Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Nyie sio watanzania , nyie ni wamarekani , shughulikieni kwanza matatizo ya uchumi ya nchi yenu. Hamuoni nchi yenu inavyo didimia sasa
Wawe Wamarekani au Watanzania wameamua kuandamana kumpinga JK, unatamani ingekuwa ni hapa TZ muwamwagie maji ya kuwasha??? Na hii itasababisha JK apunguze safari za nje, Safi sana.
 
<br />
<br />
Kweli kabisa mkuu yaani huku tuko kimya utafikili tunamaisha mazuri,mpaka ndugu zetu wa mbali waanzishe bana huu ni ujinga sio woga,hebu tuungane kumpinga jamani hali hii mpaka lini?

maneno mengi lakini utakalazaji zero. Au mnataka kama yale yanayoendelea Uingereza.

Hakuna lolote zaidi ya kutaka kuleta shari nchini mwenu. Kwanza malizeni yale ya Arusha kwanza kabla kufikiria mengine.
 
JK Ndio Rais wa Tanzania na anafanya kazi kwa bidii sana kuhakikisha wote tunaenda shule bila kubaguwana, anahakikisha barabara zote zinapitika bila kubaguwana, anahakikisha Mtwara, Tanga, Kigoma, Tabora, barabara zinafika na maisha yanaboreshwa.

Anahakikisha kuwa sehemu zote zilizoachwa nyuma ki maendeleo kwa makusudi kabisa zinazifikia zile zilizo pendelewa kwa haraka sana.
 
<br />
<br />
Mtoa mada hawezi kuwa hana dini and so wachangiaji,mtu anahukumiwa kwa alichosema,nioneshe katika maelezm yake alipozungumzia mambo ya dini!Au ukabila!

Kupinga Kikwete na kutokuona anayoyafanya, ni udini wa waziwazi wala haupingiki.

Niambie ni Rais gani aliyetengeneza Kilomita 11,300 za barabara za lami tokea mkolonni, nyerere, mwinyi na mkapa?
 
maneno mengi lakini utakalazaji zero. Au mnataka kama yale yanayoendelea Uingereza.<br />
<br />
Hakuna lolote zaidi ya kutaka kuleta shari nchini mwenu. Kwanza malizeni yale ya Arusha kwanza kabla kufikiria mengine.
<br />
<br />
Nyie ya kwenu ya kuvuana magamba mmefikia wapi kama sio umbea unakusumbua ww? Mna kazi ya kutuhubiria Amani kumbe nyie ndio waponda nchi hii,acha kua na mawazo hasi hebu kuweni na huruma na watz wenzenu
 
Were together wakuu, tunaitaj uhuru wa pili, hakikisheni CNN, Aljazeera, BBC waone, kilaza mkubwa huyo.
Mkutano wa DICOTA ni lini?
 
Kupinga Kikwete na kutokuona anayoyafanya, ni udini wa waziwazi wala haupingiki.

Niambie ni Rais gani aliyetengeneza Kilomita 11,300 za barabara za lami tokea mkolonni, nyerere, mwinyi na mkapa?

barabara za lami zinaumuka kama unga wa amira kama ile ya kilwa road.

barabara za lami zinaota ukurutu kama ile alojenga Kinje Ngombalemwiru huku kitaa kwetu.

is that wat ur talking about?
 
WAKATI MALAWI WAPEPIGA MARUFUKU FOREGN TRIP ZOTE KWA VIONGOZI WA UMA HUKU KWETU NAONA CHRSTOPHER COLUMBA ANAZIDI KUSPEND.

KAMA VIPI TULIANZISHE KAMA MALAW.
WAINGEREZA NDO WAINGEREZA WAMELIANZISHA CC TUNASHINDWA NINI?



 
Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yatapokewa na viongozi kutoka United States Department. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe <br />
<br />
<a href="mailto:EliakimMallya@yahoo.com">EliakimMallya@yahoo.com</a>
<br />
<br />
Duh nimeona jina la Mallya nimepata hisia tofauti! Hapa kuna jambo si bure!
 
Udini na Ukabila ndio unaoongelewa humu kila siku, nipeni sababu moja nzuri ya kumpinga Kikwete ni nini? zaidi ya dini yake?

anackeka cheka hovyo na huwa anajibu maswali ya msingi kijuhajuha (rejea mahojiano yake na bbc).

halafu mzururaji sana utadhani .....koko.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Uko cheap sana wewe, hatukuoni, hatukujui, lakini mungu anakuona na atakuhukumu kwa ku shiriki kuwadhulumu watanzania wakiwemo ndugu wa ukoo wako.
<br />
<br />
Threats doesn't work now day!But Logic does!
 
Kwa kusherehesha hapo huyo ni CHADEMA. Kwani wao ni wapenda shari ndani ya nchi yenu
Yani awe mchaga au ****** au msambaa swala la msingi hapa WaTz wanaoishi Washngton DC wanaandamana kumpinga JK. Kule hakuna FFU wala maji yakuwasha. Ni lazima boss wenu aumbuke mtake msitake.
Big up sana ndugu zangu wa Washington dc, tunawaunga mkono na ninaandaa ujumbe wa kuandika kwenye mabango. Safi sana.
 
WAKATI MALAWI WAPEPIGA MARUFUKU FOREGN TRIP ZOTE KWA VIONGOZI WA UMA HUKU KWETU NAONA CHRSTOPHER COLUMBA ANAZIDI KUSPEND.

KAMA VIPI TULIANZISHE KAMA MALAW.
WAINGEREZA NDO WAINGEREZA WAMELIANZISHA CC TUNASHINDWA NINI?




Wewe malizia unangoja nini? si mlianza Arusha, au umesahau?
 
Yani awe mchaga au ****** au msambaa swala la msingi hapa WaTz wanaoishi Washngton DC wanaandamana kumpinga JK. Kule hakuna FFU wala maji yakuwasha. Ni lazima boss wenu aumbuke mtake msitake.
Big up sana ndugu zangu wa Washington dc, tunawaunga mkono na ninaandaa ujumbe wa kuandika kwenye mabango. Safi sana.


MTanzania anaishi USA? haiwezekani.
 
That's some good sh*t, I'll drive down to DC
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom