Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Akina Mwingereza wako kwenye maandamano sasa ndo maana hatupati update, wakishamaliza jukwaa hili litafurika picha za mabango na nyuzo za wabongo waishio huko bara lililovumbuliwa na Christopher Columbus, akikatishwa kwa farasi toka NY hadi St Fransisco, njia ambayo alipita imejengwa highway rout 80 yenye jina aka Christopher Columbus.

Asante Mkuu kwa kunijuza kwa hilo. Twasubiri picha na mpango mzima ulivyoenda.

Jana ktk taarifa ya habari saa 2 usiku nimeona MTOTO MCHANGA HUKO SONGEA ANA UVIMBE MKUBWA KICHWANI LKN MAMA YAKE HANA HELA YA KUPELEKA HOSPITAL KUBWA KUMTIBIA. HOSPITAL YA HUKO ALIKO WAMEJITOLEA KUMPA SENTI KIDOGO NA MANESI WA KUMFIKISHA DAR; KWA HALI ILE NAJUA ATATANGAZWA KWENYE TV SIKU ZIJAZO AKIOMBEWA MSAADA WA PESA ZA KUMPELEKA INDIA-KUTIBIWA.

LAKINI HAPOHAPO KUNA WATU WAMEPELEKWA MAREKANI NA BILIONI 4.8(USD 3.0 Mil) KAMA RUSHWA........ INAUMA SAAA.......NA!!!!!
 
Picha wadau tafadhali ni hatua muhimu sana ktk kifikia demokrasia ya kweli
 
NEW UPDATE:
Mwingereza na kundi lake wametolewa nduki na FFU waliokuwa na mabomu ya machozi na maji ya kuwasha na kumwacha jamaa akila bata kwa raha zake!
 
Kama hii ni kweli, maana yake ni kwamba kuna watu wameanza kutumia JF kuponya njaa zao. Mods this is blackmail, it should be condemned and heavily punished.

Dicota Convention ishafumguliwa, kwa amani pasi na dalili ya maandamano wala nini, je taarifa hii ya maandamano ilikuwa na malengo gani? nakubaliana nawe Kapoloto, haya ni matumizi mabaya ya JF, its a blackmail.
 
kama hii ilikuwa danganya toto, basi Robot aombe msamaha fasta!!!!
 
Mods tunaomba mtoe hii takataka hapa,Inapoteza muda wa watu kudeal na issue serious,au labda nyie mna pasu yenu? Nilishaona muda mrefu kuwa ha hiyoi deal ya kuganga njaa.Mapambano ya kweli ni hapahapa bongo.Majority ya watz waishio usa ni wabangaizaji hivyo hawawezi ku turn down ofa ya $36...Poleni sana wanaharakati,msivunjike moyo.Mapambambano yaendelee.
 
tupo pamoja wanaharakati natamani nami ningekuwa huko usa!!! tumechoka jamani sisi watanzania
 
Hii itatupunguzia imani na habari zinazotolewa humu,. tunaomba mwongozo unao eleweka kwa hili.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom