleza biashara ingawa mumewe angekuwepo wangekuwa mbali sana, ila mke anajitahidi maana haja tetereka kabisa.Sasa hivi vipi mama kashindwa kuendeleza biashara au imekuaje. .jamani alikua vizuri
Huyu jamaa sijajua kama ka invest,ila inavyoonekana ana mzigo mno unaweza tupa investment zake mkuu?kitana ni balaa, anamiriki meli nyingi kuliko mtanzania yeyote
hv wakuu mtu ukiaga dunia na biashara zako zinakufa? au ni uzembe wa Mke? au wa matajiri wenyewe kutowafundisha wanawake?Bado anaendeleza biashara ingawa mumewe angekuwepo wangekuwa mbali sana, ila mke anajitahidi maana haja tetereka kabisa.
mkuu huyu ni lema yupi,mwanza kuna lema wengi mno!Lema
mzee kishimba ni mogul,ila nawenza kumcategorise kama tajiri wa dar,ni vyema tukiwataja wa huko hukoKishimba toka nimezaliwa namskia
tupe info zake mkuu...Hama jekundu?Zong zong huyo
Ni kutokushirikisha tu mke kwenye shuhuli zako, Huyu Mrehemu Kashaga alimshirikisha mkewe kukaa dukani akaona anawalipa maphamasist hela nying akampeleka mkewe kusoma pale bugando, mke anamaliza masomo na jamaa akafariki, mke anaiedeleza sana ile mali wala haja tetereka na ana respect sana kwa familia ya marehemu,wako wote wanapiga mzigo inawezekana kwa kuwa mkewe ni zao la Arusha mkuu ..haahaaahaa. Hapa kazi tu.hv wakuu mtu ukiaga dunia na biashara zako zinakufa? au ni uzembe wa Mke? au wa matajiri wenyewe kutowafundisha wanawake?
Wa Lakairo..mkuu huyu ni lema yupi,mwanza kuna lema wengi mno!
mkuu mbona umetaja wakria halafu unasema wachaga na wasukumaNilipotua mwanza mara ya kwanza nilipapenda mno,hasa kutokana na usafi,na usheshi wa watu wake,Jiji hili lilikua limetulia siku hiyo ya Jumapili,na ambacho sikukijua,ni kwamba Mwanza kuna Mabilionea wengi kuliko nilivyofikiri,wengi wakiwa wasukuma na Wachaga,Hawa wachaga,ni Wamachame na wasiha.
Source of income ilikuWa Uvuvi,Biashara ya Spea na Usafirishaji,wasukuma wamebase kwenye uvuvi na madini,na wachaga wamebase kwenye biashara za maduka,vipuli na usafirishaji hasa wa vyakula ambavyo viko kwa wingi.Hhawaingiliani,na wanaheshimiana,kwenye biashara ya hardware kubwa wamekamata wahindi.
Ukiangalia kwa umakini utagundua matajiri wengi wa Mwanza hawajulikani hapa nchini,na wanaojulikana ni wachache wanaoishi Dar.
Wana sifa Moja,wakimya na wana heshima,.acha mbwembwe zote za kisukuma.Pia wana ubinadamu,sio kama matajiri wetu wa Dar.
Tatizo lao ukiwazingua wanakuzingua kweli, kuua kwao si ishu sana
Kwenye uzi huu,naomba watu wa Mwanza mnisaidie kuwaongeza mabilionea hawa na wasifu wao,kazi na aina ya kazi anayofanya maana kwenye uzi wa wababe wa Arusha mlilalamika mno.
1. Gachuma-CocaCola
2.Mwanza Huduma-Hardware and acesories
3.Texas-Hardware
4.Gitana-Uvuvi
5.La kairo-Hotel,Foods and Hospitality
6.......
7.......
cc.fisadikuu
Safi sana..nilidhani mke kabweteka akashindwa kazi. .safi sanaBado anaendeleza biashara ingawa mumewe angekuwepo wangekuwa mbali sana, ila mke anajitahidi maana haja tetereka kabisa.
Kweli hata Joh makini yule mwana hiphop mbongo kuna nyimbo yake moja anasema daraja mbili (Arusha) hakuna masoro. .keep it up mama Jenny (kayonza pharmacy)Ni kutokushirikisha tu mke kwenye shuhuli zako, Huyu Mrehemu Kashaga alimshirikisha mkewe kukaa dukani akaona anawalipa maphamasist hela nying akampeleka mkewe kusoma pale bugando, mke anamaliza masomo na jamaa akafariki, mke anaiedeleza sana ile mali wala haja tetereka na ana respect sana kwa familia ya marehemu,wako wote wanapiga mzigo inawezekana kwa kuwa mkewe ni zao la Arusha mkuu ..haahaaahaa. Hapa kazi tu.
Haahaa mkuu sijasikia hiyo nyimbo, ila JENY ni first born wa hiyo family.Kweli hata Joh makini yule mwana hiphop mbongo kuna nyimbo yake moja anasema daraja mbili (Arusha) hakuna masoro. .keep it up mama Jenny (kayonza pharmacy)
Michongo mingi ipi?? Tender na udalali??Tajen matajir wenu mikoan koote lakin wakifika dar ni brek si kama wa dat wana pesa nyingi kuliko wao ila wa dar wanajua kupangilia na kutumia na isitoshe wana michongo mingi kuliko wa mokoani
Michongo ipi huko Dar? ya kugeza watu MAPUNDA? halafu wanokuja kuharibika mzigo ukishushwa na punda ni ndugu na jamaa zao? Tajiri gani hana ofisi wala hajulikani anauza nini zaidi tu ya kuitwa "PAPAA", hakuna kitu huko uharibifu tu.Tajen matajir wenu mikoan koote lakin wakifika dar ni brek si kama wa dat wana pesa nyingi kuliko wao ila wa dar wanajua kupangilia na kutumia na isitoshe wana michongo mingi kuliko wa mokoani