Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 961
Ukweli ni kwamba maandamano hayajawai kutatua tatizo, wala hatokuja kutatua tatizo. JK is an incompetence president period, I doubt kwamba sababu sisi tutaandamana then tutabailisha is political position.
Kama tunataka maendeleo ya kweli tuchague viongozi wenye uweleo, na sio kuchagua watu sababu tuu wanapendeza mdomoni au unafanana nao kiimani.
Kama tunataka maendeleo ya kweli tuchague viongozi wenye uweleo, na sio kuchagua watu sababu tuu wanapendeza mdomoni au unafanana nao kiimani.