Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 98
Watu tunataka MAENDELEO sio MAANDAMANO!
Inaelekea Chadema wanachanganya maneno haya! Wao wanachoweza ku-offer ni maandamano tu!
Halafu nyie huko U.S mmekimbia nchi yenu kunufaisaha mataifa ya nje, sasa munajifanya muna uchungu ni nchi hii?
Kwanza wengi wenu mmeenda kwa hela za ufisadi wa wazazi wenu!
Inaelekea Chadema wanachanganya maneno haya! Wao wanachoweza ku-offer ni maandamano tu!
Halafu nyie huko U.S mmekimbia nchi yenu kunufaisaha mataifa ya nje, sasa munajifanya muna uchungu ni nchi hii?
Kwanza wengi wenu mmeenda kwa hela za ufisadi wa wazazi wenu!