FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Dada Faiza, mie nataka DUBAI YA AFRIKA TULIOAHIDIWA=Kigoma. Bila kusahau meli yetu
Kwa mara ya kwanza umeme unawaka Kigoma baada ya miaka 40, kwa mara ya kwanza Kigoma wanaunganishwa na mikoa mingine kwa barabara za lami, au hujui hilo?