Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

CDM mnatumia vibaya KODI zetu...saa nane ni saa ya watu kuwa makazini kutafuta riski.

Duh!! kumbe hata wewe unajua kwamba kazi za kibongo chini ya uongozi wa CCM ni kujitafutia risk tu? Ni kweli, maana unaweza kwenda kazini ukaishia kulipukiwa na bomu, ukafa. Kupunguza risk zitokanazo na kazi za kichovu bora kuandamana kudai maisha bora zaidi.
 
Kwa hilo la gharama za maisha kupanda naunga mikono na miguu kabisa.

Gharama za kila kitu sasa hivi ni juu na maisha yamekuwa magumu sasa.

Dr Slaa kwenye kampeni zake za urais alikuwa ana hoja ya kupunguza kodi ya vifaa vya ujenzi.

Leo hii ukiangalia bei za Nondo zimepanda kwa zaidi ya asilimia 50, cement nayo pia, yaani kila kitu. Kibaya zaidi kipato cha wananchi kiko pale pale, kama sivyo labda mtu awe fisadi fulani hivi.

Sasa jamani tutafunga mikanda mpaka viuno vikatike?
 
aliechoka raisi wako hawezi kutembea hata hatua kumi tena na jua la saa 7 asingefika popote

Huyu JK anaetembea na ambulance, na hili jua angekufa hata kabla ya maandamano, leo angeshuka mpaka chumvi acha sukari.
 
Unanifurahisha sana toka uanze kupiga kelele umezuia nini maandamano ndiyo kwanza yanaendelea sasa tuko mjini katikati Nyerere Road endelea tu kufurahisha kijiwe.
Du! nilikuwa sijui kumbe JF ni Kijiwe..
 
Jamani CCM wana Nyege?

Chadema wakitekenya tu, utaona Mibaba na Mimama inaruka kama Mzee wa busha kajambishwa na trailor la Fiat......

Yaani kila mtu anakuja na kuweka KALUFUNDI kake hapa ka kuonyesha jinsi Chadema wanavyokosea.

Kwao, ni heri ya Kikwete/CCM asiyefanya kitu kuliko Chadema/Slaa anayeamsha watu.

Hizi Nyege za Kisiasa ni Kiboko........
 
Nimemuona Dr. Slaa hapo kwenye picha, inaonesha kama kachokaaaa, wamembebesha dunia babu watu roho riziki yake sasa du, watu wabaya!!!

Kweli kabisa amechoka anasinzia kabisa!

kikwete+msibani.jpg
 
Mkuu,
Jambo muhimu kabla ya ku-criticise ni kujiuliza...ni nini kiini/theme ya maandamano ya mwanza? What are they demanding for?
Baada ya majibu...hapo tunaweza ku-conclude aidha negatively au positively.

ipo wazi, kupinga dowans, ugumu wa maisha, kupanda gharama za maisha...kama vipi nawe jiunge kwani wenzio tayari tupo kwenye maandamano
 
Kwa hiyo maandamano ndio yataleta hospitali?
Vyama vinavyojifanya kujali kwa nini visihamasishe foundations zitakazofanya miradi ya maendeleo kwa mfano?
Maandamano feki ni unafiki tu![/QUOTE]

Unawajua wenye power kwenye hizo foundation??? acha kudharau nguvu ya umma imekusaidia sana mpaka hapo ulikofikia, hata hivyo kubishana na wewe ni kupoteza muda. Mwenye update za Mwanza tunaomba.
 
Nimemuona Dr. Slaa hapo kwenye picha, inaonesha kama kachokaaaa, wamembebesha dunia babu watu roho riziki yake sasa du, watu wabaya!!!

Yeah yeah hakuna ambulance hapo! wala Sheikh Yahaya kutoa ulinzi usoonekana
 
Subirini tu,mtaelewa maana halisi ya maandamano baada ya Watanzania walio wengi kushindwa kuupata hata huu mlo mmoja ambao kwa sasa wanautafuta kwa tochi....tutakutana Mnazi Mmoja!
 
Mkuu,
Jambo muhimu kabla ya ku-criticise ni kujiuliza...ni nini kiini/theme ya maandamano ya mwanza? What are they demanding for?
Baada ya majibu...hapo tunaweza ku-conclude aidha negatively au positively.

Mkuu wajua kuna watu wanafikra finyu sana!! Yaani wao wako very negative kwa kila kitu!! Hawa twawaita Pessimistic!! Huwa wanaupeo mdogo sana wa kufikiri. Huwa wana mtazamo wa pua!! Pia wameridhika hata kama wanageuzwa manamba katika nchi yao wenyewe!! Hao watu ni hatari sana!! Yatakiwa uwe na mtazamo ambao ni chanya katika kufikiri, yaani Optimistic!!

Kuandamana si dhambi hata kidogo!! Wasikilize hao waandamanaji wanamadai gani?? Je ni ya msingi ama si ya msingi?? Never jump to conclusion before you make a critical / analytical thinking!!

Wajua, nchi hii ina watu wengi sana wazembe wa kufikiri!! Na hilo limetugharimu sana tena sana!! Nchi katu haitopiga hatua kama watu wataendelea kuwa wazembe wa kufikiri na kulishwa sumu ya mambo ya kufikirika tu, yenye ukweli wanaambiwa huo ni uzushi!! Mzushi ni wewe uliye mzembe wa kufikiri!!!! Jitambue sasa!!! Tambua haki zako pia sasa!!! Acha uzushi na uzabi zabina!! Jifunze kufikiri na si kubwabwaja tu!!!!
 
Nadhani tunahitaji kutoa upya maana ya maandamano.

Haiwezekani yale ya wananchi wa Misri pale Tahriri Square, Tunisia na Lybia na haya ya watu wanaotembea kuelekea mkutano kutoa na kusikiliza matamko tu na kisha kuishia zao yote yaitwe maandamano.

Tunapaswa tukipe kiswahili maneno tofauti juu ya vitendo hivi viwili visivyofanana ata chembe, hili la Mwanza lilipaswa liitwe "matembezi" na wala sio "maandamano".

Mkuu, Maandamano ni ni Lazima yawe Matembezi ila Matembezi siyo lazima Maandamano.

Maandamano ni Matembezi yenye lengo la Kuonesha aidha Kuunga Mkono au Kupinga Jambo fulani

Yale ya tahrir yalikuwa na Lengo la Kumng'oa Mubarak

I think Ukikisumbua Kichwa chako kidogo utaelewa nini Maana ya Maandamano
 
Back
Top Bottom