Katika kitu ambacho nimekishuhudia leo hapa Arusha asubuhi hii ni kua kwenye kila raia wawili kuna askari watatu pamoja na magari ya polisi yakiwa na askari waliovalia kivita kama vile tuko Afganistar! yoote haya ni kua Chadema wameruhusiwa kufanya mkutano lakini hakuna kuandamana kwaajili ya kwenda kuwapokea viongozi wao wakitaifa. Katika ujio huo wa viongozi hao yupo katibu mkuu Dr.Wilbrod Slaa/Tindu Lisu/Freema Mbowe na na viongozi wengine wa Chadema. Kweli mwaka huu wanachadema sijui itakuaje:A S 39:
I hate this Andengenye puppet!...!Majitu yako na profession zao lakini wanapelekeshwa na wanasiasa...
Hivi kazi ya polisi ni kulinda amani au kutumikia wanasiasa?...
Syphilized minded...YOU aNDENGENYE!
ikilazimu ngumi kutembezwa zitembezwe pengine hili genge la washenzi wataacha kutawala kishenzi. Amani ikizidi uharibifu huwa mwingi. There has to be an end hata kama ni kwa damu. (sorry)Tunawaombea wana arusha wafanye watakacho kwa amani na bila kuingiliwa na majeshi...............majeshi km hayana kazi yapelekwe sudan, ivory cost , afghanstan, korea tensions, na kweningeko lakini sio kutishia raia
Tufanye kweli bana, ni mkakati tu, hata polisi wakiwa wengi vipi
peoples ignorance is not peoples power.....! peoples power is peoples fulfilling the responsibilities
Ngoja tuone ni vifaa gani vinaweza kuzuia nguvu ya UMMA....!nwa y may be ni vifaa kwa ajili ya kuwalinda wenye nchi..!Maandamano ni noma! maana vifaa vilivyopita hapa(uhuru road) kwa ajili ya kuzuia maadamano vinatisha!
Piiiiiiiiipoz. Pawaaaaa
Tutaendelea kusubiri tu mpaka pale subira itakapoisha tutaendelea kunyamazia upuuzi mpaka pale tutakapokuwa tayari kuukemeaHata mimi nayasubiri kwa hamu. Tutanyamazia upuuzi hadi lini???