Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,509
- 1,343
lazima na sisi tuandaye ya kwetu hapa tanganyika ya kumg'oa huyu Fisadi papa Kikwete na Genge lake la Majambazi ya rasilimali zetu
lazima na sisi tuandaye ya kwetu hapa tanganyika ya kumg'oa huyu Fisadi papa Kikwete na Genge lake la Majambazi ya rasilimali zetu
Bora wewe uko wazi na situation ilivyo,me naamin either ni siasa au waandaaj wana nia ambayo kiuhalisia kutimizka kwake ni ngumu.Nadhan kikwete ni mmoja wa viongoz wa africa ambao USA inawakubari so sidhan kama haya mjambo ya against JK ndani ya usa yanawezekana
Tunaomba picha.
Tunaomba picha.
hahhahahha...HUYU DEMU SI NDIO ALIPEWA MADINI AN CHARLZ STEILA???????????????![]()
Picha gani unataka, ya Jakaya anavyojiachia na vimwana wa Marekani?
![]()
Tunasubiri matokeo maana ndo muda muafaka
Huu ndo unafiki,hamna uthabiti wa nia,unaonekana si muumini wa unachokihubiri.Ungemalizia kwa kujitambulisha jina lako halisi ningekuona wa ukweli.Lakini sasa potea na hizi por6jo zako.Mimi ninasupport maandamano ingawaje sio a quick solution lakini pole pole tutafika....ninachosema ni kuwa...Huwa ninafuatilia hii forum lakini ukweli ni kuwa tutokage huku na kuspread news za mambo mengi kwenye social networks nyingine pia. Kuna wengi hawajui hii forum na kuna wengine wameshapeleka habari kuwa huku ni wahuni tu ndio wako basi mambo mengi yanaishia huku bila kufika au kujulikana na watu wengi. Hivyo tujitahindi kwenda na msg hixi hizi kwenye social networks nyingine ili watu wengi wapate huu ujumbe. Nadhani ni watu wachache sana wanaofahamu kuhusu haya maandamano.. Mimi mwenyewe nimeyafahamu kuwa yattakuwapo week hii sasa ujue ni wanagapi wangependa kuhudhuria lakini hawana habari ya haya maandamano? Na unajua kuna bloggers hawapost haya mambo....
Na kingine tukienda kwenye hizo social networks nyingine tutumie majina yetu kamini na watu watujue ni nani? Mimi niko kwenye twitter na utashangaa nikipost kitu watu kinachowagusa wengi badala ya watu kupost nao mawazo yao wanavyofikiria ni kunitumia personal emails na kusupport hoja au kuadd kitu kingine juu ya hoja. Kwa nini ni watu wachache wanaopenda kujulikana hadharani ni vipi wanafikiria kuhusu mambo fulani? Ni uoga au unafiki tulionao...Tukiwa AKA anonymous tunajidai tuna hasira na uchungu na nchi yetu lakini kwenye sehemu ya watu wanao kufahamu wewe ni nani uko kimya...Au ni fasadi within us...leo unakosoa watu kesho unapokea rushwa...TUjivue na sisi magamba ya anonymous bila hivyo hatutafika kwa vile hatujui nani anatetea mafisadi, nani anakula nao sahani moja.
Ni hayo tu together we can....My 2 cents
Akipozi na watoto wa DaikotaView attachment 37751
hahhahahha...HUYU DEMU SI NDIO ALIPEWA MADINI AN CHARLZ STEILA???????????????
HUWEZI JUA LABDA JK NAYE KUNA KITU KAMPA ..WHO KNOW?
hahhahahha...HUYU DEMU SI NDIO ALIPEWA MADINI AN CHARLZ STEILA???????????????
HUWEZI JUA LABDA JK NAYE KUNA KITU KAMPA ..WHO KNOW?
Wanajuwa dawa ya mzinzi ni kumpa wanawake!