UPDATE:
Ratiba Ya Safari Kwenda Kwenye Maandamano dhidi ya Vasco-Dagama (Jakaya Mrisho Kikwete). Kila kituo kitakuwa na Basi Moja. Mabasi Yote yatakuwa Coach Amerika. Hii ni kwa WAZALENDO na Mashujaa wote waliothibitisha kuja. Akija Basi maandamano Yataanza Tarehe 23-25
- Atlanta (Texas, Alabama, Kansas etc)DC September 22. 9pm (50 confirmed) Meeting Point : 2424 Piedmont Road Northeast, Atlanta
- Columbus Ohio (Pennsylvania, Maryland and Midwest) September 22, 11pm (58 confirmed) Meeting Point : 111 East Town Street, Columbus
- New-York (New-Jersey, CT, Rhode Island na Majimbo ya Juu pamoja na Canada) September 23, 5am (38 confirmed) Meeting Point : 625 8th Avenue, Manhattan (Next To Bank of America)
Kwa watakao Kuja kivyao, Tunakutana 1707 L Street NW, Washington D.C., DC 20003, (202) 293-7755. Ikiwa Vasco Dagama atakuja Basi tunakumbana naye uso kwa uso Tarehe 23/09/2011. Kuna wapelelezi wetu ambao watakuwemo kwenye DICOTA. Atakapofika Vasco Dagama wote tutaingia either kwenye ukumbi au nje ya Ukumbi Ambayo anwani yake ni Hapa chini. Asipokuja, basi hatutakuwa na budi kutokufika kwenye ukumbi. Tutawaachia DICOTA waendelee na shuguli yao.
Mabasi hayo hayo ndio yatakayowarudisha. Chakula na malazi yatatolewa kuanzia Tarehe 23-25 Mchana. Muda wa mabadiliko umefika, huu ni mwanzo tu. Mashujaa wengine wanatayarisha mikakati Tanzania. Moto mtindo mmoja Kote kote. Wangine watasema hii ni kazi ya CHADEMA. Ukweli ni Kwamba sisi ni CCM. Tumechoshwa na Kikwete. Kikwete atapita ila Tanzania itabadi, siyo Chadema, CCM, CUF au UDP. Wote ni Watanzania
Marriott Washington Dulles Airport hotel
45020 Aviation Drive
Dulles, Virginia 20166, USA.
Tel: 1-703-471-9500
FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE TUNAOMBA MJIUNGE NA TUSAMBAZE HABARI KWA TANZANIA WOTE
MWANAHARAKATI MCHEZA SINEMA WA KIMAREKANI ATAHUTUBIA, IMETHIBITISHWA....JINA PUNDE
WATU 2117 WAMETUMA MAOMBO KUSHIRIKI.TUMENI BARUA BARUA PEPE KWA WINGI KUWEKA PINGAMIZI KUHUSU SAFARI ZA KIKWETE KWENDA MAREKANI. BARUA ZOTE ZITUMWE KWENDA wiegertjr@state.gov HUU NI USHAURI KUTOKA KWA WAHUSIKA. ATAZUILIWA ISIPOKUWA TU KUHUDHURIA UN SESSIONS. WENYE FACEBOOK, WAANDIKE PINGAMIZI ZAO KWA KIINGEREZA KWENYE FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE
**************************************************************************************
Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yataishia STATE DEPARTMENT. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu, na kuiaca familia yake ikoroge nchi yetu. Ridhiwani anamilika robo ya uchumi wa Tanzania? Kwani Tanzania ni Tunisia....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe kwenda eliakimmallya@yahoo.com
Tayari watu 974 wamesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani. Kadhalika tumeni barua pepe pamoja na malalamiko kwa wingi kwenda wiegertjr@state.gov ili kupinga Vasco Dagama kupewa VISA na wapambe wake. Ifahamike kwamba mimi siyo mwana CHADEMA wengine wanavyodai. Mimi ni mwana UVCCM tena ngazi ya Juu, lakini Kikwete hakufaa kuwa Rais, ndo maana Watanzania wanaumia. Mapinduzi yanakuja. Wasio na makaratasi, tunachoomba ni sala zenu tu. Watu wanaongezeka sana. Tayari tumefikisha watu 512 ambao wapo marekani ki halali na wako tayari kujiunga nasi kwa ajili ya haya mapinduzi
Habari njema ni kwamba, kuna familia moja ya kitajiri ambayo ina interest kubwa Tanzania na wanashangaa kuona taifa letu linavyodidimia. Kwa maana hiyo, wamejitolea kulipia mabango, pamoja na mabasi sita.
1. Basi 2 yataanzia NY (Ni ya watu wa Boston, NY, Long-Island, NJ etc...) 2. Yanayotokea Ohio (Ohio, Maryland, Pensylvania, Michigani etc..)
3. MaBasi ya mwisho yatatokea Atlanta Georgia (Texas, Virginia, Florida, Alabama,Kansas, etc..)
Tukielekea mwisho wa mwezi huu, tutawapa ratiba kamili ya maandamano, yatakayoanzia sehemu"maalum" kuendelea kwenye Ukumbo wa DICOTA, Ubalozini , hoteli atakayofikia FISADI Kikwete na kumalizikia STATE DEPARTMENT. Tutakesha hotelini, chakula kitakuwepo na huduma zote muhimu pia zitakuwepo. Tuko pamoja hadi kieleweki. Mimi ni mwana CCM toka UVCCM lakini naapa ya Kwamba TUMECHOKA na JK. Tunamsubiri Marekani, hata kama ni miaka miwili tunamsubiri, wadhamani wapo kutusaidia. Wanaotaka Kujiunga kwenye maandamano, tumeni barua pepe kwenda eliakimmallya@yahoo.com. Kadhalika, tumeni malalamiko mengi iwezekanavyo kwenda wiegertjr@state.gov Ili kikwete na wapambe wake wanyimwe VISA, kwani serikali ya marekani haiwezi kutoa VISA mtu yeyote anapowekewa petition. Jamani msiogope, huu ni wakati wa ukombozi. Mimi nimefika hapa mwezi sasa, nipo uhamishoni hadi kieleweke.
TUUNGANE FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE
SERIKALI YA TANZANIA KUPITIA WATU WASIOFAHAMIKA, WAMEANZA KUTUTOLEA VITISHO PAMOJA KUJARIBU KUTUHONGA WAANDAAJI $3MILLION KUZIMA ZOEZI ZIMA LA MAANDAMANO. JIBU LETU NI KWAMBA, HATUWEZI KUUZA HUTU WETU NA UBINADAMU WETU. HIZO HELA WAPELEKE KWENYE MAHOSPITALI SIYO KUTUHONGA SISI. WAKAWAONGE WATANZANIA MILLIONI 40 WANAOKUFA NA NJAA SIYO SISI. MAANDAMANO LAZIMA, NA RAIS KIKWETE AJITAYARISHE. TUNAKUTANA NAYE MARRIOT WASHINGTON DULLES AIPORT NA HOTELINI KWAKE. TUMESHAJITAYARISHA