Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
hii haijakaa vyema watu huwa wanaprotest popote pale kutafuta haki yao haijalishi DICOTA WALA UN bwana, kama kweli mna uchungu basi mngefika UN kuonyesha machungu yenu ili wakuu wa nchi zote wayajue haya,,,haya asipokuja huko ina maana wale wote waliotoka kila pembe ya marekani kwa ajili ya kuprotest itakuwa imekula kwao pamoja na kuacha majukumu yao yote?? acheni propaganda za april fool day hapa!
 
vipi bado tu Mwingereza hajaleta hizo picha?

picha hizi hapa:

Kikwete.jpg
 
Unajinadi tujue unaishi huko nini..? kama una uchungu na nchi yako si uje tupambane nae huku huku nyumbani. Wazushi tu nyie. Kwaio mnataka JaKi akija huko asirushe mawora, k&@¥>nu.
 
Unajinadi tujue unaishi huko nini..? kama una uchungu na nchi yako si uje tupambane nae huku huku nyumbani. Wazushi tu nyie. Kwaio mnataka JaKi akija huko asirushe mawora, k & @ ¥ >""¿ u.
 
Jamani kwanza tunatakiwa tuwapongeze TISS kwa kanzi nzuri ya kuitokuogopa kumpeleka JK, kufanya hivyo kumeonyesha kuwa vijana wanafanya kazi yao, na kuwa nchi haitawaliwi na vi blog watu wanadanganyanaaa wakinywa vi budlight. Kijana wetu wa pale (station chief) ananastahili pongezi
 
Jakaya ameupload new picture kutoka DICOTA through facebook. Katupua suti nyeupe anang'ara kama kawaida yake, Mwingereza uko wapi Mkuu?
 
Wa Tz kwa uongo namna hii je mtaweza kufikia lengo lenu la maendeleo? Lakini pia Chadema kwa propaganda za namna hii mtawezaa kuongoza nchi yenu ? au ndio moja ya falsafa zenu.
 
Tunachotaka kujua mpaka sasa walioenda kumlamba miguu jk DC wamefanikiwa kitu gani na mafanikio gani wameiletea Taifa. Mnatumia funds za tax payers ili mfanye sherehe na ku-party mkiita hii ni diespora ya watanzania, kweli US wapo wapuuzi wengi. Tunasubiri report ya huu mkutano kwamba wamefanikiwa nini?

 
Mwingereza kapewa mlungula au kulikuwa hakuna kitu kabisa km hiki kuhusu kuorganize watu huko DC? Haya maswal yananiumiza kichwa.
 
Dah, kweli wabongo wa unyamwezini nouma... yani wamewapiga maelfu changa la macho hivihivi... Maandamano, maandamano... Kumbe wanataka kuvuta wakae vizuri U.S... Itabidi maorganiser wote wafuatiliwe accounts zao kama kuna any recent transactions zisizo na maelezo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom