Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
I DARE TO SAY: MUSLIMS HATA KAMA UMESOMA KIASI GANI KUNA LEVEL FLANI YA UJINGA UNABAKI NAYO NA PIA UPOFU WA KUWEZA KUTENGANISHA ISSUES....HAPA SUALA LA UDINI LINAKUJA VIPI HAPA, KAMA SI UHAYAWANI HUU. HUU NI WENDAWAZIMU KABISA, SIWEZI KUMTETEZA LOWASA ETI KISA HE IS CHRISTIAN LIKE THE FAITH I BELIEVE, I CAN NOT STAND BESIDE ROSTAM AZIZ BECAUSE HE IS FREEMASON LIKE I BELIEVE......LET US THINK CRITICALLY JAMANI, ACHENI HOJA MFU NA ZA KITOTO. U WAPI USOMI WENU, MNAJIPAMBANUA KWA LIPI? DAH...HII NI FULL CRAP:

I am Sorry to say hivyo. But i still believe there are good and well educated Muslims wanaoweza ku-analyse mambo vizuri kabisa na wanaweza kutenganisha dini na utendaji wa watu.


Mie naona hiyo ni opposite kabisa, na wewe unalijuwa hilo na record zinaonesha zinakusuta.
 
Wanapenda sana Ubwa bwa hao! Muwasamehe bure

Kuna thread nyingine humu JF mbumbumbu huyo huyo mmoja eti analalamika mbona Chadema haifutulishi waislamu? sasa sijajuwa kama CHADEMA ni cha siasa au ni chama cha kufutulisha watu?
Huu ujinga mwingine kama ni tuzo basi ni tuzo ya platinum 5.







HII NI KALEEEEEE...DUH.. NIMECHEKA HADI BADI....AISE
 
mie naona hiyo ni opposite kabisa, na wewe unalijuwa hilo na record zinaonesha zinakusuta.

ok kama ndivyo....sasa inakuwaje mtu anakurupuja na huja na hoja ya udini...uhusiano upo wapi hapa...refer hao nduguzo hapo juu uone msingi wa hoja zangu.
Na huu ni mfano mmoja tu wa watu wa imani hii kuja na hoza za jinsi hii, sasa what should we conclude out of that.....it's a simple logic
 
Kkukemea ufisadi sio udini.
Kukemea safari za nje zisizoisha sio udini
Acha kufikiri kwa kutumia makengeza tumia brain yako.
Hata akija raisi mkristo akiwa fisadi na akianza kusafiri kusikoisha tutamwuumbua
To hell with ukristo ama uislamu
Wale wanaodai haki zao Syria sio wote ni wakristo

Matatizo ya Umeme TZ, mlikuwa mnapiga kelele Dowans, sasa mbona hatuoni hizo kelele kwa Symbion? Mitambo ni ile ilie matatizo yamezidi ya umeme. Tatizo la Udini ndilo linayoisumbua TZ. Hapa kuna double stardand, na watu washaijua hiyo plan ya Kanisa.
 
Na magaidi wa kiislamu?

Unajua elimu yenu ya Kanisa ya Tumaini Univesrity ndiyo inayoimaliza TZ. Hivi vyuo vya Makanisa vinatoa wala Rushwa na Mafisadi. Muda umefika wa kuangalia hivi vyuo vya Makanisa na Ufisadi nchini.
 
Swali ni kwa nini muandamane nyie Watanzania mlio Marekani wakati wale waliyo Tanzania wametulia tuli huku shida zote unazotaja zinawaathiri wao? Nyie mtakao andamana siyo Wakimbizi wa kisiasa, hamkandamizwi kisiasa kama tuseme Wazimbabwe, na mko huru kurudi Tanzania siku yoyote. Sanasana itapigwa kamatakamata na polisi, na wasiyo na makaratasi wataingizwa mkenge. Weka angalau ushahidi wa maombi ya kutaarifu maandamano ya amani kwa mamlaka husika huko Washington, DC, ili watu wasiwe na hofu ya kukamatwa.

Vinginevyo, wingi wa emails pekee kwenye hiyo email address uliyobandika, haiwezi kuzuia Rais wa nchi kunyimwa visa. Hebu mfafanue vigezo vya jinsi gani "raia wa kawaida" anaweza kuathiri mkuu wa nchi kunyimwa visa.
 
Badilisha hiyo, sema "naunga" usitusemee, wengine hatuungi mkono kabisa.

kama wengi hamuungi mkono mbona unasumbuka kuandika andika/post hapa kwenye hii thread si ukae kimya
wasumbukia nini na haina watu!!!!!!!!!!!!!!
 
Unajua elimu yenu ya Kanisa ya Tumaini Univesrity ndiyo inayoimaliza TZ. Hivi vyuo vya Makanisa vinatoa wala Rushwa na Mafisadi. Muda umefika wa kuangalia hivi vyuo vya Makanisa na Ufisadi nchini.
Rais wako ananyoosha pasi suti zake saa hizi anajiandaa kwenda kwenye nchi ya kikristo, tumia nguvu hizi na povu hili linalokutoka hapa mshauri atembeee nchi za kiislamu kama Iran na Saudia na sio Marekani.
 
Swali ni kwa nini muandamane nyie Watanzania mlio Marekani wakati wale waliyo Tanzania wametulia tuli huku shida zote unazotaja zinawaathiri wao? Nyie mtakao andamana siyo Wakimbizi wa kisiasa, hamkandamizwi kisiasa kama tuseme Wazimbabwe, na mko huru kurudi Tanzania siku yoyote. Sanasana itapigwa kamatakamata na polisi, na wasiyo na makaratasi wataingizwa mkenge. Weka angalau ushahidi wa maombi ya kutaarifu maandamano ya amani kwa mamlaka husika huko Washington, DC, ili watu wasiwe na hofu ya kukamatwa.

Vinginevyo, wingi wa emails pekee kwenye hiyo email address uliyobandika, haiwezi kuzuia Rais wa nchi kunyimwa visa. Hebu mfafanue vigezo vya jinsi gani "raia wa kawaida" anaweza kuathiri mkuu wa nchi kunyimwa visa.

hao ni watanzania kama waliopo nyumbani tena wengi wanaumia kwa kupingwa mizinga
na wandugu waliobaki nyumbani
hayo mambo ya ukimbizi ni yako maana kama wewe ungekuwa unajari sana ukimbizi
waziri mmoja hapo serikalini sio mtanzania na waindi kibao wananyonya nchi zungumzia hao kwanza

watanzania walipo nyumbani kila wakiandamana wanaua sasa wewe unataka nini? watu tu?
isitoshi hii ni kama sindano ya ng'embe hakipingwa nayo moja huyu JK hato tembea tembea tena
au anaweza kumwaga unga niamini mimi
mza mza...............
 
Unajua elimu yenu ya Kanisa ya Tumaini Univesrity ndiyo inayoimaliza TZ. Hivi vyuo vya Makanisa vinatoa wala Rushwa na Mafisadi. Muda umefika wa kuangalia hivi vyuo vya Makanisa na Ufisadi nchini.

