Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
anaenda kuomba mafuta?vasco bwana!
....Good start! I wish na huku bongo tungelianzisha kidogo tuwaonjeshe joto ya jiwe hawa magamba wachovu!!!....Good luck people over there!!Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yatapokewa na viongozi kutoka United States , State Department. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe
EliakimMallya@yahoo.com
Update:
Tayari watu 450 wmesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani.
Kadhalika tumeni barua pepe pamoja na malalamiko kwa wingi kwenda wiegertjr@state.gov ili kupinga Vasco Dagama kupewa VISA na wapambe wake. Ifahamike kwamba mimi siyo mwana CHADEMA wengine wanavyodai. Mimi ni mwana UVCCM tena ngazi ya Juu, lakini Kikwete hakufaa kuwa Rais, ndo maana Watanzania wanaumia. Mapinduzi yanakuja
Wasio na makaratasi, tunachoomba ni sala zenu tu. Watu wanaongezeka sana. Tayari tumefikisha watu 512 ambao wapo marekani ki halali na wako tayari kujiunga nasi kwa ajili ya haya mapinduzi
Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yatapokewa na viongozi kutoka United States , State Department. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe
EliakimMallya@yahoo.com
Update:
Tayari watu 450 wmesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani.
Kadhalika tumeni barua pepe pamoja na malalamiko kwa wingi kwenda wiegertjr@state.gov ili kupinga Vasco Dagama kupewa VISA na wapambe wake. Ifahamike kwamba mimi siyo mwana CHADEMA wengine wanavyodai. Mimi ni mwana UVCCM tena ngazi ya Juu, lakini Kikwete hakufaa kuwa Rais, ndo maana Watanzania wanaumia. Mapinduzi yanakuja
Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yatapokewa na viongozi kutoka United States , State Department. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe
EliakimMallya@yahoo.com
Update:
Tayari watu 450 wmesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani.
Kadhalika tumeni barua pepe pamoja na malalamiko kwa wingi kwenda wiegertjr@state.gov ili kupinga Vasco Dagama kupewa VISA na wapambe wake. Ifahamike kwamba mimi siyo mwana CHADEMA wengine wanavyodai. Mimi ni mwana UVCCM tena ngazi ya Juu, lakini Kikwete hakufaa kuwa Rais, ndo maana Watanzania wanaumia. Mapinduzi yanakuja
Wasio na makaratasi, tunachoomba ni sala zenu tu. Watu wanaongezeka sana. Tayari tumefikisha watu 512 ambao wapo marekani ki halali na wako tayari kujiunga nasi kwa ajili ya haya mapinduzi
Inawezekana hujui usemalo........... hao mafisadi si walitajwa na SLAA pale mwembeyanga...??? Hivi KWA NINI HUWI MKWELI KATIKA HILI...... UNAWEZA UKASEMA NANI NDANI YA TIMU YA JK ALISHAWAHI KUTANKA KUWA FULANI NI FISADI..??Huo ufisadi bila Kikwete mgeujua? si yeye ndio anaoibua. Au mmesahau umeanzia wapi?
Wewe usiyejuwa kama Rais wako ni mtalii pole sana, leo hii tuna state of Emergence yeye anafikiria kwenda kula kuku majuu! au ameambiwa kuna futari verry special Marekani?
Hivi ninyi mmekosa kazi ya kufanya!... nimetumiwa mualiko nimeukataa... sababu sioni umuhimu wa kupinga ujio wa raisi wetu...
- mwaandama hamjui lengo la safari yake ni nini... Kiongozi wa nchi hasafiri tu kwa maslahi yake binafsi...
<br /><font color="#ff0000"><font size="4">Safi saaaaaaaaana, MUNGU awabariki sana.</font></font>
Wewe usiyejuwa kama Rais wako ni mtalii pole sana, leo hii tuna state of Emergence yeye anafikiria kwenda kula kuku majuu! au ameambiwa kuna futari verry special Marekani?
kwa Rais makini hawezi kusafiri kipindi hiki ambacho nchi inayumba mafuta hakuna mitaani, halafu yeye yuko kimya anawaogopa wafanyabiashara wa mafuta maana ndio donors wakubwa wa pesa za kampeni za ccm.
Kwa kifupi serikali imetiwa mfukoni, hatuna serikali bali kuna utawala tu.
Kama issue ya mafuta ni ndogo sana kwa upeo wako, basi sina sababu ya kudebate chochote na wewe maana hata mtoto wangu ambae yuko Primary school anakuzidi ufahamu.Ndio maana kuna kitu kinaitwa baraza la mawaziri...! kuna makamu wa raisi....... issue ya mafuta ni ndogo sana mabayo ni ya kutatuliwa na wizara!
hivi kama mawazo yako ni kwamba Rais akienda safari huwa anakwenda kula kuku... pole zako nakurejeshea mwenyewe .. kama ni mvivu wa kusoma basi hata uliza kwa wanaojua safari za rais zina umuhimu gani kwa nchi...
Kama issue ya mafuta ni ndogo sana kwa upeo wako, basi sina sababu ya kudebate chochote na wewe maana hata mtoto wangu ambae yuko Primary school anakuzidi ufahamu.
Nimeshakwambia huna cha kudebate na mimi, mtu usiyejuwa kwamba mafuta ndio yanasababisha vitu vingi ikiwemo mfumuko wa bei, halafu wewe unasema ni kitu kidogo! unategemea ni mtu gani makini anaweza kujadili constructive issue na wewe?mpe hongera mwano... lakini mwambie Rais haamki tu na kusema leo nakwenda marekani.. kesho nakwenda Uk... kesho kutwa s.africa...
<br />None but ourselves can free our country,i'm not fear for mabomu ya machozi or polisi/jeshi coz none of them can stop us!We got something the cant never take away and that is our ability!!
Nimeshakwambia huna cha kudebate na mimi, mtu usiyejuwa kwamba mafuta ndio yanasababisha vitu vingi ikiwemo mfumuko wa bei, halafu wewe unasema ni kitu kidogo! unategemea ni mtu gani makini anaweza kujadili constructive issue na wewe?
Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yatapokewa na viongozi kutoka United States , State Department. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe
EliakimMallya@yahoo.com
Update:
Tayari watu 450 wmesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani.
Kadhalika tumeni barua pepe pamoja na malalamiko kwa wingi kwenda wiegertjr@state.gov ili kupinga Vasco Dagama kupewa VISA na wapambe wake. Ifahamike kwamba mimi siyo mwana CHADEMA wengine wanavyodai. Mimi ni mwana UVCCM tena ngazi ya Juu, lakini Kikwete hakufaa kuwa Rais, ndo maana Watanzania wanaumia. Mapinduzi yanakuja
Wasio na makaratasi, tunachoomba ni sala zenu tu. Watu wanaongezeka sana. Tayari tumefikisha watu 512 ambao wapo marekani ki halali na wako tayari kujiunga nasi kwa ajili ya haya mapinduzi