Unstoppable
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,046
- 387
Matatizo ya nchi hayasababishwi na Rais, bali na viongozi wengine kama Waziri Mkuu, Bunge, nk. Huu ni mpango maalum wa Ubaguzi wa Kidini uliopo TZ, na umepngwa kwa kila Rais ambaye ni Muislamu.
Blame game is over Mr Right! Kila mtu mnamlaumu mara RACHEL, Waziri Mkuu na sasa Bunge. Ukumbuke waziri mkuu amechaguliwa na raisi and probably alimpima kipindi cha kwanza akaridhishwa na "utendaji wake" akamchagua kipindi hiki cha pili. However, raisi ndio final decision maker. Tutawazunguka RACHEL ooh kujivua gamba lakini master mind ni JK. Tutalizunguka bunge including Jairo& Co lakini tutarudi pale pale kwa JK as the master mind. Angekuwa sio master mind angepangua safu nzima ya watendaji wake (ambao wengi ni wabunge by the way), akaweka watu makini sio robot anao wa-control anavyotaka yeye. Hawezi na hataki kubadilisha safu e.g. Ngeleja because he needs to hold on kwake ama sivyo akiweka mwingine atagundua uchafu alioufanya yeye na wenzie kwenye wizara ya Nishati na Madini. Sidhani kama nahitaji ku-say more, watanzania wa leo wanauelewa wa hali ya juu including you. Sasa wengine wanaweza kumtetea for whatever reason sitashangaa; (Hata Hosni Mubarak juzi aliposomewa mashtaka akiwa kitandani bado kuna watu walikuwa tayari kufight for him). Lakini kumtetea hakutabadilisha ukweli unless Watanzania waone kwa macho mabadiliko, otherwise watu kama nyie inabidi mfanye kazi ya ziada. Tanzania ni kama territory or organization/company ambayo haina leader. Jk lacks all qualities of a good leader i.e. haaminiki (we can not trust him to do anything), hawezi ku-think analytically (e.g. hajui kwanini nchi yake ni maskini), lacks confidence (he failed to inspire confidence to people during difficult times -yeye kwenye matatizo anaingia mitini) etc. Ukweli ni kwamba JK can not walk the talk ,he does not have a goal hence no plan. Nahisi safari zake za mara kwa mara zinamsaidia ku-escape reality (maana yeye alisema huko ndio kwakupumulia). Lakini anasahau hizo escape zake zina-hairisha tu tatizo lakini halitatui tatizo.