Hapa vipofu wawili wanaongozana, ni lazima wote wazame shimoni.
ACADEMIC STAFF FACULTY OF ARTS AND HUMANITIES Department of Education Head: Assistant Lecturer (Education), Issa O. Malecela – B.A. (Islamic Studies) (College of Islamic Studies – Mombasa); M. Ed. (Intern. Islamic Univ. Malaysia). Email: iomalecela2002@yahoo.com Mob. +255 755-882083 Assistant Lecturer (Education), Kassim K. Kondo - Dip. Ed., BA Ed. & MA Ed. (UDSM); Dipl. (Manag. of Training Institutions) (ILO, Turin); Masters (Port Management and Admin.) (Antwerp); Dip. (Training Manag.) (West London, Slough). Mob. +255 713-200933 Assistant Lecturer (Education), Nashir R. Kamugisha – B.A. (Ed) (MUM); M. Ed. (UDOM). Email: nashgama@yahoo.com or nashgisha@googlemail.com Mob. 255 716-609478 ; +255 786-641998 History Assoc. Professor, Abdurahman M. Juma (History) - BA (Ed.) (Hons) (UDSM); M.Phil (Afric. Archaeol.) (Cambridge); PhD (Afric. Archaeol.) (Uppsala). Email: ajumatz@gmail.com Mob. +255 777-281872 . Geography Assistant Lecturer, (Geography), Saumu Athuman – BSc. (Environ. Science & Manag.) (SUA); M.A. (Geography/Environ. Science) (UDSM). Email: saumgift@yaho0.co.uk. Mob. +255 714-252640; +255 784-650618 Tutorial Assistant (Geography), Salum H. Hamisi – B.A. (Ed) (Muslim Univ. of Morogoro). Email: salumhaji@gmail.com Mob. +255 655-343446; +255 688-495059 Tutorial Assistant (Geography), Ramadhan H. Abdallah – B.A. (Ed) (Muslim Univ. of Morogoro). Email: ramahami2010@googlemail.com Mob. +255 713-313194 Tutorial Assistant (Geography), Jaha M. Mulema – B.A. (Ed) (Muslim Univ. of Morogoro). Email: jahamulema@yahoo.co.uk Mob. +255 787-739650 Department of Languages and Linguistics Head and Lecturer, Dr Salim Khamis Mohamed – B.A. (Arabic Lang.) (Intern. Islamic Univ. Islamabad); M.A. (Arabic Lang. to non-Arabic speakers) (Khartoum Intern. Institute of Arabic Lang.). PhD (Curriculum and Teaching Methods -Arabic Lang.) (Omdurman Islamic Univ.). Emails:mazrui99@hotmail.com; salkhamtz@yahoo.com Mob. +255 776-450176 Arabic Head and Lecturer, Dr Salim Khamis Mohamed – B.A. (Arabic Lang.) (Intern. Islamic Univ. Islamabad); M.A. (Arabic Lang. to non-Arabic speakers) (Khartoum Intern. Institute of Arabic Lang.). PhD (Curric. and Teaching Methods - Arabic Lang.) (Omdurman Islamic Univ.). Emails:mazrui99@hotmail.com; salkhamtz@yahoo.com Mob. +255 776-450176 Assistant Lecturer (Arabic) Athumani M. Athumani – B.A. (Islamic calling) (Islamic University of Medina.); M.A. (Arabic Language Teaching) (Khartoum Intern. Institute). Email: asukasmo@yahoo.com Mob. +255 716-178847 English Tutorial Assistant (Linguistics), Sadiki M. Feruzi – B.A. (Ed) (MUM). Email: sadikimoshi@yahoo.co.uk Mob. +255 713-476117 Kiswahili Tutorial Assistant (Kiswahili), Abdallah S. Hamad – B.A. (Ed) (MUM). Email: binsuleiman2007@yahoo.co.uk Mob. +255 773-197593 ; +255 782-197593 ; +255 716-959602 Tutorial Assistant (Kiswahili), Hadija K. Abdallah – B.A. (Ed) (MUM). Email: hakua2010@yahoo.com Mob. +255 718-720001 ; +255 752-718022 Linguistics Assistant Lecturer (Linguistics) Jaffar Siraj – B.A. (Ed) (MUM). Email: sirajson2@googlemail.com Mob. +255 717-998040 Assistant Lecturer (Linguistics), Said N. Jaff – B.A. (Ed) (MUM); M.A. (Linguistics) UDSM Email: jaffsaid@gmail.com Mob. +255 653-263301 Department of Mass Communication Head and Assistant Lecturer, Nassor S. Ali, Dipl. (Journal.) TSJ; M.A. (Intern. Journal.) (St. Petersburg State Univ.). Email nassorali@mail.ru Mob. +255 772-573323 Tutorial Assistant (Mass Comm), Salim S. Ali – B.A. (Mass Comm) (MUM). Email: salimli2006@yahoo.co.uk Mob. +255 713-611189 Tutorial Assistant (Mass Comm), Bagesi G. Hassan – B.A. (Mass Comm) (MUM). Email: mbagessi@yahoo.com Mob. +255 719-484301 Development Studies Assistant Lecturer, Alhaj Faraj A. Tamim, Cert. (Law) (UDSM); Dip. (Journal. & Mass Comm.) (Research & Ed. Instit. DSM); BA (Politic. Sc. & Publ. Admin.); MA (Dev. Studies) (UDSM); Certif. Summer Sch. Program (Zimbabwe). Email: fatamimfa@yahoo.com Mob. +255 754-003744 ; 0773-501111 . Assistant Lecturer (Dev. Studies), Faki A. Malengo – B.A. (Ed) (MUM), M.A. (Dev. Studies) (UDOM). Email: malengo2006@yahoo.com Mob. +255 777-849608 ; +255 655-849608 FACULTY OF ISLAMIC STUDIES Ag. Dean and Assistant Lecturer, Suleiman S. Filambi – B.A. (Islamic Studies) (Medina); MA (Islamic Studies) (Muslim College, London). Email filambi1425@hotmail.com Mob. +255 754-752543 . Assistant Lecturer, Bilal Juma Ramadhani – B.A. (Islamic Law) (Medina); M.A. (Islamic Studies) (Islamic Univ. Uganda).Email majuva99@yahoo.co.uk Mob. +255 754-865326 ; +255 712-225595 Assistant Lecturer, Juma Shaban Chibololo – B.A. & M.A. (Islamic Studies) (Intern. Univ. of Africa, Khartoum). Email schibsus@yahoo.com Mob. +255 723-897521 FACULTY OF LAW AND SHARIAH Ag. Dean and Professor, Juma Mikidadi, O. Mtupah – B.A. (Islamic Law) (Medina); M.A. (Logic & Orient Studies) (SUUD); PhD (Phil. & Islamic Studies) (Edinburgh) Email j.mikidadi@yahoo.com Mob. +255 785-342628 Associate Dean, Assistant Lecturer, Tawaqal J. Hussein – B.A. (Islamic Call) (Medina); M.A. (Islamic Shariah) (Islamic Univ. Uganda). Email tawaqaljuma@yahoo.com Mob. +255 786-562288 FACULTY OF BUSINESS STUDIES Ag. Dean and Assistant Lecturer, Abdulla Y. Tego (Islamic Studies) – B.A. (Ed) (Islamic Univ. Uganda); M.A. (Islamic Studies) (Muslim College - London). Email teggoy@yahoo.co.uk Mob. +255 754-575103 FACULTY OF SCIENCE Ag. Dean and Lecturer (Physics/Mathematics), Mrs V. P. Chitra devi – B. Sc. Physics (Ethiraj College); M. Sc. Physics (Madras), B. Ed. (Annamalai). Email sriniveena2002@yahoo.co.in Mob. +255 786-101029 Assistant Lecturer (Biology), Salum Hassan Mijinga – B.Sc. (Agriculture) (University of Alberta); M.Phil (Biology) (University of Sussex). Email teaboardinfor@teaboard.tz.org Mob. + 255 752-624952 Tutorial Assistant (Mathematics), Shaban I. Mfinanga – B.A. (Ed) (MUM). Email: issamfinanga@googlemail.com Mob. +255 712-399715; +255 754-381674 Tutorial Assistant (Mathematics), Halidi A. Lyeme – B.A. (Ed) (MUM). Email: lyemehalidi@ymail.com Mob. +255 714-494156; +255 784-293921 DIRECTORATE OF LIBRARY SERVICES Ag. Director of Library Services, Suleiman S. Suleiman - Dipl. (Lib. and Docum.) (SLADS, Bagamoyo). Mob. +255 782-940201
line.gif
Muslim University of Morogoro, - P.O. Box 1031, Morogoro, Tanzania.
Tel. +255 23 2600256 - Fax: +255 23 2600286 - E-mail: mum@mum.ac.tz
Website: www.mum.ac.tz
 
