Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
wakuu maandamano yenu yameishia wapi.. hehe.. nilipata habari kutoka WANABIDII ... Mh shimiwa raisi wetu Dr. JK... alikwenda na akapewa tuzo za heshima kabisa.. poleni....



hujitambui na wala hujielewi...kesho ndio kesho
 
o Tanzanians are tired oftheir president. A retarded womanizer, brain dead idiotconstantly trotting the world leaving his country in the darkness. His peoplepray for an African version of Arab spring to topple jokers like him, Museveniand Mugabe. They are disgrace to their countries. Wikileaks revealed how cheapKikwete is; a whole head of state being bribed 5 suits and $1million. How low?He is accused of being the master of all corruption. Never home attending eventhe most mediocre meetings his assistants could attend. They have even namedhim after the explorer "Vasco Dagama". Africans will never progressas long as the likes of Kikwete keep on leading Africa. There is an undergroundprotests being planned against him during his visit to the US in the nextcouple of days

Kuna womanizer kama yule padre aliyeasi mkuu mbona unapindisha mambo?
 
kwani wakuu maandamano ni lini leo au kesho naona ****** anazidi jitanua huko mara kaenda kufungua soko la hisa marakapewa zawadi za heshima tunawaomba jamani maandamano yafanyike tupo nyuma yenu
 
Ndg ze2! Mbona kimya jamani? Huku 2nawa takieni maandamano mema yenye kila fanikisho jema na MUNGU atawatia Nguvu Zaidi!
 
Ushauri wangu; maandamano yawepo wether ameenda Mende au JK, huwezi jua wanaweza sema haendi halafu akatokea hata last minute!
 
Bango mojawapo liandikwe;

Mali ya Tanzania ni ya watanzania siyo Familia yako pekee
 
Nawatakieni kila la kheri ktk maandamano. Tupo pamoja wandugu.
 
Leteni picha tu mimi niko Alaska sijasikia kama atakuja na huku ... ... . Nitaandamana hata nikiwa peke yangu ... ....
 
UPDATE:
Ratiba Ya Safari Kwenda Kwenye Maandamano dhidi ya Vasco-Dagama (Jakaya Mrisho Kikwete). Kila kituo kitakuwa na Basi Moja. Mabasi Yote yatakuwa Coach Amerika. Hii ni kwa WAZALENDO na Mashujaa wote waliothibitisha kuja. Akija Basi maandamano Yataanza Tarehe 23-25

  • Atlanta (Texas, Alabama, Kansas etc)–DC September 22. 9pm (50 confirmed) Meeting Point : 2424 Piedmont Road Northeast, Atlanta
  • Columbus Ohio (Pennsylvania, Maryland and Midwest) September 22, 11pm (58 confirmed) Meeting Point : 111 East Town Street, Columbus
  • New-York (New-Jersey, CT, Rhode Island na Majimbo ya Juu pamoja na Canada) September 23, 5am (38 confirmed) Meeting Point : 625 8th Avenue, Manhattan (Next To Bank of America)
Kwa watakao Kuja kivyao, Tunakutana 1707 L Street NW, Washington D.C., DC 20003, (202) 293-7755. Ikiwa Vasco Dagama atakuja Basi tunakumbana naye uso kwa uso Tarehe 23/09/2011. Kuna wapelelezi wetu ambao watakuwemo kwenye DICOTA. Atakapofika Vasco Dagama wote tutaingia either kwenye ukumbi au nje ya Ukumbi Ambayo anwani yake ni Hapa chini. Asipokuja, basi hatutakuwa na budi kutokufika kwenye ukumbi. Tutawaachia DICOTA waendelee na shuguli yao.

Mabasi hayo hayo ndio yatakayowarudisha. Chakula na malazi yatatolewa kuanzia Tarehe 23-25 Mchana. Muda wa mabadiliko umefika, huu ni mwanzo tu. Mashujaa wengine wanatayarisha mikakati Tanzania. Moto mtindo mmoja Kote kote. Wangine watasema hii ni kazi ya CHADEMA. Ukweli ni Kwamba sisi ni CCM. Tumechoshwa na Kikwete. Kikwete atapita ila Tanzania itabadi, siyo Chadema, CCM, CUF au UDP. Wote ni Watanzania


Marriott Washington Dulles Airport hotel
45020 Aviation Drive
Dulles, Virginia 20166, USA.
Tel: 1-703-471-9500



FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE
TUNAOMBA MJIUNGE NA TUSAMBAZE HABARI KWA TANZANIA WOTE

MWANAHARAKATI MCHEZA SINEMA WA KIMAREKANI ATAHUTUBIA, IMETHIBITISHWA....JINA PUNDE
WATU 2117 WAMETUMA MAOMBO KUSHIRIKI.TUMENI BARUA BARUA PEPE KWA WINGI KUWEKA PINGAMIZI KUHUSU SAFARI ZA KIKWETE KWENDA MAREKANI. BARUA ZOTE ZITUMWE KWENDA
wiegertjr@state.gov HUU NI USHAURI KUTOKA KWA WAHUSIKA. ATAZUILIWA ISIPOKUWA TU KUHUDHURIA UN SESSIONS. WENYE FACEBOOK, WAANDIKE PINGAMIZI ZAO KWA KIINGEREZA KWENYE FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE

**************************************************************************************

Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yataishia STATE DEPARTMENT. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu, na kuiaca familia yake ikoroge nchi yetu. Ridhiwani anamilika robo ya uchumi wa Tanzania? Kwani Tanzania ni Tunisia....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe kwenda eliakimmallya@yahoo.com

Tayari watu 974 wamesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani. Kadhalika tumeni barua pepe pamoja na malalamiko kwa wingi kwenda wiegertjr@state.gov ili kupinga Vasco Dagama kupewa VISA na wapambe wake. Ifahamike kwamba mimi siyo mwana CHADEMA wengine wanavyodai. Mimi ni mwana UVCCM tena ngazi ya Juu, lakini Kikwete hakufaa kuwa Rais, ndo maana Watanzania wanaumia. Mapinduzi yanakuja. Wasio na makaratasi, tunachoomba ni sala zenu tu. Watu wanaongezeka sana. Tayari tumefikisha watu 512 ambao wapo marekani ki halali na wako tayari kujiunga nasi kwa ajili ya haya mapinduzi

Habari njema ni kwamba, kuna familia moja ya kitajiri ambayo ina interest kubwa Tanzania na wanashangaa kuona taifa letu linavyodidimia. Kwa maana hiyo, wamejitolea kulipia mabango, pamoja na mabasi sita.

1. Basi 2 yataanzia NY (Ni ya watu wa Boston, NY, Long-Island, NJ etc...) 2. Yanayotokea Ohio (Ohio, Maryland, Pensylvania, Michigani etc..)
3. MaBasi ya mwisho yatatokea Atlanta Georgia (Texas, Virginia, Florida, Alabama,Kansas, etc..)

Tukielekea mwisho wa mwezi huu, tutawapa ratiba kamili ya maandamano, yatakayoanzia sehemu"maalum" kuendelea kwenye Ukumbo wa DICOTA, Ubalozini , hoteli atakayofikia FISADI Kikwete na kumalizikia STATE DEPARTMENT. Tutakesha hotelini, chakula kitakuwepo na huduma zote muhimu pia zitakuwepo. Tuko pamoja hadi kieleweki. Mimi ni mwana CCM toka UVCCM lakini naapa ya Kwamba TUMECHOKA na JK. Tunamsubiri Marekani, hata kama ni miaka miwili tunamsubiri, wadhamani wapo kutusaidia. Wanaotaka Kujiunga kwenye maandamano, tumeni barua pepe kwenda
eliakimmallya@yahoo.com. Kadhalika, tumeni malalamiko mengi iwezekanavyo kwenda wiegertjr@state.gov
Ili kikwete na wapambe wake wanyimwe VISA, kwani serikali ya marekani haiwezi kutoa VISA mtu yeyote anapowekewa petition. Jamani msiogope, huu ni wakati wa ukombozi. Mimi nimefika hapa mwezi sasa, nipo uhamishoni hadi kieleweke.

TUUNGANE FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE

SERIKALI YA TANZANIA KUPITIA WATU WASIOFAHAMIKA, WAMEANZA KUTUTOLEA VITISHO PAMOJA KUJARIBU KUTUHONGA WAANDAAJI $3MILLION KUZIMA ZOEZI ZIMA LA MAANDAMANO. JIBU LETU NI KWAMBA, HATUWEZI KUUZA HUTU WETU NA UBINADAMU WETU. HIZO HELA WAPELEKE KWENYE MAHOSPITALI SIYO KUTUHONGA SISI. WAKAWAONGE WATANZANIA MILLIONI 40 WANAOKUFA NA NJAA SIYO SISI. MAANDAMANO LAZIMA, NA RAIS KIKWETE AJITAYARISHE. TUNAKUTANA NAYE MARRIOT WASHINGTON DULLES AIPORT NA HOTELINI KWAKE. TUMESHAJITAYARISHA



lowasa nyuma ya hili balaa.
 
wakuu maandamano yenu yameishia wapi.. hehe.. nilipata habari kutoka WANABIDII ... Mh shimiwa raisi wetu Dr. JK... alikwenda na akapewa tuzo za heshima kabisa.. poleni....

hawa mabwana wababaishaj tu,hakuna maandamano wala mtoto wa maandamano.nadhan ni kutafuta sifa tu
 
Tuweni wa wazi wajameni, nani ambae anaweza kutoa puwa yake na kuandamana kesho? Makaratasi yenyewe wengi wetu hapa usa ya magumashi. Hebu acheni kuwapotezea watu muda na story za abrakadabra hapa.
 
Tuweni wa wazi wajameni, nani ambae anaweza kutoa puwa yake na kuandamana kesho? Makaratasi yenyewe wengi wetu hapa usa ya magumashi. Hebu acheni kuwapotezea watu muda na story za abrakadabra hapa.

Bora wewe uko wazi na situation ilivyo,me naamin either ni siasa au waandaaj wana nia ambayo kiuhalisia kutimizka kwake ni ngumu.Nadhan kikwete ni mmoja wa viongoz wa africa ambao USA inawakubari so sidhan kama haya mjambo ya against JK ndani ya usa yanawezekana
 
Hakuna Expectations Yeyote toka dicota

Tunajua jinsi gani dicota na balozi wame-invest kwenye hii event heavily. The issue ni kwamba hakuna lolote la maana na chochote kile kipya kitaonekana, kikwete kamtuma membe ili nae aje kutembea vacation DC. Delegation ya watu wangapi imekuja? Thats should be in pic to come ...

The truth dicota is just another social event ya watanzania kukutana na ccm wanatumia weakness ya watanzania especially those normally don't reasons. Nikawaida watanzania walio nje ya inchi hasa huko US, Uk wanapenda kunywa na ku-socialize more than finding solutions za nchi yao. We are not going to be surprised tukianza kuona pics za watanzania wakinywa pombe na kustarehe DC... wait you see ... na ccm will take advantage of the venue one more time.


Check out this link ya ratiba ya dicota kama utaona kweli dicota is promoting ccm, Tanzania, kikwete, balozi or social networking?

2011 Convetion Program
Kuna tofauti gani kati ya dicota na jumuia zingine za watanzania huko Marekani (check links hapo chini)? Guys hii ni just social event na ikiisha na dust ziki-settle down, watanzania wataenda kulala na weekend itakumbukwa kwa alcohol and party thats it.... stop being used and do something for your country...

About Tanzania Association of Wichita (TaWichita) - Tanzania Association Of Wichita (TaWichita)

Tanzaniadallas.com

About Us

BBQ WITH THE AMBASSADOR IN DC « Sundayshomari's Blog
 
Message kikwete kapata na hata huko Tanzania anapata message kila siku na kama unafikiri atakuja DC na kupigiwa makofi and business as usual basi endelea kukimbiza mwenge ili upate changes .... ndugu na familia yako wame-wealth ya kutosha Tanzania sio ... I am sorry I thought Nape hana muda ku-respond!

Tuweni wa wazi wajameni, nani ambae anaweza kutoa puwa yake na kuandamana kesho? Makaratasi yenyewe wengi wetu hapa usa ya magumashi. Hebu acheni kuwapotezea watu muda na story za abrakadabra hapa.
 
Amen. Na iwe hivyo. Rais wa usalama wa taifa hatufai.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom