Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Ukweli ni kwamba maandamano hayajawai kutatua tatizo, wala hatokuja kutatua tatizo. JK is an incompetence president period, I doubt kwamba sababu sisi tutaandamana then tutabailisha is political position.

Kama tunataka maendeleo ya kweli tuchague viongozi wenye uweleo, na sio kuchagua watu sababu tuu wanapendeza mdomoni au unafanana nao kiimani.
 
Ukweli ni kwamba maandamano hayajawai kutatua tatizo, wala hatokuja kutatua tatizo. JK is an incompetence president period, I doubt kwamba sababu sisi tutaandamana then tutabailisha is political position.

Kama tunataka maendeleo ya kweli tuchague viongozi wenye uweleo, na sio kuchagua watu sababu tuu wanapendeza mdomoni au unafanana nao kiimani.

Mimi nafikiri maandamano ndiyo njia ya amani ya kufikisha ujumbe wa kutoridhika na jambo/mambo fulani. Naamini waandamanaji hawategemei JK atoke kesho kutwa akirudi Dar, lakini kupitia maandamano, atapata ujumbe, na zaidi ujumbe utawafikia watu wengi zaidi. Mojawapo ya mbinu inayotumiwa na serikali za CCM kutotatua matatizo ni kwa vile wanaelewa, kupitia mfumo mbovu wa elimu wametufanya waTanzania wengi kuwa na uwezo mdogo wa kuchambua mambo. Nakumbuka wakati wa uchaguzi miaka ya nyuma (nafikiri 1995) CCM walitumia picha za mauaji ya Rwanda kuwaonyesha wananchi kuwa kama wanataka mauaji ya kimbari basi wachague chama cha upinzani, wananchi wengi waliamini hayo na wakaona bora waendelee na CCM wasipate maendeleo kuliko kuchagua upinzani ili wawe wakimbizi.

Leo hii hali imebadilika sana, wananchi wengi zaidi (siyo wote), wana uelewa wa kutosha kuhusu matatizo ya nchi yao na nani wa kulaumiwa, moja ya sababu ya wananchi kuwa na uwezo wa kuelewa ni maandamano, yanaporatibwa vizuri na ujumbe stahili kutumwa, kuna watu wanafunguka akili zao, maana watanzania siyo wapumbavu bali inawezekana wana ujinga. Ujinga unaondolewa kwa kueleweshwa.

Kama ningeweza kutoa ushauri kwa waandaaji wa maandamano, ningependekeza wajizuie kuweka mabango yenye kutoa maneno ya kashfa kwani linaloweza kufanyika, ni hata kama kuna bango moja tu, basi waandishi wa vyombo vya nyumbani (TBC) watalivalia njuga na kutengeneza documentary ya kuwaonyesha kuwa nyinyi si wazalendo, na utakuwa ni mwanzo mbaya sana. Si vibaya kama mabango yenu mkayafanyia clearance kabla.

Nawatakia kila la heri.
 
Napata shaka na hayo maandamo kama yatafanikiwa kweli.
 
Ukweli ni kwamba maandamano hayajawai kutatua tatizo, wala hatokuja kutatua tatizo. JK is an incompetence president period, I doubt kwamba sababu sisi tutaandamana then tutabailisha is political position.

Kama tunataka maendeleo ya kweli tuchague viongozi wenye uweleo, na sio kuchagua watu sababu tuu wanapendeza mdomoni au unafanana nao kiimani.

Kamuulize gadafi atakuambia what is peoples power.
 
Nimesema awali kuwa waandaaji washalamba vipande thelasini,hii yote ilikuwa mitkas ya kuingiza mkwanja.Wabongo nuksi.Poleni kwa muda wenu na nguvu za kuchangia mawazo kwenye thread hii..Playboy anarudi zake home watu wanendelea kula bata.THIS WORLD IS FOR SMART PEOPLE ONLY.
 
Nimesema awali kuwa waandaaji washalamba vipande thelasini,hii yote ilikuwa mitkas ya kuingiza mkwanja.Wabongo nuksi.Poleni kwa muda wenu na nguvu za kuchangia mawazo kwenye thread hii..Playboy anarudi zake home watu wanendelea kula bata.THIS WORLD IS FOR SMART PEOPLE ONLY.
Sijakuelewa hata! Plz come again.
 
Nimesikia watu weupe nao washamlambisha Tuzo kama 2 hivi za afya nikapigwa na butwaa. Huku maisha yetu yanaishia hospital kwa kukosa dawa, huduma mbofu, mazingira mabovu na bado Mtalii kapewa tuzo...Hii inaweza ikawa janja yao (wazungu) wasiwape support waandamanaji, ili waonekane ni Gangs flani. Ngoja tuone hii movie.
 
