Naunga mkono hoja
Upuuzi mtupu. Mmeimba maandamano mbona hakuna kilichotokea. Acheni propaganda na kutumika vibaya.
Someni updates
mwingereza acha siasa bana. Maandamano yapo ou hayapo? Na kama yapo leta picha za mabango machache tu. Usilete porojo hapa
Udates zipi?Someni updates
Udates zipi?
je unahakika wa hilo unenalo????nafikiri muachane na mambo hayo kwa sasa rais wetu ni mulewa sana na nimsikivu mpeni nafasi mungu ibariki tanzania na watu wake wote
Updates zenyewe zimejaa shaka. Mara ooo asipofika DC basi, mara mmekataa rushwa si munge walengesha kwa hao makachero sasa eti mnataka bahasha wapeleke wenyewe, JK yupo USA mvagaeni popote kama mna ubavu.
Mkuu DC ni kubwa sio kama Igunga au kijiji fulani. Unless unataarifa kamili mtu fulani atakuwa wapi kwa kipindi cha muda gani unaweza ukapoteza nguvu nyingi sana kama ukikurupuka.
Upuuzi mtupu. Mmeimba maandamano mbona hakuna kilichotokea. Acheni propaganda na kutumika vibaya.