Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,611
Uko cheap sana wewe, hatukuoni, hatukujui, lakini mungu anakuona na atakuhukumu kwa ku shiriki kuwadhulumu watanzania wakiwemo ndugu wa ukoo wako.Nyie sio watanzania , nyie ni wamarekani , shughulikieni kwanza matatizo ya uchumi ya nchi yenu. Hamuoni nchi yenu inavyo didimia sasa