Mabilionea wa Mwanza respect and silence

Mabilionea wa Mwanza respect and silence

Bado anaendeleza biashara ingawa mumewe angekuwepo wangekuwa mbali sana, ila mke anajitahidi maana haja tetereka kabisa.
hv wakuu mtu ukiaga dunia na biashara zako zinakufa? au ni uzembe wa Mke? au wa matajiri wenyewe kutowafundisha wanawake?
 
hv wakuu mtu ukiaga dunia na biashara zako zinakufa? au ni uzembe wa Mke? au wa matajiri wenyewe kutowafundisha wanawake?
Ni kutokushirikisha tu mke kwenye shuhuli zako, Huyu Mrehemu Kashaga alimshirikisha mkewe kukaa dukani akaona anawalipa maphamasist hela nying akampeleka mkewe kusoma pale bugando, mke anamaliza masomo na jamaa akafariki, mke anaiedeleza sana ile mali wala haja tetereka na ana respect sana kwa familia ya marehemu,wako wote wanapiga mzigo inawezekana kwa kuwa mkewe ni zao la Arusha mkuu ..haahaaahaa. Hapa kazi tu.
 
Kuna wale wasukuma wana matruck ya kubeba mizigo yako mengi sana kuna wakati yalikuwa yanakujaa Arusha matruck marefu yenye tella ndefu, yalikuwa yanaongozana kama 20 yakiingia sheli yanafunga kabisa mauzo kwa wengine yalikuwa na rangi kama cream hivi, sijui ni nani mmiliki wake yalikuwa ya mwanza jamaa inaonekana wako njema wale.
 
Nilipotua mwanza mara ya kwanza nilipapenda mno,hasa kutokana na usafi,na usheshi wa watu wake,Jiji hili lilikua limetulia siku hiyo ya Jumapili,na ambacho sikukijua,ni kwamba Mwanza kuna Mabilionea wengi kuliko nilivyofikiri,wengi wakiwa wasukuma na Wachaga,Hawa wachaga,ni Wamachame na wasiha.

Source of income ilikuWa Uvuvi,Biashara ya Spea na Usafirishaji,wasukuma wamebase kwenye uvuvi na madini,na wachaga wamebase kwenye biashara za maduka,vipuli na usafirishaji hasa wa vyakula ambavyo viko kwa wingi.Hhawaingiliani,na wanaheshimiana,kwenye biashara ya hardware kubwa wamekamata wahindi.

Ukiangalia kwa umakini utagundua matajiri wengi wa Mwanza hawajulikani hapa nchini,na wanaojulikana ni wachache wanaoishi Dar.

Wana sifa Moja,wakimya na wana heshima,.acha mbwembwe zote za kisukuma.Pia wana ubinadamu,sio kama matajiri wetu wa Dar.

Tatizo lao ukiwazingua wanakuzingua kweli, kuua kwao si ishu sana

Kwenye uzi huu,naomba watu wa Mwanza mnisaidie kuwaongeza mabilionea hawa na wasifu wao,kazi na aina ya kazi anayofanya maana kwenye uzi wa wababe wa Arusha mlilalamika mno.

1. Gachuma-CocaCola
2.Mwanza Huduma-Hardware and acesories
3.Texas-Hardware
4.Gitana-Uvuvi
5.La kairo-Hotel,Foods and Hospitality

6.......
7.......

cc.fisadikuu
mkuu mbona umetaja wakria halafu unasema wachaga na wasukuma
 
Ni kutokushirikisha tu mke kwenye shuhuli zako, Huyu Mrehemu Kashaga alimshirikisha mkewe kukaa dukani akaona anawalipa maphamasist hela nying akampeleka mkewe kusoma pale bugando, mke anamaliza masomo na jamaa akafariki, mke anaiedeleza sana ile mali wala haja tetereka na ana respect sana kwa familia ya marehemu,wako wote wanapiga mzigo inawezekana kwa kuwa mkewe ni zao la Arusha mkuu ..haahaaahaa. Hapa kazi tu.
Kweli hata Joh makini yule mwana hiphop mbongo kuna nyimbo yake moja anasema daraja mbili (Arusha) hakuna masoro. .keep it up mama Jenny (kayonza pharmacy)
 
Tajen matajir wenu mikoan koote lakin wakifika dar ni brek si kama wa dat wana pesa nyingi kuliko wao ila wa dar wanajua kupangilia na kutumia na isitoshe wana michongo mingi kuliko wa mokoani
 
Tajen matajir wenu mikoan koote lakin wakifika dar ni brek si kama wa dat wana pesa nyingi kuliko wao ila wa dar wanajua kupangilia na kutumia na isitoshe wana michongo mingi kuliko wa mokoani
Michongo mingi ipi?? Tender na udalali??
 
Tajen matajir wenu mikoan koote lakin wakifika dar ni brek si kama wa dat wana pesa nyingi kuliko wao ila wa dar wanajua kupangilia na kutumia na isitoshe wana michongo mingi kuliko wa mokoani
Michongo ipi huko Dar? ya kugeza watu MAPUNDA? halafu wanokuja kuharibika mzigo ukishushwa na punda ni ndugu na jamaa zao? Tajiri gani hana ofisi wala hajulikani anauza nini zaidi tu ya kuitwa "PAPAA", hakuna kitu huko uharibifu tu.
 
Back
Top Bottom