UPDATE
Habari njema ni kwamba, kuna familia moja ya kitajiri ambayo ina interest kubwa Tanzania na wanashangaa kuona taifa letu linavyodidimia. Kwa maana hiyo, wamejitolea kulipia mabango, pamoja na mabasi sita.
1. Basi 2 yataanzia NY (Ni ya watu wa Boston, NY, Long-Island, NJ etc...)
2. Yanayotokea Ohio (Ohio, Maryland, Pensylvania, Michigani etc..)
3. MaBasi ya mwisho yatatokea Atlanta Georgia (Texas, Virginia, Florida, Alabama,Kansas, etc..)
Tumemtumia Yule Dada Kipenzi cha Watanzania Lisa Rockerfeller kuwa Mzungumzaji mkuu. tunasubiria majibu toka kwake
TUUNGANE FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE
Huyu hapa.Mkuu mimi naunga mkono huu mpango na hayo maandamano.
Ila kuhusu huyo tajiri mwenye interest na Tanzania, naomba unifafanulie zaidi, ni aina gani ya interest aliyo nayo? na kwa manufaa ya nani? Maana hisije ikawa nae anataka kutumia hiyo chance kupata justification na connections za kuja kuzidi kulididimiza taifa letu. Pengine ningeomba kabla ya kukubali huo usamaria wema wake, muulize interest zake ni zipi?
Pili kuhusu huyo dada, ni kipenzi cha watanzania? Watanzania gani? Mbona watanzania hawamfahamu?
Otherwise, all the best in your plans, but watch out for those vampires.
Lisa M Rockefeller[h=2]DICOTA BOARD OF TRUSTEES[/h] Dr. Lennard M. Tenende
Mr. Abdul Majid
Mr. Frederick Mjema
Mr. Iddy Mtango
Dr. Crispin Semakula
[h=2]DICOTA OFFICERS[/h] Dr. Ndaga Mwakabuta President
Dr. Lyungai Mbilinyi Secretary
Mr. Joel Mburu Dep. Secretary
Ms. Emma Kasiga Treas
.....
........
.........
.... Hakuna mbeba maboksi hapo.
Huyu hapa.
Lisa M Rockefeller
I love Africa, and my heart is always in Tanzania. I love People of Mbeya, and get sickened to hear of their suffering. People of Tanzania may need to borrow the carriculum from Egypt and Tunisia to rid the country of Kikwete and the Corrupt Makamba plague. Mungu ulinde Tanzania na Bariki Wote
Nyie sio watanzania , nyie ni wamarekani , shughulikieni kwanza matatizo ya uchumi ya nchi yenu. Hamuoni nchi yenu inavyo didimia sasa
Labda mkuu ungenieleza kosa langu ni lipi? wewe umesema humjui, mimi nimekurahisishia umjuwe sasa unaniuliza vipi mimi maswali hayo? kwani wewe huwezi kumuuliza yeye mwenyewe direct? kuna wakati busara kidogo inatosha.Kwahiyo kwa maneno yako hayo ndio anakua kipenzi cha watanzania?!?!?
Kwahiyo kwa maneno yako hayo ndio anakua kipenzi cha watanzania?!?!?
Dr. Willibrord SlaaWere together wakuu, tunaitaj uhuru wa pili, hakikisheni CNN, Aljazeera, BBC waone, kilaza mkubwa huyo.
Mkutano wa DICOTA ni lini?
Dr. Willibrord Slaa
Tunaye Rais asiyependa kusemea matatizo ya wananchi wake. Matatizo wanayoyapata Wananchi kwa sasa ni matunda ya uongozi mbovu usiojali maslahi ya wananchi wake.
Jamani andamaneni... acheni hawa makada wa CCM waendelelee kupiga kelele.. their days are numbered
Hapana hawa ni Watanzania wamarekani hawana habari na Tanzania mimi nawaunga mkono it is about time Dunia ijue kwamba Ma CCM na JK si kitu ni hovyo
JK ni janga la kitaifa, hakubaliki.
Umeanza kuleta siasa zako za chuki za kikabila?Ufisadi wake ni kwa kuwa yeye Muislaam. Ufisadi wenu hata kodi mpaka mmelazimishwa kulipa, miaka yote hata kodi ya serikali mlikuwa mnaiba. Sasa nyinyi wachaga hata kodi basi hamtaki kulipa halafu mnajidai mnaipenda nchi yenu? mnanshangaza!
Matatizo yepi? tuanze moja moja. Na pia ukubali kuwa njia ya pekee ya kutatua matatizo kwa muda mrefu ni kuwapa wananchi elimu na si kuwajaza mapesa mifukoni. Kikwete anatoa wanafunzi wengi kwenye nyanja zote sasa hivi zaidi ya awamu zote ukichanganya pamoja, Jee, huko sio kutatua matatizo?