Mods mwingereza akituyeyusha apigwe life ban, PAW unanisikia, waonyeshe mabango hata kama JK hajafika huko, kwani huo ujumbe si wanupeleka kwa umma na si kwa JK, uonyesheni umma jinsi msivyoridhika na utendaji wa huyo Chief Mangungo. Msipofanya hivyo nitamuamini huyu hapa
Ezan: Kuna tetesi ambazo sijazifurahia sana kwamba watu wa usalama wa Taifa waliondoka Tanzania hivi karibuni na zaidi ya Dola 3,000,000 kwenda kuwarubuni watu wachache wenye influence katika haya maandamano, nitaumia sana kama itakuwa ni kweli yatazuiwa kihivyo.
na kwamba mtakuwa mmelamba hivyo vipande vitatu vya dinari.
 
yetu macho.

Taarih 23 ndio leo imeshatimu tunasubiri muda tu . Tusubiri tuone ukweli wa maneno.

Ijumaa njema.
 
Nothing as usual. Wahuni tangu lini wakapanga kitu kikapangika?
Endeleeni tu kunung'unika hapa bongo, miaka inaenda, nguvu zinaisha, kisha mnafuata nyayo za NCCR-Mageuzi na CUF.
Hakuna opposition ya kweli Tz, ni vikampuni, NGO au tuseme club za kifamilia/kikabila.

Ndoto za Ben Mkapa za kutaka CCM itawale Tz milele zinakaribia kutimia.
 
That is probing brother!washamsoma na kujua anataka nini!sifa kama kawa sasa sifa ndo hizo wananmpa , tuzo kibao! Tangu lini nje ya nchi ndo wakaona anafaa hali huku wenye nchi tunajua uozo wote,huyu jamaa atatuuza haki mungu, wazungu walivo wabaya utaona kama wakileta mkataba atakataa kusini!

Ndo hayo hayo yatakuja kutucost maisha yetu!anapokea pokea tu hiyo danganya toto!tangu lini mtu kama huyu ambaye anakashfa dunua nzima akachair a huge meeting like that?

Hamuoni kuwa kuna kitu hawa jamaa wanatafuta>???''america they dont have a permanet friendship, they have a permanent interest''tumieni akili zenu ku[ambanua mambo tunaliwa tunaona!ujio wa symbion umeleta mabadiliko gani?? Hamuoni?miafrica ndivyo ilivyo!
 
hv hawa jamaa wamepotelea wapi. yako wapi maandamano, kimyaa, au wanaandamana sayari ya mars?
 
Waandaaji au niseme maco ordinator washakula kipande cha nguru ili wapotezee hayo maandamano.Tuendelee kupambana hukuhuku home
Hiyo ikiwa kweli jamaa itakuwa wamejidhalilisha sana-ingawa bado naamini kuwa watanganyika wenye uzalendo wa kweli na nchi yao wapo na hao ni miongoni mwao, lets wait the story. Ila habari hii inadhihirisha kuwa Tanganyika imejaa wajinga na wezi waliopitiliza, maana ile kufikiria tu wanaoandamana wanaweza kupozwa na bn 4.5 ni wizi na ujinga, sikwambii ikiwa wamefanya kweli kuhusu hilo.
 
Wamarekani ndivyo wanavyofanya kazi!!! Jamani kuna mwenye zile picha atuwekee za star mmoja mwanamama alipotembelea wodi ya wazazi ya hospitali ya Temeke akaangua kilio kutokana na alichokishuhudia? Sasa hao wanaompa TUZO ya kujali masuala ya afya (na yeye mwenyewe kuzikubali tuzo hizo) wanatumia vigezo gani kama sio peremende za kutaka kuuziwa nchi kwa bei ya kutupa!!!!!!!!!!!!!! TUNAUZWA kwa PEREMENDE!!:confused3:
 
Hiyo ikiwa kweli jamaa itakuwa wamejidhalilisha sana-ingawa bado naamini kuwa watanganyika wenye uzalendo wa kweli na nchi yao wapo na hao ni miongoni mwao, lets wait the story. Ila habari hii inadhihirisha kuwa Tanganyika imejaa wajinga na wezi waliopitiliza, maana ile kufikiria tu wanaoandamana wanaweza kupozwa na bn 4.5 ni wizi na ujinga, sikwambii ikiwa wamefanya kweli kuhusu hilo.

Marekani saa ndio kwanza asubuhi.
Kama pilikapilika za maandamano ina maana ndio zinaanza.
Na kama hivyo ndivyo, tunatarajia kuwa waliokuwa wanatupasha habari au ambao tunatarajia watupashe habari basi watakuwa bize na pilikapilika hizo.
Tuwape muda. Tusubiri kesho. Natumaini tutapata taarifa ya "Ndiyo/Hapana".
 
Wakuu mlioko washington tuko wote na tunawaunga mkono msikubali kuchukua chochote bali hakikisheni mnafanikisha mlichopanga. Aluta continua........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom