Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 830
- 672
<br />Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yatapokewa na viongozi kutoka United States Department. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe <br />
<br />
<a href="mailto:EliakimMallya@yahoo.com">EliakimMallya@yahoo.com</a>
<br />
Inatia moyo sana tunapopinga ufisadi kwa vitendo na sio maneno. Huyu chekibobu wetu uswahiba unamsumbua sana,anashindwa kuwawajibisha mafisadi kwakuwa ni maswahiba wake. Mkwele bana, muumbueni ili aache uvasco da gama wake.