Tunawahimiza sana watanzania wote wanaoishi marekani kote kupinga kuwepo kwa kikwete Washington na hata serikalini mwetu. Kweli kikwete has to go kwa sababu moja tu, hakuchaguliwa na wananchi na amemaliza hili taifa kwa sasa. Huyu msomi wa gadaffi na mugabe atawaua wananchi wengi zaidi akiendelea kukaa kwenye hii ofisi yetu ya taifa. Angalia safari, uchumi, corruption, ufichaji siri na ubeberu na uongozi wa kizembe Tanzania. Utampata wapi mtu mzembe hivi na akapata madaraka ktk taifa...only africa can manipulate people around. Time has come!
Kifupi ni hiki, wananchi walio marekani msikubali kutumiwa na makarani hawa ccm dicota, tumesikia na bado tunapata data zaidi ya jinsi balozi wa Tanzania anavyofanya kazi na dicota kuleta ufisadi US. Mbaya zaidi na masikitiko makubwa ni watanzania waliojiingiza ndani ya dicota na kujipendekeza ndani ya communities za watanzania katika states zote watanzania wanaishi. Hakuna kitu dicota inafanya zaidi ya kuwa tawi la ccm marekani. Kazi ya ku-promote taifa kote duniani vyote vimetengewa bajeti na hao maofisa ndani ya hizi ofisi ni incompetent people waliopewa kazi hizo kwa kupitia network za ccm.
Wanakuja wangapi kwenye trips ya marekani .... mlio marekani tunaomba data...sitakosea kusema ubalozi wa marekani umepokea maombi ya visas 50...wanakwenda kufanya nini wakati serikali haina funds?
"poverty deepen in ccm bones"