Rais wako ananyoosha pasi suti zake saa hizi anajiandaa kwenda kwenye nchi ya kikristo, tumia nguvu hizi na povu hili linalokutoka hapa mshauri atembeee nchi za kiislamu kama Iran na Saudia na sio Marekani.

Nani kakwambia Marekani ni nchi ya Kikiristo? Hii nchi inaendeshwa na Mayahudi. Wakristo in USA ni majina tu.
 
Rais wako ananyoosha pasi suti zake saa hizi anajiandaa kwenda kwenye nchi ya kikristo, tumia nguvu hizi na povu hili linalokutoka hapa mshauri atembeee nchi za kiislamu kama Iran na Saudia na sio Marekani.

Mafisadi na Rushwa inatokana na hivi vyuo Makanisa Tumain, na hizo Saint zilizojaa bila ya mpangilio wa kufundisha. Matokeo yake, hivi vyuo vinatoa wauza unga, ambao Rais aliwataja ktk hotuba yake Kanisani. Na Mafisadi ambao wamejaa kila idara za TZ. Wote hao wamesoma ktk hivi vyuo ya KCMC, Tumaini, na Saint.
 
Nani kakwambia Marekani ni nchi ya Kikiristo? Hii nchi inaendeshwa na Mayahudi. Wakristo in USA ni majina tu.
Habari za kuokoteza nenda kaongee na walimu wa madrasat.

The majority of Americans (76%) identify themselves as Christians, mostly within Protestant and Catholic denominations, accounting for 51% and 25% of the population respectively.[SUP][4][/SUP] Non-Christian religions (including Buddhism, Hinduism, Islam, and Judaism)
 
hao ni watanzania kama waliopo nyumbani tena wengi wanaumia kwa kupingwa mizinga
na wandugu waliobaki nyumbani
hayo mambo ya ukimbizi ni yako maana kama wewe ungekuwa unajari sana ukimbizi
waziri mmoja hapo serikalini sio mtanzania na waindi kibao wananyonya nchi zungumzia hao kwanza

watanzania walipo nyumbani kila wakiandamana wanaua sasa wewe unataka nini? watu tu?
isitoshi hii ni kama sindano ya ng'embe hakipingwa nayo moja huyu JK hato tembea tembea tena
au anaweza kumwaga unga niamini mimi
mza mza...............

Waandaji maandamano waweke wazi kwanza haki, sheria na kanuni zilizopo za kuitisha maandamano ya kisiasa Marekani, na Washington, DC in particular, pamoja na ushahidi kwamba itakuwa sahihi kisheria kufanya maandamano haya.
 
<span style="font-family: comic sans ms"><font size="4">Wawe Wamarekani au Watanzania wameamua kuandamana kumpinga JK, unatamani ingekuwa ni hapa TZ muwamwagie maji ya kuwasha??? Na hii itasababisha JK apunguze safari za nje, Safi sana.</font></span>

Wewe pia "mwanamapinduzi" maji ya kuwasha tu yanakutisha...
 
Unajua elimu yenu ya Kanisa ya Tumaini Univesrity ndiyo inayoimaliza TZ. Hivi vyuo vya Makanisa vinatoa wala Rushwa na Mafisadi. Muda umefika wa kuangalia hivi vyuo vya Makanisa na Ufisadi nchini.

The crisis of knowledge is about to head towards the dead end, and because of that i would like to conclude with this splendid Quote of my favorite Real knowledge is to know the extent of one's ignorance.


Confucius
 
Matatizo ya Umeme TZ, mlikuwa mnapiga kelele Dowans, sasa mbona hatuoni hizo kelele kwa Symbion? Mitambo ni ile ilie matatizo yamezidi ya umeme. Tatizo la Udini ndilo linayoisumbua TZ. Hapa kuna double stardand, na watu washaijua hiyo plan ya Kanisa.

Acha akili mgando wewe bongolala. Nyie ndio mnaorudisha nchii hii nyuma kutokana na kuwa na lack of critical thinking. Fisadi ni fisadi tu awe Kikwete, Zitto awe Slaa. Kama fisadi ni fisadi tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom