Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Halafu kuna tetesi kwamba wanafuta kipengele cha ukomo wa urais wa jamhuri ya muungano kuwa &quot;kama&quot; Uganda, what's ya comment sir...
<br />
<br />
Makalio
 
Acha uwongo.
Nimehudhuria mikutano yote ya DICOTA na hatukulazimika kuwa na pasipoti au makaratasi ya immigration. Unachotakiwa ni kujiandikisha tu. Huu mkutano hauhusu watu wa Immigration hata kidogo. Acha uwongo.
Kama mimi muongo subiri Sep 22, 2011 siku ya mkutano ndio kama utajua kama makaratasi yanatakia au ayatakiwi wewe endelea kuwachuuza wenzako waje warudishwe Tanzania 85% wameoza
 
Acha mawazo mgando wewe,wanachopinga ni ugumu wa maisha ya watanzania,hili sio suala la chama chochote,JK anapewa ujumbe coz ni kiongozi wa nchi!

Nani kakwambia magumu? ukiwa kilaza kweli yatakua!!!

Muulize Dj,padre, kama maisha magumu!!!!!!!!!

siasa bwana tamu.
 
Kama mimi muongo subiri Sep 22, 2011 siku ya mkutano ndio kama utajua kama makaratasi yanatakia au ayatakiwi wewe endelea kuwachuuza wenzako waje warudishwe Tanzania 85% wameoza

Makaratasi hayatakiwi aloo. Acha kuhadaa watu. "Wenyeviti" wa vyama vya Watanzania Marekani kibao hawana maratasi na wanahudhuria na kuhutubia kila mwaka bila tatizo. Ishu hapa ni mwito feki wa maandamano, siyo mahudhurio ya huo mkutano. Watu wanajitafutia umaarufu wa nguvu na kufanya kila mtu mjinga.
 
Kama mimi muongo subiri Sep 22, 2011 siku ya mkutano ndio kama utajua kama makaratasi yanatakia au ayatakiwi wewe endelea kuwachuuza wenzako waje warudishwe Tanzania 85% wameoza
Wishful thinking. Won't happen.
 
Na wewe bora upumzike kutujazia upupu wako kwenye hii thread. Kudadeki! Hivi kweli mnafikiri watu wote ni Wajinga namna hii? Nyambaaf!
Comrade, hawa jamaa pumba sana, wanakubaliana hata upuuzi, mleta hii thread Mallya, mwanzo kasema maandamano yatapokelewa na viongozi wa STATE HOUSE, DEPARTEMENT STATE, akabadilisha thread yake kaandika tena pumba, eti maandamano yatapokelewa DEPARTEMENT STATE, hata hajui DEPARTEMENT STATE ni nini hizi ni akili za mbege
 
Makaratasi hayatakiwi aloo. Acha kuhadaa watu. "Wenyeviti" wa vyama vya Watanzania Marekani kibao hawana maratasi na wanahudhuria na kuhutubia kila mwaka bila tatizo. Ishu hapa ni mwito feki wa maandamano, siyo mahudhurio ya huo mkutano. Watu wanajitafutia umaarufu wa nguvu na kufanya kila mtu mjinga.
Hapa sasa patamu, mimi yangu macho tu nitakuwa msomaji tu.
 
Comrade, hawa jamaa pumba sana, wanakubaliana hata upuuzi, mleta hii thread Mallya, mwanzo kasema maandamano yatapokelewa na viongozi wa STATE HOUSE, DEPARTEMENT STATE, akabadilisha thread yake kaandika tena pumba, eti maandamano yatapokelewa DEPARTEMENT STATE, hata hajui DEPARTEMENT STATE ni nini hizi ni akili za mbege
Acha kujipendekeza Komredi ni kipepe tu, umeambiwa acha kuhadaa watu na umenywea unaanza kumuita mwanaume mwenzako eti Komredi! kwahiyo kumbe kazi yako ilikuwa ni kuhadaa watu kwenye hii thread?
 
kila lakheri kwa udhubutu wakuu lakini asipokuja nini kitafata?nafikiri hivi vitu vina nguvu zaidi vikienda na matukio mfano kipindi kile mauaji arusha then mara,hata taasisi kubwa zingewapa attention.ni ushauri tu wadau.
 
Acha kujipendekeza Komredi ni kipepe tu, umeambiwa acha kuhadaa watu na umenywea unaanza kumuita mwanaume mwenzako eti Komredi! kwahiyo kumbe kazi yako ilikuwa ni kuhadaa watu kwenye hii thread?
Wewe kaa pembeni tuachie sisi hii thread ujui chochote!
Watu wanaoishi Marekani na Ulaya lugha wanayotumia makaratasi ina maana pana unaweze kuwa ujapata makaratasi muda wako bado wa kupata au kesi yako ipo mahakamani lakini serikali ya Marekani inakutambua.
Kuna wale Overstay hawana makaratasi wala hawana kesi mahakamani za kupata makaratasi hawa ndio hawatakiwi hata wenyewe wanajijua hao ata wakifiwa na baba zao hawawezi kuja kuzika wanajua hawezi kurudi tena Marekani pamoja na huyu Mallya Mchaga wa kibosho hawezi kuhudhuria hana makaratasi
 
Nna wasiwasi huenda ziara ikaahirishwa, kwani mmeshamwaga mchele kwenye kuku wengi. msishangae mkipigwa chenga ya mwili
 
Nna wasiwasi huenda ziara ikaahirishwa, kwani mmeshamwaga mchele kwenye kuku wengi. msishangae mkipigwa chenga ya mwili

Atamwomba comedian Stevin Wasira amuwakilishe ama yule Malima
 
Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yataishia STATE DEPARTMENT. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu, na kuiaca familia yake ikoroge nchi yetu. Ridhiwani anamilika robo ya uchumi wa Tanzania? Kwani Tanzania ni Tunisia....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe kwenda eliakimmallya@yahoo.com

Tayari watu 974 wamesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani. Kadhalika tumeni barua pepe pamoja na malalamiko kwa wingi kwenda wiegertjr@state.gov ili kupinga Vasco Dagama kupewa VISA na wapambe wake. Ifahamike kwamba mimi siyo mwana CHADEMA wengine wanavyodai. Mimi ni mwana UVCCM tena ngazi ya Juu, lakini Kikwete hakufaa kuwa Rais, ndo maana Watanzania wanaumia. Mapinduzi yanakuja. Wasio na makaratasi, tunachoomba ni sala zenu tu. Watu wanaongezeka sana. Tayari tumefikisha watu 512 ambao wapo marekani ki halali na wako tayari kujiunga nasi kwa ajili ya haya mapinduzi



UPDATE
Habari njema ni kwamba, kuna familia moja ya kitajiri ambayo ina interest kubwa Tanzania na wanashangaa kuona taifa letu linavyodidimia. Kwa maana hiyo, wamejitolea kulipia mabango, pamoja na mabasi sita.

1. Basi 2 yataanzia NY (Ni ya watu wa Boston, NY, Long-Island, NJ etc...)
2. Yanayotokea Ohio (Ohio, Maryland, Pensylvania, Michigani etc..)
3. MaBasi ya mwisho yatatokea Atlanta Georgia (Texas, Virginia, Florida, Alabama,Kansas, etc..)

Tukielekea mwisho wa mwezi huu, tutawapa ratiba kamili ya maandamano, yatakayoanzia sehemu"maalum" kuendelea kwenye Ukumbo wa DICOTA, Ubalozini , hoteli atakayofikia FISADI Kikwete na kumalizikia STATE DEPARTMENT. Tutakesha hotelini, chakula kitakuwepo na huduma zote muhimu pia zitakuwepo. Tuko pamoja hadi kieleweki. Mimi ni mwana CCM toka UVCCM lakini naapa ya Kwamba TUMECHOKA na JK. Tunamsubiri Marekani, hata kama ni miaka miwili tunamsubiri, wadhamani wapo kutusaidia. Wanaotaka Kujiunga kwenye maandamano, tumeni barua pepe kwenda
eliakimmallya@yahoo.com

Kadhalika, tumeni malalamiko mengi iwezekanavyo kwenda
wiegertjr@state.gov Ili kikwete na wapambe wake wanyimwe VISA, kwani serikali ya marekani haiwezi kutoa VISA mtu yeyote anapowekewa petition. Jamani msiogope, huu ni wakati wa ukombozi. Mimi nimefika hapa mwezi sasa, nipo uhamishoni hadi kieleweke.

Tumemtumia Yule Dada Kipenzi cha Watanzania Lisa Rockerfeller kuwa Mzungumzaji mkuu. tunasubiria majibu toka kwake

TUUNGANE FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE

mimi nahisi bora uendelee na kazi yako ya kukosha vyoo na masufuria badala ya kwenda kwenye maandamano ambayo hayana tija .fanya kazi ili uwasaidie wale ndugu zako ulowaacha kule subawanga wakipiga jembe .
 
Kwa mara ya kwanza maghorofa marefu yanajengwa Kigoma, nimekuambia muulize Kabwe.
<br />
<br />
Faiza acha uongo, wewe unatokea Kigoma ipi"? Au wamaanisha Igoma! umeme umekuwepo Kigoma miaka mingi isipokuwa Kibondo na Kasulu ambpo iliahidiwa ungewaka July, ingawa hadi sasa bado. Na hayo magorofa unayozungumzia yako wapi? Au ni lile la ghorofa tatu la NHC, au hilo linalojengwa pale Sokoni mjini?

Kwa taarifa tu; Umeme KG bado ni tatizo kama ilivyo sehemu nyingine TZ
 
Wewe kaa pembeni tuachie sisi hii thread ujui chochote!
Watu wanaoishi Marekani na Ulaya lugha wanayotumia makaratasi ina maana pana unaweze kuwa ujapata makaratasi muda wako bado wa kupata au kesi yako ipo mahakamani lakini serikali ya Marekani inakutambua.
Kuna wale Overstay hawana makaratasi wala hawana kesi mahakamani za kupata makaratasi hawa ndio hawatakiwi hata wenyewe wanajijua hao ata wakifiwa na baba zao hawawezi kuja kuzika wanajua hawezi kurudi tena Marekani pamoja na huyu Mallya Mchaga wa kibosho hawezi kuhudhuria hana makaratasi
Labda wewe unaetegemea info za hapa JF ndio uelekezwe maana pana ya hizo Lugha kwa sababu huna exposure yoyote zaidi kuwa puppet tu, wewe ndio miongoni mwa wale ukisikia watu wanapiga box mantoni basi unajuwa ni wabeba mabox kweli.
Mimi ni mpiga box kitambo na sasa nguvu zangu nazielekeza kwenye miradi yangu binafsi, hakuna unalolijuwa wewe zaidi ya kukariri tu kama kasuku through experience za wengine.
 
Labda wewe unaetegemea info za hapa JF ndio uelekezwe maana pana ya hizo Lugha kwa sababu huna exposure yoyote zaidi kuwa puppet tu, wewe ndio miongoni mwa wale ukisikia watu wanapiga box mantoni basi unajuwa ni wabeba mabox kweli.
Mimi ni mpiga box kitambo na sasa nguvu zangu nazielekeza kwenye miradi yangu binafsi, hakuna unalolijuwa wewe zaidi ya kukariri tu kama kasuku through experience za wengine.
Wenye miradi huwa wanasema wewe! Endelea na porojo zako tu humu JF, bahati nzuri watu wameishakujua mzee wa porojo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom